Kumwagwa Kwa Fedha za Ufisadi Majimboni: Wabunge "Wapambanaji" Acheni Siasa!

Buchanan,

Tatizo la sisi Watanzania wengi ni kushindwa kuwa na msimamo mmoja. Kosa ni kosa kwasababu linamhusu mbaya wako lakini kama liko kwa kipenzi basi huyo anaonewa.

Matokeo yake tutaendelea kuhamisha goal posts ili ku fit malengo yetu.

Kwa kila siku kupiga kelele za mafisadi hata pale pasipo na ufisadi wamefanya hilo neno libadilika kutoka kuwa kosa kubwa na kuwa kijembe cha kisiasa ambacho kila mmoja anaweza kutumia dhidi ya mwingine. Hata wale mafisadi wakubwa sasa wana raha maana sio wao tu wanaotajwa na badala yake malaki ya Watanzania wanaitwa mafisadi, wakiwemo wale ambao hawajawahi kuiba hata senti tano ya mtu.

Hao wanaolalamika majimboni kwamba pesa zinamwaga, wanajua ukweli wake na ndio maana hawako tayari hata kufuatilia. Wanachokifanya sio kutatua tatizo la ufisadi, bali kuwadanganya wananchi majukwaani.

Kuna mheshimiwa mmoja, anadai kwenye mikutano yake kwamba mafisadi wanamwaga pesa na kuwapa wajumbe, yeye mwenyewe akimaliza anawapa wajumbe hao hao pesa. Mtu unabaki kujiuliza, hivi wananchi wanafanywa wajinga kiasi hicho?

Watu wanataka maendeleo na sio kelele za majukwaani. Mpambano wa 2010 utakuwa juu ya nani ana vision nzuri ya kulisukuma jimbo mbele, ikiwa ni pamoja na kupambana na majanga mbalimbali pamoja na matumizi mabaya ya pesa za wananchi, na sio tu nani ana uwezo mkubwa wa kupiga kelele za mafisadi akiwa jukwaani.
 
Buchanan,

Tatizo la sisi Watanzania wengi ni kushindwa kuwa na msimamo mmoja. Kosa ni kosa kwasababu linamhusu mbaya wako lakini kama liko kwa kipenzi basi huyo anaonewa.

Matokeo yake tutaendelea kuhamisha goal posts ili ku fit malengo yetu.

Kwa kila siku kupiga kelele za mafisadi hata pale pasipo na ufisadi wamefanya hilo neno libadilika kutoka kuwa kosa kubwa na kuwa kijembe cha kisiasa ambacho kila mmoja anaweza kutumia dhidi ya mwingine. Hata wale mafisadi wakubwa sasa wana raha maana sio wao tu wanaotajwa na badala yake malaki ya Watanzania wanaitwa mafisadi, wakiwemo wale ambao hawajawahi kuiba hata senti tano ya mtu.

Hao wanaolalamika majimboni kwamba pesa zinamwaga, wanajua ukweli wake na ndio maana hawako tayari hata kufuatilia. Wanachokifanya sio kutatua tatizo la ufisadi, bali kuwadanganya wananchi majukwaani.

Kuna mheshimiwa mmoja, anadai kwenye mikutano yake kwamba mafisadi wanamwaga pesa na kuwapa wajumbe, yeye mwenyewe akimaliza anawapa wajumbe hao hao pesa. Mtu unabaki kujiuliza, hivi wananchi wanafanywa wajinga kiasi hicho?

Watu wanataka maendeleo na sio kelele za majukwaani. Mpambano wa 2010 utakuwa juu ya nani ana vision nzuri ya kulisukuma jimbo mbele, ikiwa ni pamoja na kupambana na majanga mbalimbali pamoja na matumizi mabaya ya pesa za wananchi, na sio tu nani ana uwezo mkubwa wa kupiga kelele za mafisadi akiwa jukwaani.

Sure, umeongea pointi tupu ndugu Mtanzania. Mimi sipingi vita dhidi ya ufisadi, lakini kwa jinsi mambo yanavyoenda tumeanza kupoteza mwelekeo na matokeo yake tutawapatia mafisadi nafasi ya kupumua hasa pale tunaporopoka bila kuwa na ushahidi. Mafisadi wanawaangalia "wapambanaji" kwenye sight mirror tu!
Katika post ya ndugu Kibori inaonekaka, kwa maelezo yake, kuwa "wapambanaji" ni waoga, hawataki kuonekana wabaya! Kwa hiyo njia pekee ni kuropoka kwenye vyombo vya habari. Wameshindwa kujifunza kwa Dkt Slaa ambaye aliwataja mafisadi HADHARANI, jua limewaka kweupe! Kwa hiyo Dkt Slaa tuna uhakika na hoja zake, na tuna uhakika amemlenga nani. Vyombo vya dola vikishindwa kufanyia kazi hoja zake basi lawama zote tuzihamishie huko!
 
