Kumuacha Idd Amin dada afe kifo cha asili tulifanya mfano mbaya sana kwa madikteta

Nini hii 👇... Mikocheni Junction
20190813_194301.jpg
 
Duh..Aliyemfukuza ni Nyerere ila jamaa alikuwa na marafiki wenye nguvu tu na walikuwa wakiona yupo sawa Gadafi anayetajwa sana ni mzuri alimtumia shehena ya silaha Saudia walimpa hifadhi

Nyerere naye alikuwa akiingilia mataifa ya watu na kupindua serikali zao huku akizituhumu zimemchokoza kama Marekani inavyofanya,
Alipindua Serikali ya Uganda ikiwa huru, Serikali ya Zanzibar ikiwa huru, na akaunga mkono waasi huko Nigeria waliotaka kujitenga
Wafuasi wake watasema alikuwa anafanya kwa nia njema ila kwenye siasa kila mtu akifanya kitu anadai anafanya kwa nia njema
Kwahiyo Uganda hawakutuchokoza kwa kuivamia Kagera?
 
Habari wakuu,

Kitendo cha kumuacha idd amin dada akimbie na kumuacha mpaka afe kwa amani kilikuwa ni mfano mbaya sana kwa madikteta, sasa madikteta wanajua wanaweza kuichezea nchi yetu na wakakimbia bila kuchapwa, huu ulikuwa ni mfano mbaya sana, kosa kama hili tusilirudie tena
Asanteni
usijali huyu tutamchapa sanaaa au tumfunge dumu la petrol eeeeeh
 
Hawa wote walikuwa madikteta wakitofautiana styles
Mpaka sasa hakuna sababu makini ya vile vita, ndio maana hata walio take over akina M7 na PK bado wana u Dictator
Hivi Idd Amin ana tofauti gani na M7 au PK ?? na wote walikuwa trained hapa kwetu

Achana na Idd Amin ambaye ameishakufa jee M7 na PK nao wafanywe nini ????
 
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom