Kuna watu hawana huruma kabisa. Hv kweli kw mfano humtaki mmbwa, paka aishi nawe ndo um bonde na marungu?
Hali hii imeniskitisha sana baada ya kuona mtu mwenye akili zake kumpa mtu kibarua ya kumuua mmbwa wake eti hamtaki tena. Mbwa ni mzima na wala hana kichaa.pia ni mzazi. Nilimuuliza kwanini anafanya hivyo hakunijibu.
Hali hii imeniskitisha sana baada ya kuona mtu mwenye akili zake kumpa mtu kibarua ya kumuua mmbwa wake eti hamtaki tena. Mbwa ni mzima na wala hana kichaa.pia ni mzazi. Nilimuuliza kwanini anafanya hivyo hakunijibu.