Katika wabunge wanaojitambulisha kama wapiganaji kuna ambao "wame-undeperfom maeneo yao ya bunge" sasa wanataka kuwadanganya wananchi wasije kuelezwa mapungufu yao...
Hawa wabunge waache demokrasia ichukue mkondo wake na kama wanataarifa za pesa chafu watumie vyombo husika au ikibidi vyombo vya habari (wananchi) ikiwa watakosa ushirikiano kutoka kwa TAKUKURU

Sure!
 
leta ushahidi otherwise ni majungu na mambo ya mitaani tu haya

Mwenye macho haambiwi tazama. Na ndio tatizo la watu wenye mwelekeo wa kifisadi - daima watadai ushahidi, hata pale mambo yanapojionyesha wazi. Hata RA ambaye uhalifu wake wote anaufanya underground anathubutu kuwaambia Watanzania watoe ushahidi kama yeye ni fisadi. Eti fedha zake zinatokana na biashara za babu zake tangu enzi hizooo.. Ebo!
 
Mwenye macho haambiwi tazama. Na ndio tatizo la watu wenye mwelekeo wa kifisadi - daima watadai ushahidi.

Hivi tukisema MzeePunch ni FISADI bila ushahidi utakubali kuwa wewe MzeePunch ni fisadi? Wapambanaji wasi-take advantage kwa kuwa wananchi wamewaamini vya kutosha! Hawajafanya lolote majimboni mwao, wanajificha kwenye mwavuli wa kupambana na ufisadi! Wajibu maswali sita (6) yafuatayo:
1. Nani alimwaga fedha?
2. Alimwaga fedha kwa ajili ya nini?
3. Alimwaga lini?
4. Aliwamwagia akina nani?
5. Alimwaga shilingi ngapi?
6. Alimwaga wapi?

Hayo maswali yasipojibiwa tuwaamini tu kwamba wanasema kweli? Mbona Dkt Harrison G. Mwakyembe alipotuhumiwa pamoja na Kamati Teule wakati wa kufuatilia mambo ya Richmond kwamba walihongwa alidai wakati anasoma taarifa ya Kamati yake wapewe ushahidi nao watawajibika kisiasa? Kama ushahidi SIO MUHIMU tuamini kwamba akina Dkt Harrison G. Mwakyembe na Kamati yote teule walihongwa kweli? Na huyo Dkt Harrison G. Mwakyembe ambaye alidai ushahidi na yeye ana MWELEKEO WA KIFISADI?
 
Buchanan nakubali maneno yako.Watajwe hao watu hao wanaogawa Ma hela ya kifisadi.UTHIBITISHO KUWA MAPESA HAYO NI YA KIFISADI UNATAKIWA!!! kama watu wamekuwa madarakani kwa miaka zaidi ya 20 watakosa vijisenti vya kuwapa walala hoi?!
 
Buchanan nakubali maneno yako.Watajwe hao watu hao wanaogawa Ma hela ya kifisadi.UTHIBITISHO KUWA MAPESA HAYO NI YA KIFISADI UNATAKIWA!!! kama watu wamekuwa madarakani kwa miaka zaidi ya 20 watakosa vijisenti vya kuwapa walala hoi?!

Sure!
 
2. Jukumu la kutoa taarifa ni la yule aliyeona kosa la rushwa likitendeka kulingana na kifungu cha 39 (1) cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, 2007, Na. 11 ya 2007 ambacho kinasema: "Every person who is or becomes aware of the commission of or the intention by another person to commit an offence under this Act shall be required to give information to the
Bureau." Hicho kifungu kimetumia neno SHALL kuonyesha kwamba ni LAZIMA kutoa taarifa na sio kuifanya hiyo taarifa kuwa SIRI yako kama maelezo yako uliyoyatoa hapo juu.

