Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,177
- 7,699
Amesema walishafutwa uanachama na kuvuliwa uongoz. Sasa ucje na maugonjwa yako hapa bila kujibu hojaAcha wivu wewe
Amesema walishafutwa uanachama na kuvuliwa uongoz. Sasa ucje na maugonjwa yako hapa bila kujibu hojaAcha wivu wewe
Barua ilikuja Chadema kutoka uvccm ikiwaomba Bavicha washiriki , Bavicha wakauliza kama watapewa chance ya kutoa neno , uvccm wakagoma , Bavicha wakasema kama ni hivyo hatutakuja , hii ni kwa mujibu wa Twaha Mwaipaya kiongozi wa Bavicha .Huwezi kudanganywa jambo unalojua ukweli wake.
Lakini sasa kwanini Chadema hawakupeleka wawakilishi?
Kwani maugonjwa yanasemaje?... Sasa ucje na maugonjwa yako hapa bila kujibu hoja
Wewe Abrianna, hata kama Hanje ametukosea, ndo umshushe kiwango hivyo hadi umfananishe na magonjwa mtambuka?!Unaweza kukuta huyu magonjwa mtambuka ndio nusrat hanje
Ana uhuru wote, tatizo ni kwamba, yeye siyo mwakilishi wa BAVICHA wala CHADEMA! Amefukuzwa uanachama, alipaswa kusimama pale kuwakilisha kitu kingine chochote, siyo CHADEMA, alafu atumie huo uhuru wa maoni!Kwanini mnakandamiza haki za binadamu nyie ..huo ndio uhuru wa maoni bwana
Mkuu hiyo Sikuna, inaharibu hoja yako, irekebishe kidogo!Sikuna viongozi wa chadema mwanza na taifa kwanini wasikanushe au kwanini wewe kama wewe usimshitaki aliyejitambulisha?
uvivu upi kiongoziAcha wivu wewe
Uvivu wote.uvivu upi kiongozi