Mwana Wa Maryam
Member
- Oct 22, 2007
- 65
- 2
Kuna kicha habari IPPMEDIA:Si inawezekana kurekebisha uchumi na kumuenzi Mwalimu?
Wangine wanasema: Tupigane na rushwa kumuenzi Mwalimu.
Hivi vitu vizuri vinafanyika kumu-enzi mtu au kwa manufaa yetu?
Wangine wanasema: Tupigane na rushwa kumuenzi Mwalimu.
Hivi vitu vizuri vinafanyika kumu-enzi mtu au kwa manufaa yetu?