3. Ripoti ya Mwakyembe inahusikaje na umwagaji wa fedha majimboni? Na kama kweli umwagaji unaousema kuwa upo in connection na Ripoti hiyo basi solution sio malalamiko ambayo yanakwepa liability! [/QUOTE )


Asante kwa vipengele vya sheria lakini swali la kujiuliza, nani aliyeajiriwa kukamata walarushwa ? Kati ya Law abiding citizens na TAkukuru, yaani mtu aliyeajiriwa na kulipwa kuwa kufanya uchunguzi hafanyi halafu law abiding citizen : Msamaria mwema ndiye ampewe mzingo' wa kuripoti rushwa pekee : ??


kwamba sheria inasema hivyo ni sawa na sio ngeni pia Sheria ya Makosa ya Jinai inavipengele kama hivyo nafikiri kifungu cha 386/7/8, I do not have the law with me but one of those sections declares a person criminaly liable if he fails to prevent kosa la jina kufanyika, no question of duty of care, it is a mandatory requirement.

Lakini hapo point yangu kubwa ambayo inanitatanisha ni kwamba kwanini Takukuru hawajawahi kuwaita hao wabunge na kuwalazimisha kutoa ushahidi au lazivyo wachukuliwa hatua kama watakaa kutoa ushahidi . ??

Nikupe mfano, Mengi alivyotumia vyombo vya habari kuwataja Mafisadi Papa aliitwa na Takukuru alete ushahidi kwanini haijawambia hao wabunge ? Pia Mengi alivyosema na vyombo vya habari kuwa anatishiwa maisha, police na waziri wa mambo ya ndani walipa siku saba aweameleta ushahidi ?? kwanini hili lisitokee kwa wabunge hao, after all, kama wanasema uongo si ingejulikana ?

Swali lingine, Takukuru japo umekwepa kujibu swali kama unaamini repoti ya Kamati teule au la , kwanza kabla ya yote unaamini Takukuru ilifanya uchunguzi kubaini kama kuna rushwa swala zima la RICHMOND au la ? Unajua walipataje habari au unafikiri nani aliwaagiza kufanya hiyo ?

Lakini mbaya zaidi wao walisema hakuna neno wakabariki, kamati teule ikabaini kuna tatizo ndio maana EL and wengine walijuzulu . Bunge limepitisha maamuzi ambayo kimsingi hata waliojuuzulu waliridhika hawakulazimishwa kufanya hivyo ila wameona ni sawa ! OK

Sasa basi kama Takukuru hakuweza kufanya kazi yao ipasavyo nani atahangaika kutoa habari ? inavunja moyo kwa wasamaria wema . Kama chombo unakiamini of course na unajua ukiwaambia jambo wanafanya kwa ethics and standard za kazi zao kila mtaanzania atavutiwa kuota habari hizo lakini kama chombo hakiaminiki kwanini ujisumbue kutoa taarifa .....

Report ya Mwakiembe umesema unahusikaje, kama unafuatilia mambo vizuri tangu RICHMOND na kamati teule itoe taarifa, Mwakiembe and the group waliochangia na kuonyesha misimamo wote wamekuwa wakisakamwa kwanini ? ? Azimio si la bunge ?

Lakini pia , kama wewe pia unafuatilia mambo watu ambao wamekuwa wanashutumiwa unawajua umeshasoma kwenye magazeti sana tu hata kama they have names therefore you should know them.... kwamba kinachosema juu yao ni kweli au la ni swali tofauti kabisa !!!

sasa swali ? kwanini ni wao tu ndio wasemwe na sio wangine ? kwani wao tu ndio wenye pesa ?

Mimi naona hao wabunge wameshatoa taarifa vya kutosha, after all, mtu ana haki ya kuhisi sivyo ? ndio maana kuna uchunguzi, it is not a crime if a person suspects you labda uchukie tu but no legal base ...... that's is why if you want to sue for Malicious Prosection it only starts when you are apprehended na hiyo ni stage ya mwisho lakini huwezi kuitwa na kuhojia na polisi halafu ukasema ukafungua kesi ya Malice !!

Mimi nadhani kama Takukuru wako serious wao wangeendelea kufanya uchunguzi wao, for them to act sheria haijasema lazima informations iwe imekuwa communicated kwa njia fulani ndio wafanye kazi ndio maana huwa kuna investigation !

Kama una sheria hapo, please see if the law specifically states NJIA ambazo Takukuru itapokea taarifa na kufanyia kazi



Karibuni !
 
Mimi kama raia fedha nachukua bse uamuzi wa kumchagua nimpendae uko ndani yangu siku ya kupiga kura!Si wana mihera ya mchezo waipeleke Kilosa!
 
Buchanan,

Tatizo la sisi Watanzania wengi ni kushindwa kuwa na msimamo mmoja. Kosa ni kosa kwasababu linamhusu mbaya wako lakini kama liko kwa kipenzi basi huyo anaonewa.

