MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,708
- 70,998
- Thread starter
- #41
Huu sasa uongo😆😆😆😆Kwani idd amin si alifia Kyela?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu sasa uongo😆😆😆😆Kwani idd amin si alifia Kyela?
😃😂yupi huyo😆😅usijali huyu tutamchapa sanaaa au tumfunge dumu la petrol eeeeeh
Idd amin aliepuka kifo kwa sekunde kadhaa tu
Najivunia mzee wangu alikwepo front line kumchapa huyo nduli
Magufuli yupo imara hakuna wa kuichokoza nchi yetu
inaonesha hujui chochote kuhusu chanzo cha vita, still water runs deep.Kwahiyo Uganda hawakutuchokoza kwa kuivamia Kagera?
ndo maana unasifu sifu kumbeUnataka nini mkuu
😂😂😂😂Use your own brain, don’t depend on another man’s brain. Jiwe kafika vp hapa? Nyie mnasababisha wadada waonekane wote wako kama wewe
ndo maana unasifu sifu kumbe
....Habari wakuu,
Kitendo cha kumuacha idd amin dada akimbie na kumuacha mpaka afe kwa amani kilikuwa ni mfano mbaya sana kwa madikteta, sasa madikteta wanajua wanaweza kuichezea nchi yetu na wakakimbia bila kuchapwa, huu ulikuwa ni mfano mbaya sana, kosa kama hili tusilirudie tena
Asanteni
huyu ambaye ana mbuga, mm naona tumchomolee betri au unaonaje ?yupi huyo
Hata wanaowapokeaga kama wakimbizi wa kisiasa wanafanya makosa makubwa sanaHabari wakuu,
Kitendo cha kumuacha idd amin dada akimbie na kumuacha mpaka afe kwa amani kilikuwa ni mfano mbaya sana kwa madikteta, sasa madikteta wanajua wanaweza kuichezea nchi yetu na wakakimbia bila kuchapwa, huu ulikuwa ni mfano mbaya sana, kosa kama hili tusilirudie tena
Asanteni
Unamaanisha kwamba huyu wasimuache afe kifo cha asili au Mimi sijaelewa??Habari wakuu,
Kitendo cha kumuacha idd amin dada akimbie na kumuacha mpaka afe kwa amani kilikuwa ni mfano mbaya sana kwa madikteta, sasa madikteta wanajua wanaweza kuichezea nchi yetu na wakakimbia bila kuchapwa, huu ulikuwa ni mfano mbaya sana, kosa kama hili tusilirudie tena
Asanteni
hivi alikosekana wa kumtupa kageraHivi jamaa sindio alitakiwa kiwa chakula cha mamba?
Iddi Amini alikuwa muislam safi na alifata mafundisho ya kiislam. Alifanya uislam ndio sababu wenye dini Yao wakamuita apumzike huko Saudia.Habari wakuu,
Kitendo cha kumuacha idd amin dada akimbie na kumuacha mpaka afe kwa amani kilikuwa ni mfano mbaya sana kwa madikteta, sasa madikteta wanajua wanaweza kuichezea nchi yetu na wakakimbia bila kuchapwa, huu ulikuwa ni mfano mbaya sana, kosa kama hili tusilirudie tena
Asanteni
Use your own brain,
Namaanisha tusirudie kosa na kumuacha dikteta afe kifo cha asiliUnamaanisha kwamba huyu wasimuache afe kifo cha asili au Mimi sijaelewa??
DuuhUnafikiri natumia mafi kufikiri kama wewe
Unafikiri natumia mafi kufikiri kama wewe
Matusi ya nini mkuu, au ndiyo mambo ya kuishiwa hoja?