Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Hivi mwaka 2005 Kikwete alipoahidi maisha bora kwa kila Mtanzania, kati yetu humu kuna aliyemwamini kweli au niko peke yangu tu ambaye sikuamini hayo?
Maisha bora unajiwekea mwenyewe, Chama/serikali vipo kukuwezesha kufikia hayo maisha. Binafsi niliamini hivyo na nina uhakika wale waliotaka maisha bora wameyapata.Hivi mwaka 2005 Kikwete alipoahidi maisha bora kwa kila Mtanzania, kati yetu humu kuna aliyemwamini kweli au niko peke yangu tu ambaye sikuamini hayo?
Mkuu unaelekea sipoMke wake alimwamini na akampa PhD..............
Maisha bora unajiwekea mwenyewe, Chama/serikali vipo kukuwezesha kufikia hayo maisha. Binafsi niliamini hivyo na nina uhakika wale waliotaka maisha bora wameyapata.
Maisha bora unaletewa nyumbani kwako, au ni baada ya mtu binafsi kujishughilisha?Je, kuna watakao mwamini?! Nini kifanyike kuwajuza Watanzania kutokuwa na imani naye kama mimi na wewe, ilivyo 2005 hata 2010?!
Maisha bora unaletewa nyumbani kwako, au ni baada ya mtu binafsi kujishughilisha?
Kinachotakiwa ni kwa watanzania wote kwa ujumla kuamka na kutafuta hayo maisha bora. Haiingii akilini kusubiri maisha bora kwenye kibanda chako kama hutaki uwe na maisha bora!
No mimi sikumuamini tangu nateuliwa na ccm. Kwani hakuna nilichokiona alichofanya wakati akiwa na nyadhifa mbalimbali.
======Maisha bora unaletewa nyumbani kwako, au ni baada ya mtu binafsi kujishughilisha?
Kinachotakiwa ni kwa watanzania wote kwa ujumla kuamka na kutafuta hayo maisha bora. Haiingii akilini kusubiri maisha bora kwenye kibanda chako kama hutaki uwe na maisha bora!
Much better, na hii inawahusu wale ambao wameamua kuwa na maisha bora.So are you saying that today we are better off than we were five years ago?
Much better, na hii inawahusu wale ambao wameamua kuwa na maisha bora.
Mkuu NN, kumbuka kuwa JK aliwezesha asasi zote zenye kushughulika maisha bora kufanya hivyo. Hivyo jukumu liliobaki ni kwa wananchi kupata maisha hayo kupitia asasi hizo, na sio kukaa majumbani mwao kusubiri kuletewa maisha bora.
Much better, na hii inawahusu wale ambao wameamua kuwa na maisha bora.
Mkuu NN, kumbuka kuwa JK aliwezesha asasi zote zenye kushughulika maisha bora kufanya hivyo. Hivyo jukumu liliobaki ni kwa wananchi kupata maisha hayo kupitia asasi hizo, na sio kukaa majumbani mwao kusubiri kuletewa maisha bora.
Kwa ufahamu wangu, asilimia kubwa ya watz wanaishi vijijini, ambako shughuli nyingi za maendeleo yao zinapita kwenye kamati za maendeleo za maeneo hawa angefuta utaratibu wasingekumbana na kadhia hizo.Duh!! hii kali sasa.....Sikonge, Mwafrika, na Rev. Masanilo hebu tuwekeeni zile picha za maisha bora kwa kila Mtanzania....e.g. zile za wale madogo waliokaa chini darasani au zile za akina mama wajawazito na wale walijifungua kulala sakafuni.....
Maisha bora unajiwekea mwenyewe, Chama/serikali vipo kukuwezesha kufikia hayo maisha. Binafsi niliamini hivyo na nina uhakika wale waliotaka maisha bora wameyapata.
Maisha bora unaletewa nyumbani kwako, au ni baada ya mtu binafsi kujishughilisha?
Kinachotakiwa ni kwa watanzania wote kwa ujumla kuamka na kutafuta hayo maisha bora. Haiingii akilini kusubiri maisha bora kwenye kibanda chako kama hutaki uwe na maisha bora!