Kumuamini Mungu lazima uwe na dini za wageni?

Halafu unaambiwa bila Yesu hakuna kufika mbinguni.

Na huku wengine wanakwambia Mtume Muhammad ndiye mjumbe wa kweli wa Mungu.

Sasa hawa Waafrika wote waliokufa bila kumjua Yesu wanaenda motoni?

Hawa Waafrika wote waliokufa kabla ya kumjua Allah na mtume wanaenda motoni?

Mungu karuhusu hawa watu mabilioni waende motoni kuungua milele? Kwa sababu hawakumjua Yesu/Allah ?
Awap awo wanaowaita kina yesu ni stor tu hawajawahi kuwako, ther are imaginary characters made to brainwashe stupid people through religions...Mungu yupo kwel ila sio uyo anaetaka tumsujud kwa kuwaamini kina yesu,,,,matendo yako ndio yanakupereka mbnguni tuu. A sio takataka ziitwazo dni
 
Nitumie namba kuelezea kwa urahisi.

Tunaongelea base ten math.

Umesema 10 ni square root ya 2.

Mimi nakwambia 10 haiwezi kuwa square root ya 2.

Kwa sababu, square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2, haiwezi kuwa kubwa kuliko 2.

10 ni kubwa kuliko 2, na hivyo ukisema 10 ni square root ya 2, hiyo hoja yako si kweli, ina contradiction, contradiction inayoonesha uongo.

Nakuuliza unakubali kwamba kusema 10 ni square root ya 2 kuna contradict ukweli kwamba square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2?

Hutaki kujibu, unasema huo mjadala mwingine.

Kisha unaniambia, hata ukikubali kwamba 10 kuwa square root ya 2 ni contradiction kwenye kanuni kwamba square root ya 2 ni lazima iwe kubwa kuliko 2, hiyo contradiction inaoneshaje kwamba 10 si square root ya 2?
Hivi huoni shida ilipo kwa kuonesha hiyo contradiction na kutoa jibu la kwamba hakuna Mungu? Nadhani kuna haja kuanza kuulizana contradiction ni nini.
 
Awap awo wanaowaita kina yesu ni stor tu hawajawahi kuwako, ther are imaginary characters made to brainwashe stupid people through religions...Mungu yupo kwel ila sio uyo anaetaka tumsujud kwa kuwaamini kina yesu,,,,matendo yako ndio yanakupereka mbnguni tuu. A sio takataka ziitwazo dni
Unajuaje Mungu yupo kweli na ni yupi huyo?
 
Hivi huoni shida ilipo kwa kuonesha hiyo contradiction na kutoa jibu la kwamba hakuna Mungu? Nadhani kuna haja kuanza kuulizana contradiction ni nini.
Contradiction ni hali ya mambo mawili yanayopingana kusemwa kuwa yanatokea pamoja kwa namna ambayo haiwezekani.

Kwa mfano.

Katika Euclidean geometry, kuna duara. Duara hiki hakina pembe.

Pia kuna pembetatu. Pembe tatu ina pembe tatu.

Tukisema kuna pembetatu ambayo hapo hapo ninduara, hiyo ni contradiction.

Tumesema kitu ambacho kina sifa zinazopingana, kitu hicho hakipo.

Habari ya contradiction kuhusiana na pembetatu ambayo hapohapo ni duara inaonesha pembetatu ambayo hapohapo ni duara haipo.

Ni hadithi ya kutungwa na watu tu.

Unakubali kwamba pembetatu ambayo hapo hapo ni duara haiwezi kuwepo katika Euclidean geometry? Na hili linaeleweka kwa kuangalia ukweli kwamba kitu kimoja kuwa pembetatu na duara kwa wakati huo huo ni contradiction?
 
Dini nyingi za asili zilikuwa na mambo mengi ya hovyo sana.
Dini nyingi za asili zilikiua na mambo hovyo,je ni dini gani isiyopitwa na wakati na kufanyiwa editing?.Hivi kweli unazijua sababu za waislam kwenye mafundisho yao kupenyeza vitu vinavyoitwa #Hadithi na Visa?.

Basi kwa ukweli ulio zahiri ni kwamba,baada ya kuona kitabu chao kukuu msaafu kinashindwa kutoa ufafanuzi wa kina juu ya mambo tunayoendelea kuyajua baada ya ukuaji wa sayansi na teknologia basi na wao hurasmisha maandishi mapya ya kutunga na kubuni kwa jina la hadithi na visa ili kwenda na wakati.

Na hiyo ni kwenye dini zote,kadiri muda unavyokwenda basi kuna baadhi ya maandishi yao hukosa mantiki.Zinduka mtu mweusi!.
 
Contradiction ni hali ya mambo mawili yanayopingana kusemwa kuwa yanatokea pamoja kwa namna ambayo haiwezekani.

Kwa mfano.

Katika Euclidean geometry, kuna duara. Duara hiki hakina pembe.

Pia kuna pembetatu. Pembe tatu ina pembe tatu.

Tukisema kuna pembetatu ambayo hapo hapo ninduara, hiyo ni contradiction.

Tumesema kitu ambacho kina sifa zinazopingana, kitu hicho hakipo.

Habari ya contradiction kuhusiana na pembetatu ambayo hapohapo ni duara inaonesha pembetatu ambayo hapohapo ni duara haipo.

Ni hadithi ya kutungwa na watu tu.

Unakubali kwamba pembetatu ambayo hapo hapo ni duara haiwezi kuwepo katika Euclidean geometry? Na hili linaeleweka kwa kuangalia ukweli kwamba kitu kimoja kuwa pembetatu na duara kwa wakati huo huo ni contradiction?

"Contradiction ni hali ya mambo mawili yanayopingana kusemwa kuwa yanatokea pamoja kwa namna ambayo haiwezekani"

Sasa turudi kwenye mada yetu ya Mungu, ni mambo mawili yapi yenye kupingana ambayo hufanya hiyo contradiction?
 
"Contradiction ni hali ya mambo mawili yanayopingana kusemwa kuwa yanatokea pamoja kwa namna ambayo haiwezekani"

Sasa turudi kwenye mada yetu ya Mungu, ni mambo mawili yapi yenye kupingana ambayo hufanya hiyo contradiction?
1.Mungu ana upendo wote.

2. Mungu kaumba ulimwengu ambao mabaya kedekede yanawezekana, watu wanaumia na kufa kwa majanga, magonjwa, mioto, ma tsunami etc.

Hii ni contradiction au si contradiction?
 
Sasa kwa nini Quran imeandikwa Kiarabu, na ya lugha nyingine ni tafsiri?

Kwa nini miji mitakatifu Mecca na Medina ipo uarabuni?

Ina maana huyo Allah aliwapendelea Waarabu kuliko Wamakonde?

