Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,701
- 36,119
Migodini watu wanaolipwa 20ml ni wa kawaida tu.
Wale ma MD au GM wanakula above 60ml.
Wale ma MD au GM wanakula above 60ml.
mkuu kwel dereva analipwa hyo pesa?? ngoja nipekue mafaili yangu hapa kabatini ntafute lesen yangu ili jumatatu nizame TCRA nikaombe kaz niaze kula laif😊😊Dereva TCRA 4.8 anaweka kibindoni
Hahahahah tatizo connection kuipata iyomkuu kwel dereva analipwa hyo pesa?? ngoja nipekue mafaili yangu hapa kabatini ntafute lesen yangu ili jumatatu nizame TCRA nikaombe kaz niaze kula laif
haiwesekani wainjoi nashino keki peke yao
ntaenda hvo hvo mana sio pw watu wachache kula keki ya taifa peke yaoHahahahah tatizo connection kuipata iyo
Hapa hata mimi namkatalia.Si kweli kanjibai hapa unatulisha matangopori..deo hakuwahi kulipwa pesa hizo
Unamaanisha milion 4 na laki 8? Uongo!!Dereva TCRA 4.8 anaweka kibindoni
Sitaki kubishana na wewe maana unajifanya unajua kila kitu kwendraaa....!!Unamaanisha milion 4 na laki 8? Uongo!!
Unajifanya kujua kila kitu wewe kaa na uninga wako....Unamaanisha milion 4 na laki 8? Uongo!!
50m??Mkuu Vodacom kuna jamaa yupo kitengo cha finance hajaoa analipwa 50m kwa mwezi...umri ni between 30-33
Kwahiyo alidanganya?Si kweli mshahara wake ni karibu milioni 36 kwa mwezi.
Makonda alikuwa anapokea pesa ndefu zaidi ya hiyoNaona kuna jamaa hapa kijiweni alianzisha mjadala huu kwamba kuna watu wanavuta zaidi ya mshahara tajwa.
Tiririkeni wadau.
Kwa watoa povu kama unaoma maada haikufai mlango upo wazi nenda kaenselee kuperuzi maada zinazokufaa
Hiyo sound track ya Rais na wewe uliikubali ?Unazungumzia sekta binafsi au serikalini.
Kwa binafsi inawezekana ila kwa serikalini najua hata Rais mwenyewe alisema anapokea m9
Sent from my J5 using JamiiForums mobile app
Mwalimu analipwa Dollar ngapi huko mbele ?Tsh Million 20 ni sawa na US dollar 9,000...
Kwa mbele huo ni mshahara wa nurse
Fikiria zile milion tano tano ambazo huwa anazigawa kama njuguKweli kabisa anakula hela ndef sana
Unamuitaje dume mwenzako dada ?Wewe dada kwa fix tu uko vzr
Hujui historia, kuna rais fulani mstaafu wakati anataka kuwa Rais aliambiwa na JK1 kwamba arudiane na mke wake ndio aingie kwenye nafasi ya urais, wakati mwingine ni connection tu wala sio merits.mna akili za ajabu sana nyinyi watu.
kwanza msichofahamu, kuna cheo hupewi kama huna familia rasmi,yaani unakuta wenye sifa mko wengi,ila sifa za ziada ni kama hizo,uwe umeoa na unaishi na mke wako,boss kuishi bila mke ni dalili ya kuwa na boss mhuni.
Mbna hat the late, 1995 alirudiana na mkewe ndo akaingia kwenye kinyang'anyiro cha uraisHujui historia, kuna rais fulani mstaafu wakati anataka kuwa Rais aliambiwa na JK1 kwamba arudiane na mke wake ndio aingie kwenye nafasi ya urais, wakati mwingine ni connection tu wala sio merits.
Sijui umenikosoa nini!!!!Hujui historia, kuna rais fulani mstaafu wakati anataka kuwa Rais aliambiwa na JK1 kwamba arudiane na mke wake ndio aingie kwenye nafasi ya urais, wakati mwingine ni connection tu wala sio merits.