Mr No fair
Member
- Oct 25, 2020
- 53
- 52
Naomba kufahamu jambo gani sahihi kati ya kumuacha Mke kwaajili ya kazi au kuacha kazi kwaajili ya Mke? Maana mazingira yaliyopo yananifikirisha naombeni tu ushauri juu ya hili wana JF
Ningepend kufahamu hapo kipi bora huenda jibu litanisaidia kwenye maamuzi yangu au likawasaidia wengine piaEm fafanua vizuri mkuu
Nawahitaji waongee lolote huenda likanisaidia au kutusaidia wengine humuNgoja feminists waje wakushambulie hapa.
Utasikia wazee wangu wameangaika kunisomesha miaka yote Leo hii kamtu From nowhere aniambie niaache kaz
Ngoja feminists waje wakushambulie hapa.
Utasikia wazee wangu wameangaika kunisomesha miaka yote Leo hii kamtu From nowhere aniambie niaache kaz
Ngoja feminists waje wakushambulie hapa.
Utasikia wazee wangu wameangaika kunisomesha miaka yote Leo hii kamtu From nowhere aniambie niaache kaz
Soma post vizuri bwana, mbona unatusimanga wanawake.
Ameuliza je aache yeye me kazi kwaajili ya mkewe? Au aache make kwaajili ya kazi?
99.99999999% ya feminist hawajaolewa na hawaolekiIla ni kweli japo jamaa kachomekea nje ya mada kidogo ila mafeminist hua mnahulka ya kujibu kama alivyosema jamaa. Niongeze tu pia mafeminist ni mabinafsi KWA KIWANGO CHA PHD. Chanu chenu cha mume cha wote niongezee pia mnakwepa majukumu yenu ya nyumbani sijui hata hao wanaume wanawezaje kuishi na mijitu toxic kama wanaharakati mafeminist no wonder asilimia kubwa hawajaolewa.
99.99999999% ya feminist hawajaolewa na hawaoleki
default setting zangu zinasema hayo maswali huwa wanaulza wadadaSoma post vizuri bwana, mbona unatusimanga wanawake.
Ameuliza je aache yeye me kazi kwaajili ya mkewe? Au aache make kwaajili ya kazi?
Kama unaweza lisha familia bila kaz hakuna shidaNgoja feminists waje wakushambulie hapa.
Utasikia wazee wangu wameangaika kunisomesha miaka yote Leo hii kamtu From nowhere aniambie niaache kaz
default setting zangu zinasema hayo maswali huwa wanaulza wadada
Ila kwa feminist haina shida eee....!!! Hata kama hawezi lisha familia.Kama unaweza lisha familia bila kaz hakuna shida