Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,509
- 6,862
Ngoja kwanza, umeoa? Kama ndio, ndoa yako ina miaka mingapi? Maanake hu msimamo wako hu uliwashinda MANABII. Mfano Adamu, wengi hua nawasikia wakisema kwamba wakati Hawa/Eva anaongea na nyoka, Adamu hakuwepo pale, sio kweli, Adamu was there leaserning his wife debating with the serpent, huyo mmoja, hivi unajua ugomvi wa Waarabu na Wayahudi ni kwasababu ya baba yao kushindwa kum control mkewe? Mkewe ndio alilazimisha huyu baba wa Imani kulala na house girl, matokeo yake ndio hayo, house girl katengeneza waarabu na yeye mama alikuja kuzaa whats called leo Wayahudi, i think pia unaifahamu vizuri story ya Samson, bongo pia hapa zipo story za wakubwa wetu pia; mwanamke ni kiumbe kingine kabisa, ndio pekee kilicho pata fursa ya kuongea na shetani wakati aliyepata fursa ya kuongea na Mungu ni mwanaumeMi msimamo wangu huwa ni mmoja siyumbishwi,nikisema no ni no ,nikimwambia usirudi kuniletea ishu hizi ndo hivo ,anapata nguvu wapi kuingilia maamuzi yangu,nikiona ushauri mzuri nitauchukua sifanyi kwa kumridhisha kama hawezi aondoke