Allah alishindwa kuweka maagizo yake kwenye DNA watu wote wamjue, hata wasiojua Kiarabu na wasiojua kusoma?
Kwa uhakika huifahamu Qur'an,wala huufahamu uislamu,uislamu ndani ya Qur'an,na kupitia kwa Mtume Muhammad imealezea,kuwa Mungu,alileta mitume wengi tu duniani,wa mataifa tofauti na vitabu tofauti,na kwa makabila tofauti duniani,vitabu kama Taurati(Tora),Injili,Zaburi na vingine vingi,vya dini,vinatambulika katika uislamu,viko katika lugha tofauti,vilitumika kwa wakati wake.Mpaka kuja Qur'an kuandikwa kwa lugha ya kiarabu(standard Arabic),kiarabu cha kimataifa,ni kiarabu ambacho kiko rahisi kujifunza,kuliko lugha yoyote duniani.Na hata wewe ndani ya maisha,unatumia lugha ya kiarabu kwa kuongea,kuhesabu,maneno mengi katika lugha nyingi kiarabu kina maneno ndani yake,mpaka lugha za za kisomi tunatumia lugha ya kiarabu:
1:Neno hesabu,hisabati,na namba tunazotumia 0123456789,ni namba za kiarabu,karibia dunia nzima wanatumia namba hizi,darasa ni neno la kiarabu.
2:Ukija kwenye sayansi na hisabati twatumia maneno mengi ya kiarabu,kuanzia,kama aljebra,nk
Maneno mengi katika chemistry,neno lenyewe kemia ni kiarabu,majina ya alikaline(kama umesoma chemistry,itakuwa majina ya alkaline unayafahamu)na mengine mengi,ni.kiarabu,tukiyaandika hapa itachukuwa maandishi mengi.Hata neno kitabu,ni kiarabu,kalamu ni kiarabu nk.
Kwa hiyo Qur'n imekuja kwa kiarabu,kwa vile ni lugha nyepesi kujifunza na kuelewa,mbali ya kuwa na na alphabet yake,tofauti na lugha nyingi duniani hazina alphabet zake.Kwa kuziandika lazima utumie alphabet za lugha nyingine,mfano kiingereza,hakuna alphabet zake,inatumia alphabet za kilatini.
Kwachiyo kiarabu kimejitosheleza kwa
1.Lugha kujifunza ni rahisi
2.Ina alphabet zake
3.Ina mfumo wa namba zake(aina mbili ya mfumo wa namba)
4.Ni lugha ,ambayo imechanyika katika lugha nyingi duniani.
Kuwepo Maka na Madina,hakuna pendeleo wowote,makabila yoyote kabla ya kuja Qur'an,walikuwa na sehemu zao takatifu,Kwa mfano hata hapa Tanzania ziko sehemu,makabila yakifanya ibada,kwa kila eneo.Wapo waliokuwa wakifanya mapangoni,wapo wakifanya milimani,wapo waliokuwa wakifanya kwenye miti mikubwa,wapo waliofanya kwenye mito,nk,na kila sehemu ya dunia wapo kama Wahindu wakifanya kwenye mto mkubwa,nchini kwao nk.
Iipokuja Qur'an ndio ikaleta ibada ya pamoja,ya sehemu moja,Maka na Madina,na manufaa yake yanaonekana,kiuchumi,kiumoja,nk.
Ibada ya Maka na Madina,ki uchumi inafaidisha,Muislamu,asiye Muislamu,asiye na dini,kwa sababu huduma wanazotumia wanaokwenda Maka na Madina,kuanziaTaxi,mahoteli,guest,wakala wa tiketi za ndege,ndege wanazopanda,vyakula,wanyama,nguo nk,vyote vinavyotumika havichagui umenunua kwa mwenye dini gani au asiye na dini.Ni mtu mwenyewe kuchangamkia fursa.Uinue uchumi wako,na Taifa,kwa kuchangamkia fursa.
 
Point namba moja ni mahubiri.

Namba mbili nimeijibu.

Namba tatu nime realize baada ya kupost nika edit na kuijibu kabla hujanijibu soma tena.

Kimsingi hoja ya watu kuwa na free will inaonesha Mungu mjuzi wa yote hawezi kuwepo.

A God that is all knowing, all loving and all capable creating a universe in which evil is possible is a cintradiction.

Unaelewa hilo?
Huko kusema Mungu hayupo,ndio kuwepo kwake,kisichokuwepo hakisemwi hakipo.Ni kilichopo ndio husemwa hakipo,kwa kuwa kipo.
 
