Niwaheri
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,767
- 2,760
Sidhani kama hilo ni swali la kujiuliza mara mbili endapo hiyo kazi ni ndani ya nchi hii japo ilitakiwa ueleze hali ilivyo ili tukushauri vizuri,
Kazi kwanza mapenzi badae na sidhani kama kazi itakufanya umuache mke wako otherwise una agenda yako
Shida ya wanadamu unaacha kila kitu kwa ajili yake na bado hakuthamini
Nakumbuka miaka kadhaa ya nyuma mmewangu alikuwa anaenda kusoma nje ya nchi kwa kipindi cha miaka miwili basi akawa anawaza eti ataniachaje akanambia au asiende nkamwambia we acha ujinga nenda shule kwanza mi utanikuta
Kazi kwanza mapenzi badae na sidhani kama kazi itakufanya umuache mke wako otherwise una agenda yako
Shida ya wanadamu unaacha kila kitu kwa ajili yake na bado hakuthamini
Nakumbuka miaka kadhaa ya nyuma mmewangu alikuwa anaenda kusoma nje ya nchi kwa kipindi cha miaka miwili basi akawa anawaza eti ataniachaje akanambia au asiende nkamwambia we acha ujinga nenda shule kwanza mi utanikuta