Matokeo yake tutaendelea kuhamisha goal posts ili ku fit malengo yetu.

Kwa kila siku kupiga kelele za mafisadi hata pale pasipo na ufisadi wamefanya hilo neno libadilika kutoka kuwa kosa kubwa na kuwa kijembe cha kisiasa ambacho kila mmoja anaweza kutumia dhidi ya mwingine. Hata wale mafisadi wakubwa sasa wana raha maana sio wao tu wanaotajwa na badala yake malaki ya Watanzania wanaitwa mafisadi, wakiwemo wale ambao hawajawahi kuiba hata senti tano ya mtu.

Hao wanaolalamika majimboni kwamba pesa zinamwaga, wanajua ukweli wake na ndio maana hawako tayari hata kufuatilia. Wanachokifanya sio kutatua tatizo la ufisadi, bali kuwadanganya wananchi majukwaani.

Kuna mheshimiwa mmoja, anadai kwenye mikutano yake kwamba mafisadi wanamwaga pesa na kuwapa wajumbe, yeye mwenyewe akimaliza anawapa wajumbe hao hao pesa. Mtu unabaki kujiuliza, hivi wananchi wanafanywa wajinga kiasi hicho?

Watu wanataka maendeleo na sio kelele za majukwaani. Mpambano wa 2010 utakuwa juu ya nani ana vision nzuri ya kulisukuma jimbo mbele, ikiwa ni pamoja na kupambana na majanga mbalimbali pamoja na matumizi mabaya ya pesa za wananchi, na sio tu nani ana uwezo mkubwa wa kupiga kelele za mafisadi akiwa jukwaani.

Hatudanganyiki yeyote anayegombea kupitia CCM lazima amawage mapesa. Angalia chaguzi zote kuanzia chekechea hadi ujumbe wa NEC watu ni kutoa mapesa tu. Hata wewe umeshakusanya yakutosha ambayo kama kweli niyako halali nakushauri usiyatumie.

Mmmmh, huko naona kama umefika mbali mkubwa!
Mali wapi si Sofia Simba alishasema kuwa ndani ya CCM hakuna msafi?

Mwenye macho haambiwi tazama. Na ndio tatizo la watu wenye mwelekeo wa kifisadi - daima watadai ushahidi, hata pale mambo yanapojionyesha wazi. Hata RA ambaye uhalifu wake wote anaufanya underground anathubutu kuwaambia Watanzania watoe ushahidi kama yeye ni fisadi. Eti fedha zake zinatokana na biashara za babu zake tangu enzi hizooo.. Ebo!
Nimekupa senkiyu kule kwenye kitufe lakini ngoja nirudie tena hapa. Hapo nipobold ndio penyewe. Tunahangaika na kizazi cha mafisadi.
 
cherehani 100 alizotaka kutoa January Makamba huko Bumburi, huo ni mfano

Good, now you are talking!
Umebakisha masuala yafuatayo:
1. Cherehani zilitolewa kwa akina nani? 2. Zilitolewa lini? 3. Zilitolewa kwa ajili ya nini? 4. Umetoa taarifa TAKUKURU?
 
Asante kwa vipengele vya sheria lakini swali la kujiuliza, nani aliyeajiriwa kukamata walarushwa ? Kati ya Law abiding citizens na TAkukuru, yaani mtu aliyeajiriwa na kulipwa kuwa kufanya uchunguzi hafanyi halafu law abiding citizen : Msamaria mwema ndiye ampewe mzingo' wa kuripoti rushwa pekee : ??

Hapa ndugu Kibori ndipo inavyoonyesha jinsi ulivyopotea njia au huna uzalendo! Kutegemea kwamba TAKUKURU wadeal na watu karibu MILIONI 40 wakati wao ni minute ni number bila msaada wa wananchi kutoa taarifa labda kazi hiyo anaiweza malaika tu! Vyombo vingine vya dola km Polisi huchukua taarifa za wahalifu toka kwa Raia wema. Wanajeshi huwa nao wanapata taarifa za intelijensia toka kwa raia wema (JWTZ walimshinda Idi Amin kwa sababu ya ushirikiano mkubwa waliouonyesha wananchi wa Uganda), nk. Sasa unapodai eti wanachi wanapewa mzigo ulitaka mzigo huo waje waupewe akina nani? Nchi hii itajenjwa na kila mmoja, sio baadhi, wengine wakiwa watazamaji, kama kwenye mpira wa miguu!
 
Back
Top Bottom