fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Kuhusu agizo la rais la kutenga maeneo David alipashwa ashirikishwe tu na Tibaijuka, Sasa kumwadhibu David wakati mwenye ardhi/maeneo kama rais alivyosema ni Tibaijuka, Mpaka sasa watu wanakukfa kwa mapigano ya kugombea ardhi, sera iko wapi??? bado mtz hana uhakika wa kupata ardhi kama hajakura ganji kubwa, Je ni sahihi rais kuidhinisha Daivd out wakati Tibaijuka akibaki????
Rais hatumii tu ripoti ya kamati ya bunge pia anavyombo na uelewa mpana, angeongeza jina la Tiba ingekuwa rais makini, labda tusubiri orodha za mawaziri mzigo.
Nawasilisha
Rais hatumii tu ripoti ya kamati ya bunge pia anavyombo na uelewa mpana, angeongeza jina la Tiba ingekuwa rais makini, labda tusubiri orodha za mawaziri mzigo.
Nawasilisha