GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,052
- 107,535
Kaandika hivi: Muongoza Ligi yuko Mbeya na Mbeba Ubingwa yuko Dar es Salaam.
Kazi Kwenu.
Kazi Kwenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Tate Mkuu naye anasemaje juu ya kauli hiyo?? Amekubaliana nayo??
Tate mkuu Ni mchambuzi mkubwa kwenye kituo flani
na wewe huwa unafatilia kiazi icho?Kaandika hivi: Muongoza Ligi yuko Mbeya na Mbeba Ubingwa yuko Dar es Salaam.
Kazi Kwenu.
Hivi hii kitu imesababishwa na nini jamani?? Maana its too muchKwenye redio za Kibongo kumejaa machoko wengi sana
Duh! Huyo mwamba huwa namsikia tu na kumuona kupitia luninga. Tate Mkuu ni kajamaa ka kawaida sana kutokea Usambaani Tanga.
Atakuwa kitenge nini??
Kaandika hivi: Muongoza Ligi yuko Mbeya na Mbeba Ubingwa yuko Dar es Salaam.
Kazi Kwenu.
hivi kuna watu hadi leo hii wanasikiliza redio?Kaandika hivi: Muongoza Ligi yuko Mbeya na Mbeba Ubingwa yuko Dar es Salaam.
Kazi Kwenu.
kuongoza ligi kawaida yenu. Mwishoni wenye kombe lao Simba wanalichukua BILA kelele.Bingwa wa msimu huu ni Yanga! Iwe isiwe. Na tarehe 11 Disemba, kipigo kwa Mtani kiko pale pale. Hakuna namna.
Mkuu Mbona umepanikiHuyu ni kigeugeu hana lolote mbwa huyu zaidi ya kuwa mchekeshaji tu sio mchambuzi sana..
Ndio nawashangaa sana.hivi kuna watu hadi leo hii wanasikiliza redio?
na uchoko utawamalizaaaKwenye redio za Kibongo kumejaa machoko wengi sana