Watu wengi duniani hukosa fursa za kiuchumi kwa kupinga,jambo fulani,bila kuliangalia kiuchumi.
Kwa mfano uwepo wa watu wanaomini,kuwa kuna Mungu ni fursa nzuri sana,kiuchumi.Hawa watu wanaomini uwepo wa Mungu,ima wakiwa waislamu,wakristo,wahindu nk.Ni jumuia za watu wengi,wanamahitaji muhimu kwao,kuanzia majengo ya ibada,vifaa vya ujenzi vinavyotumika kujengea,vifaa wanavyotumia katika ibada zao,kama viti,mazulia,vipaza sauti,nk.
Ukija kwenye ibada na sherehe zao,ni furasa ya kibiashara,kuanzia vyakula vyao,vinywaji,nk
Magari wanayotumia, wanatumia mafuta,oil ,vipuli,nk
Na wanasafiri kwenda nje ya nchi,kama Maka,wanatumia usafiri kuanzia Taxi,mabasi,ndege kutoka duniani kote.Kulala kwenye mahoteli,maguest house,vyakula wanavyokula,nguo,kule kwenye ibada kunatakiwa vyakula,nguo,viatu,wanyama kama ng'ombe,mbuzi,kondoo,ngamia,kuku,samaki ,tena kwa pesa za kigeni.
Kwa hiyo uwepo wa Mungu,na kuamini kuwepo kwake,ni fursa tosha ya kiuchumi,kwa mwenye akili.
 
1.Mungu ana upendo wote.

2. Mungu kaumba ulimwengu ambao mabaya kedekede yanawezekana, watu wanaumia na kufa kwa majanga, magonjwa, mioto, ma tsunami etc.

Hii ni contradiction au si contradiction?
Ok sasa kama hiyo 1 na 2 zinaji contradict sasa inakuaje hiyo contradiction ifanye 1 ndio iwe haipo?
 
Ilikiwa iv mtu mweusi ndye bnadamu wa kwanza katika hii dunia na ndye asir ya mtu 100%..aw rangi zngne walkuja kmtego ukoo miaka mingi baada ya adam kuumbwa,,na kilichosababisha rangi hizo kuja ni muingiliano wa maraika wahasi baina ya mwanamke mweusi na kupelekea kuzaliwa kwa viumbe waitwao nephilims au machotara ama viumbe wenye laana,, viumbe awa ndio awa wazungu na waarabu ama wachina,,ubaya unakujaje, ubqya unakuja kila races inautakta uo uzaliwa wa kwanza ama utu ama ubora na hapa ndipo uhasama ukaanza dhidi ya mtu mweus na mweupe,,mtu mweupe alfanya uhasama mwng ikiwepo kumletea mweus miungu migeni ambayo ni sanamu, kuabudu mizimu na mapepo,apa il kufupishaa nitapungiza baaz ya mambo,,mtu mweupe ndie chanzo cha gharika la nuhu ilyotokea afrika apo kabla afrika aijameguka kuwa mabara7,,uhasama uliendelea mpka kizaz cha akina musa,ambapo alkuja kuwakomboa watu weusi dhid ya vifungo vya roho na sio kuwatoa utumwani misri,hakuna utumwa wa misri ushahid upo hata kwa biblia,,unapomwongelea mmsri ni sawa na kusema kabila la mnyakyusa na mpare wote wabanti so aimeke sense mbantu amtese nduguye, bal kuna uhuni fulan upo apo,,uhasama uliendelea mpaka katk kipnd cha akina marium uyu nae alizaliwa central afrika ama yerusalem ya kwel nae uyu alizaliwa pasina baba yaana alizaliwa kimiujiza na mama tuu,,na alilelewa kimaficho kumkinga na maadui maana aliwindwa saana ili azuiwe safar yake ya kumzaa christo ama kibantu anaitwa jokisabe ama kudumane mula yaan mzaliwa wa kwanza,,,uhasama wote uo ulkuwa ukifanywa kimwil kwa kutumia dora za wazungu la roman kuzuia mtoto kuzaliwa kwa kuuwa vichanva, pili uhasama wa kiroho kupitia ushirikina,,christo alikuja miaka miingi zaid ya 2000 ilyopita na lengo lake ilkuwa kumkomboa mtu mweus tuuu kiroho na si mtu mwngine, kwa bahat mbaya watu weus weng walimkataa na kushirikiana na wazungu wa kirumi kumsurubisha, bas Mungu aliamua kuleta pigo kwa waafrika kwenda utumwan miaka400,,na ujue kuwa kila waafrika walpokosea azabu yao ilkuwa n kupigwa ama kuchukuliwa utumwa, pia baada ya christo wa kwel kuondoka roman ikivamia yerusalem ambapo ni afrika ya kati,iliwapiga nakuwauwa wengii sanaa waafrika na kufanya wengine kutorokea falmea za nubia ama sudan wengine kush ama ethiopia, wengine south, wengine masharik na wengne magharb uko kwa wanaija,,ujio mzungu afrika umekuwa wa niambaya siku zotee lakn mara hii baada ya kondoka kristo ilkuwa mbya zaid maana waliiba vitabu vyetvya kihistori, wakaiteketeza misri na maktaba yake tote awakuishia apo wakaiba mpka technolojia,,wao walipojua Nguv za muafrika zatokana na Mungu yaan iman ndoo waliamua kuunda dini mbili yaan ukristo na usilam, uislamu umetengenezwa na mrumi kwa kuchukuwa mila za mwarabu na stor za biblia, na biblia imetengenezwa kwa kutumia maandish wa waafrika yenye lugha ya kibantu...so baad ya uvamiz na waafrika weng kutawanywa, wazungu waliludi teena karne ya14 hiv wakianza na wapelelez wafanya biashara na waeneza dini, hapa awa waeneza dini walileta dini ambyo ishafanyiwa kila aina ya uchafu yaan kumpotosha kristo wa kwel, taifa la kwel la israel, ukwel wa manabii, ukwel kuhusu migawanyo ya rangi,ukwel kuhusu siku za mwisho,ukwel kuhusu sadaka na ibada,,so baada ya karne ya14 walpoanza kuja na kupata data kamiki kihusu afrika walilitimiza andiko la kumchukuwa mwafrika utumwan,,waafrika mamilion waliperekwa utumwan weng walkuwa wakitoswa baharin, wengne kukatwa miguu na mikono waliosalia walioerekwa uko amerika ambako wako akina 50cent,jz,beyons,criss brown, na tuliosalia walibaki afrika wakipingana na uhuni uo, dini zao ziliuwa maelfu ya waafrika,,,shahid ni nyiing saana
...biblia ya kibantu ipoo na imeanza ad kutafsiliwa kwa lugha ya kifaransa, na inatafsiriwa na mtu maalum kukwepa uhun wa kudanganya
Uandishi wako unatia uvivu kusoma na ukizingatia maelezo marefu sana.
 
