Kumtunza mwanamke kwa lengo la kumridhisha ni kupoteza muda wako

Wewe age go unajua ku-drive kweli? Anyway, ni hivi huyo mumeo amepata mke bora anayetambha majukumu yake(wewe), na ndiyo maana kakupa usafiri. Wanaume hatutoi toi tu magari na huduma hovyo kwa watu wasio na sifa za kuwa wake bora. Wewe ni mke bora na ndiyo maana umepata vyote, unastahili. La sivyo, mpaka muda huu ungeota sugu kwa kuhemea dala dala, na kusonga ugali. Mshukuru Mungu.

Umeandika saaaaaaana......
Age yangu unaijua?? Hebu nipe vigezo vya age ya kudrive😂😂😂😂
 
Ngoja kwanza, umeoa? Kama ndio, ndoa yako ina miaka mingapi? Maanake hu msimamo wako hu uliwashinda MANABII. Mfano Adamu, wengi hua nawasikia wakisema kwamba wakati Hawa/Eva anaongea na nyoka, Adamu hakuwepo pale, sio kweli, Adamu was there leaserning his wife debating with the serpent, huyo mmoja, hivi unajua ugomvi wa Waarabu na Wayahudi ni kwasababu ya baba yao kushindwa kum control mkewe? Mkewe ndio alilazimisha huyu baba wa Imani kulala na house girl, matokeo yake ndio hayo, house girl katengeneza waarabu na yeye mama alikuja kuzaa whats called leo Wayahudi, i think pia unaifahamu vizuri story ya Samson, bongo pia hapa zipo story za wakubwa wetu pia; mwanamke ni kiumbe kingine kabisa, ndio pekee kilicho pata fursa ya kuongea na shetani wakati aliyepata fursa ya kuongea na Mungu ni mwanaume
Kwa hiyo kitendo cha Adam kushuhudia mkewe akibishana na nyoka, hii inamaanisha mwanamke ni hatari?

Halafu mbona kama unalazimisha wengine waamini kama unavyotaka wewe?(huo ni ushamba).

Kwa hiyo kama manabii walishindwa kuwa na msimamo huo, ina maana mimi nitashindwa? Mimi ni hao manabii? Umeshau Mungu kaumba kila mtu kwa personality yake?

Pia, kuhusu suala la Waisrael na Waarabu, una uhakika gani kama Sarah alimlazimisha Abraham azae na kijakazi, na si kumshauri/kumsihi? Nipe andiko lisemalo alimlazimisha!

Nakupa nyongeza tu kwa faida yako, si vema kulazimisha watu tuamini kama unavyotaka wewe.
 
Ngoja kwanza, umeoa? Kama ndio, ndoa yako ina miaka mingapi? Maanake hu msimamo wako hu uliwashinda MANABII. Mfano Adamu, wengi hua nawasikia wakisema kwamba wakati Hawa/Eva anaongea na nyoka, Adamu hakuwepo pale, sio kweli, Adamu was there leaserning his wife debating with the serpent, huyo mmoja, hivi unajua ugomvi wa Waarabu na Wayahudi ni kwasababu ya baba yao kushindwa kum control mkewe? Mkewe ndio alilazimisha huyu baba wa Imani kulala na house girl, matokeo yake ndio hayo, house girl katengeneza waarabu na yeye mama alikuja kuzaa whats called leo Wayahudi, i think pia unaifahamu vizuri story ya Samson, bongo pia hapa zipo story za wakubwa wetu pia; mwanamke ni kiumbe kingine kabisa, ndio pekee kilicho pata fursa ya kuongea na shetani wakati aliyepata fursa ya kuongea na Mungu ni mwanaume
Kwa hiyo unasema mwanamke ni kiumbe 'kingine kabisa' kwa kuongea na shetani sio? Na je, tumuiteje mwanaume aliyeongea na Mungu ambaye ni mkubwa mara dufu kuliko huyo shetani?

Unajaribu kutuaminisha kuwa mwanamke ni kiumbe wa pekee mno, sio mbaya ila nijibu tu maswali yangu tafadhali, unaweza kunishawishi.

Umesema kuwa hata Bongo, viongozi baadhi hutawaliwa na wake zao, sio mbaya ila si WOTE.

Kwa hiyo hoja yako/mtazamo wako wa kusema mwanamke ni 'kiumbe mwingine' na kumpa upekee kuliko mwanaume, naona haina mashiko endapo utashindwa kutetea hoja zako kwa kujibu maswali yangu.

Kazi njema!
 
