Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,354
Wakuu,
Poleni na msiba wa Kitaifa uliopo mbele yetu.
Tukiwa bado katika maombolezo ya Kifo cha Raisi Mstaafu BM Mkapa, naomba kuuliza jambo;
Kumekuwa na nyimbo na mashairi katika misiba hasa hii ya watu mashuhuri,tangu kwa Ruge, Mengi wengine wengine maarufu waliofariki hapa Tanzania ambapo wamesikika waimbaji wakiwaambia marehemu awasalimie watu ambao nao tayari waliokwisha fariki kabla yao, mfano Nyerere maana yake nini hasa?
Au huwa wana maana gani hasa kusema hivyo,au wengine huenda mbali zaidi na kuwapa maagizo kwamba marehemu awaeleze waliotangulia kwamba huku duniani kuna hiki na kile kinaendelea?
Je, huwa wanamini watakutana wapi? na kwa Imani ya ipi hasa?
Naomba kufahamishwa.
Asante.
[URLhttps://youtu.be/WIPrNLMFvO4][/URL]
Poleni na msiba wa Kitaifa uliopo mbele yetu.
Tukiwa bado katika maombolezo ya Kifo cha Raisi Mstaafu BM Mkapa, naomba kuuliza jambo;
Kumekuwa na nyimbo na mashairi katika misiba hasa hii ya watu mashuhuri,tangu kwa Ruge, Mengi wengine wengine maarufu waliofariki hapa Tanzania ambapo wamesikika waimbaji wakiwaambia marehemu awasalimie watu ambao nao tayari waliokwisha fariki kabla yao, mfano Nyerere maana yake nini hasa?
Au huwa wana maana gani hasa kusema hivyo,au wengine huenda mbali zaidi na kuwapa maagizo kwamba marehemu awaeleze waliotangulia kwamba huku duniani kuna hiki na kile kinaendelea?
Je, huwa wanamini watakutana wapi? na kwa Imani ya ipi hasa?
Naomba kufahamishwa.
Asante.
[URLhttps://youtu.be/WIPrNLMFvO4][/URL]