dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,020
- 2,157
Samahan eti Wewe ni yule ambaye harmonize alimtumia picha ya Kongolo lake??Mwanamke haifai kuaminiwa?
Samahan eti Wewe ni yule ambaye harmonize alimtumia picha ya Kongolo lake??Mwanamke haifai kuaminiwa?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sanaPeppapig njoo rafiki yangu uone nilichomaanisha 🤣🤣
At least umeelewa concept yangu 🤣🤣🤣 ukicheka wewe Furaha yangu inaongezeka. Good day🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana
Ningekua na kaela ningekununulia japo kasoda
You just made my day🤣😅🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣At least umeelewa concept yangu 🤣🤣🤣 ukicheka wewe Furaha yangu inaongezeka. Good day
95% akili kisodaUsigeneralize wanawake wote bana! Ni huyo tu mwenye akili mbovu si wote.
Oyeeeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wanawake oyeee
Karucee umelishwa maneno huku.Wakuu tufungeni mada wao wenyewe wameshakili..
Ngoja nimuambie akuchambe kimalkia...Uachage kiherehere unataka nichambwe..🤣
Huu mjadala hautaisha so kuuwa pointi ni kufanya unyang'anyi tu..🤣Yaani Acha kabisa.
Hiyo ni kukosa point ya kubishana na sisi
Mkuu nitakuchongea kwa mods ule ban fanya kupotezea Hawa wadada wa humu wanaweza chamba mpk ukashindwa kupumua..🤣Ngoja nimuambie akuchambe kimalkia...
Nimeacha mkuu, ila umewaua vizuri... 😀Mkuu nitakuchongea kwa mods ule ban fanya kupotezea Hawa wadada wa humu wanaweza chamba mpk ukashindwa kupumua..🤣
Hiki ni kitengo cha propaganda..😂Nimeacha mkuu, ila umewaua vizuri... 😀
And vice versa is true! Hivi hao akili kisoda mmeshawashuhudia mitaani kwenu ama mnasikia stories tu mitandaoni? Mbona mimi huku mtaani wadada wengi tu wanaojiheshimu🤷♂️95% akili kisoda
Hawezi kuwa yeye. IQ yake siyo finyu ya kutuma ujinga mtandaoni.#Paulapaula spokesman.Samahan eti Wewe ni yule ambaye harmonize alimtumia picha ya Kongolo lake??
Wewe Kenzy ni shidaaaaaa🤣🤣🤣Huu mjadala hautaisha so kuuwa pointi ni kufanya unyang'anyi tu..🤣
Utaona Sasa Kama huu mjadala utaisha mtakuwa mnapumzika tu mnarudi Tena mpk na vitukuu vyenu watajadili.. chakufanya nyie ishini tu kila mmoja apambane na bomu lake huko.😂Wewe Kenzy ni shidaaaaaa🤣🤣🤣