Kwa hiyo unasema mwanamke ni kiumbe 'kingine kabisa' kwa kuongea na shetani sio? Na je, tumuiteje mwanaume aliyeongea na Mungu ambaye ni mkubwa mara dufu kuliko huyo shetani?

Unajaribu kutuaminisha kuwa mwanamke ni kiumbe wa pekee mno, sio mbaya ila nijibu tu maswali yangu tafadhali, unaweza kunishawishi.

Umesema kuwa hata Bongo, viongozi baadhi hutawaliwa na wake zao, sio mbaya ila si WOTE.

Kwa hiyo hoja yako/mtazamo wako wa kusema mwanamke ni 'kiumbe mwingine' na kumpa upekee kuliko mwanaume, naona haina mashiko endapo utashindwa kutetea hoja zako kwa kujibu maswali yangu.

Kazi njema!
Shetani ana lugha ya ushawishi hence aliyeongea na shetani he/she may look like it au njia atakazo tumia ni hizo hizo, Mungu hashwishi, anaelekeza tena kwa upole na halazimishi ila anatakwambia madhara ya kutofuata maelekezo but again kwa upole; nahisi swali lilikua moja, hilo lingine unataka kuniletea ugomvi na watu, in fact halina wema ndani yake so naomba nisijibu hilo mkuu.

Mwisho, jaribu kufanya kautafiti kadoogo kwa walioa baadhi ya makabila yenye wanawake wenye ushawishi, angalia jambo hili; wamejenga UKWENI kwao au laa? La pili, linganisha aina ya majengo yaliojengwa na wao ukweni kwao then na kwao walikozaliwa, yaani kwa wazazi wake. Ndio utaelewa nguvu ya mwanamke. Nakupa nyingine hi, sina hakika na umri wako kama ambavyo pia hujui pia umri wangu but a small research, kama unaishi na ndugu yao (may be mwanaume ) kama ameoa, jitahidi uwezavyo kupatana na mkewe, vingenevyo hiyo nyumba hutakaa muda mrefu, well kama na wewe ni mzee kama mimi then angalia jamii iliokuzunguka, ndugu wepi hua wana enjoy wanapotembelea wana ndoa wowote wenye uwezo, wa mwanamke au mwanaume??? This si why Mungu alituelekeza kwamba, tuishi nao kwa akili hawa viumbe. Sijui kama nimejibu vizuri maswali yako
 
Kwa hiyo kitendo cha Adam kushuhudia mkewe akibishana na nyoka, hii inamaanisha mwanamke ni hatari?

Halafu mbona kama unalazimisha wengine waamini kama unavyotaka wewe?(huo ni ushamba).

Kwa hiyo kama manabii walishindwa kuwa na msimamo huo, ina maana mimi nitashindwa? Mimi ni hao manabii? Umeshau Mungu kaumba kila mtu kwa personality yake?

Pia, kuhusu suala la Waisrael na Waarabu, una uhakika gani kama Sarah alimlazimisha Abraham azae na kijakazi, na si kumshauri/kumsihi? Nipe andiko lisemalo alimlazimisha!

Nakupa nyongeza tu kwa faida yako, si vema kulazimisha watu tuamini kama unavyotaka wewe.
Umeoa au bado? Hili ndio lilikua swali la kwanza, la pili lilikua, je ndoa yako ina muda gani???? Ukijibu hayo maswali 2 tunaweza kwenda pamoja vizuri
 
Kwa hiyo kitendo cha Adam kushuhudia mkewe akibishana na nyoka, hii inamaanisha mwanamke ni hatari?

Halafu mbona kama unalazimisha wengine waamini kama unavyotaka wewe?(huo ni ushamba).

Kwa hiyo kama manabii walishindwa kuwa na msimamo huo, ina maana mimi nitashindwa? Mimi ni hao manabii? Umeshau Mungu kaumba kila mtu kwa personality yake?

Pia, kuhusu suala la Waisrael na Waarabu, una uhakika gani kama Sarah alimlazimisha Abraham azae na kijakazi, na si kumshauri/kumsihi? Nipe andiko lisemalo alimlazimisha!

Nakupa nyongeza tu kwa faida yako, si vema kulazimisha watu tuamini kama unavyotaka wewe.
Mbona ni kama wewe ndie unalazimisha yeye aamini unachokijua wewe.

Nadhani sio poa kuattack mtu kisa ametoa maoni yake personally. Wewe focus yako weka kwenye mada, changia au kanusha ila sio unalaumu.

Kama unahisi kakosea basi fungua na wewe uzi utakaosema ukweli wa mambo na sio kushambulia mwingine sababu kaandika jambo ambalo halifurahishi.
 
Back
Top Bottom