Kuna ajira Tanzania inaingiza zaidi ya milioni 20 (mshahara + posho) ukiachana na Mawaziri?

Mbna hat the late, 1995 alirudiana na mkewe ndo akaingia kwenye kinyang'anyiro cha urais

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Nachosema sio kwamba mara zote ili upate hizo nafasi za ubosile inabidi wakukute una familia N mke tayar kama jamaa alivyosema.

Kama the late alikuwa ameachana na mkewe , anaishi kibachela.

Hence Ipo mizee mingi tu ndoa zao zinapumulia mipira japo wameshika idara nyeti nyeti
 
Nachosema sio kwamba mara zote ili upate hizo nafasi za ubosile inabidi wakukute una familia N mke tayar kama jamaa alivyosema.

Kama the late alikuwa ameachana na mkewe , anaishi kibachela.

Hence Ipo mizee mingi tu ndoa zao zinapumulia mipira japo wameshika idara nyeti nyeti
Ni kweli kabisaaaaah

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Hata wakurugenzi wa taasis wanapokea 20+, salary n allowances TANESCO, EWURA, TPDC, REA, TTCL, TCRA, NHC etc . Hii Ni confirmed sio porojo
Wakurugenzi taasisi za umma ni kuanzia 15m kushuka,kabla ya Magu walikuwa wanachukua mpaka 30+wengine huko.Jamaa alifyeka,hakuna mtu kulipwa zaidi ya 15m.
 
Mimi nawajua watu kama sita mishahara yao ni zaidi ya milioni 60 kwa mwezi na wamepanga masaki nyumba za dola 5000 kwa mwezi manake milioni 10 kwa mwezi kama kodi ya nyumba

wapo wengi tu, na wanaish maisha matamu tu yan mambo yanatiririka tu
 
Tsh Million 20 ni sawa na US dollar 9,000...
Kwa mbele huo ni mshahara wa nurse
Hapa huja-consider "cash mecahanics as it is related to market/ ecenomic system". Dola 9,000 za Tanzania zinaweza zikawa sawa na Dola karibia 90,000 za mtu anayeishi Marekani. Economic/ Market system anamoishi mwenye fedha hii ni muhimu sana. It's all about money's purchasing power. Usiidharau hata kidogo dola 9,000 ya Tanzania
 
Mkuu wewe una lack exposure unaishi buza kwa mpalange basi unahisi watu wote wanamaisha kama hayo ya kula ugali na utumbo wa kuku ha ha ha ha ha njoo masaki na mbezi ya chini uone watu wanavyoishi kuna watu wanapesa hata huyu jiwe hawamuogopi na yeye anajua hawashikiki hao na hawana mambo hizi za kimasikini za kujitangaza
Eeh bwana jana nimekatiza Mbweni aibu nikaona mimi, sikuwahi kufikaga mazingira yale ila jana ndio nimeenda bana we kuna watu wana maisha wengine tunasindikiza
 
Back
Top Bottom