Imagine Kama mwarabu asingekuja Africa mpaka miaka hii. Tusingekuwa na mwingiliano nao. Ungepata wapi huo muda wa kuifahamu. Na je uko huko kisa umezaliwa ukakuta wazazi wanaenda huko ukaanza kushindiliwa ubongoni mpaka yakaota
Kwani wachina wanaishije???
 
Mimi dini yangu ya kiislam haijaletwa na Mzungu Wala Muarabu, ni dini ya Mwenyezi Mungu, nimetambua Hilo baada ya kuisoma Quraan, yaliyomo humo hakuna binaadam anaeweza kuyaandika na kuyaweka humo.
Unaposema dini haijaletwa na mzungu wala muarabu, wakati maneno ya dua yako katika hizo lugha za kigeni, unamdanganya nani?
 
Hujakanusha hoja yangu kwa hoja.

Shetani naye katungwa na watu tu. Nje ya hadithi hizo za watu, hayupo.
kuweka mipaka katika ufahamu ni tatizo linalowakabili watu wengi, baadhi ya watu hudhani ufahamu walionao juu ya jambo fulani ndio mipaka ya ufaham kitu ambacho si sahihi.

kama ilivyo katika sayansi ya kimwili hata kwenye sayansi ya kiroho ili uweze kuthibitisha uwepo wa mungu/shetani kuna kanuni zake.
 
26 Reactions
Reply
Back
Top Bottom