Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
Tatizo lenu mnaona kila mtu anatembeza hiyo nanihi yake hovyo hovyo ,mnapenda kudanganywa.
exactly Mentor na hasa kama Past yenyewe ina utata utata hivi unaweza kuspoil kila kitu aisee
Hivi ni kwa nini wengi hasa wasichana utasikia wanasema "wewe ni wa tatu, wa tatu tu, wa kwanza primare, o level nilikuwa na mmoja akanizingua hapa nina miaka 5 sijawa na uhusiano wa kimapenzi" ...dammn,,uwongo mtupu bora wasiseme kabisa....