Yani ni mambo ya hovyoo.Ummy Mwalimu huko morogoro et "Rais Samia anakwenda kuweka historia ya kujenga madarasa manne ktk shule ya matombo"
Yani unabaki unajiuliza hivi wanajielewa kweli hawa mawaziri na wengine wataja rais rais rais kila kitu?!!! Hovyo Tanzania
Sasa tupo burundi wanatukamataje ..au ndio watavuka kama malawi ..tunaenda Guinea watufate kwa Mamadi Damumbaya 🤣🤣🤣🤣🤣Simbachawene kasema ukimsemasema rais Samia anatuma hawa vijana wake kukukamata
View attachment 1948657
Sasa tupo burundi wanatukamataje ..au ndio watavuka kama malawi ..tunaenda Guinea watufate kwa Mamadi Damumbaya 🤣🤣🤣🤣🤣
Na miradi ambayo ni ya wananchi ambayo ni wananchi, wanakijiji, wakinamama.. watajwe hao.
Na pesa sio za Rais.. hili lieleweke vizuri.
Vyomb vya habar viwajibishwe kwanzaKuna baadhi ya vitu yani kama ni binadamu wa kawaida kabisa vinatia kichefuchefu sana.
Hivi ni kweli kwamba kila kitu kinachofanyika katika nchi hii na vingine ni vya aibu na vingine wala Rais hauhusiki ktk kuvifanya , Je ni lazima kumtaja. 'Rais anakwenda kufanya. Rais anakwenda kufanya..'
Hivi ni kweli kwamba Marais wa nchi hii wanataka kuwa acknowledged namna hiyo hata kwa vitu ambavyo vinatia aibu. Hii si sawa kabisa na huu ni utopolo na umakolo wa hali ya juu kabisa.
Sidhani kama Rais Samia anahitaji sifa za hovyo namna hiyo na nyingine za aibu. Nafikiri Viongozi na Watumishi serikalini muache kujipendekeza.
Kuna habari moja ya aibu nimeitizama TBC muda si mrefu. Kuna shule huko Morogoro , Matombo sekondari. Tangu uhuru hakuna muundo mbinu wowote ambao Serikali imewahi ongeza..shule hiyo ilijengwa na mkoloni. Sasa kuna madarasa ma nne tu nasisitiza Ma NNE TU..serikali ya CCM ndo imeona iyajenge leo, 60 years later since colonial era anatajwa Rais Samia... "Rais Samia anakwenda kujenga vyumba vinne...'' what in the hell is this?
Embu Rais atajwe katika mambo ya msingi.. Mambo mengine kumtaja Rais ni kumtukana. Ifike mahala tuache potosha wananchi. Miradi mingine ni ya Wananchi.. Aibu.
Mambo kama haya ndio yanawapa watu hawa utukufu na kujikuta wao ni Miungu hapa duniani. Na ndio maana mtu anaweza simama mbele za watu na kusema 'nitaenda kuwa viongozi wa malaika...' ujinga kabisa. Kumbe sisi wenyewe ndo tumewajaza Ufalme Juha... Ukuu uliopitiliza na Utakatifu.
Tuache Ujinga huu.
AIONE SSH.
We still undergo the hang over of worshipping leaders instituted by Magufuli or the 5th phase government as popularly known.Kuna baadhi ya vitu yani kama ni binadamu wa kawaida kabisa vinatia kichefuchefu sana.
Hivi ni kweli kwamba kila kitu kinachofanyika katika nchi hii na vingine ni vya aibu na vingine wala Rais hauhusiki ktk kuvifanya , Je ni lazima kumtaja. 'Rais anakwenda kufanya. Rais anakwenda kufanya..'
Hivi ni kweli kwamba Marais wa nchi hii wanataka kuwa acknowledged namna hiyo hata kwa vitu ambavyo vinatia aibu. Hii si sawa kabisa na huu ni utopolo na umakolo wa hali ya juu kabisa.
Sidhani kama Rais Samia anahitaji sifa za hovyo namna hiyo na nyingine za aibu. Nafikiri Viongozi na Watumishi serikalini muache kujipendekeza.
Kuna habari moja ya aibu nimeitizama TBC muda si mrefu. Kuna shule huko Morogoro , Matombo sekondari. Tangu uhuru hakuna muundo mbinu wowote ambao Serikali imewahi ongeza..shule hiyo ilijengwa na mkoloni. Sasa kuna madarasa ma nne tu nasisitiza Ma NNE TU..serikali ya CCM ndo imeona iyajenge leo, 60 years later since colonial era anatajwa Rais Samia... "Rais Samia anakwenda kujenga vyumba vinne...'' what in the hell is this?
Embu Rais atajwe katika mambo ya msingi.. Mambo mengine kumtaja Rais ni kumtukana. Ifike mahala tuache potosha wananchi. Miradi mingine ni ya Wananchi.. Aibu.
Mambo kama haya ndio yanawapa watu hawa utukufu na kujikuta wao ni Miungu hapa duniani. Na ndio maana mtu anaweza simama mbele za watu na kusema 'nitaenda kuwa viongozi wa malaika...' ujinga kabisa. Kumbe sisi wenyewe ndo tumewajaza Ufalme Juha... Ukuu uliopitiliza na Utakatifu.
Tuache Ujinga huu.
AIONE SSH.
Wamesoma PGO?Simbachawene kasema ukimsemasema rais Samia anatuma hawa vijana wake kukukamata
View attachment 1948657
Uko sahihi. Bunge linapitisha bajeti lkini kila anasems Samia katoa hiki au kile huu ni unsfiki kwani wskisema serikali tatizo ni nini.Kuna baadhi ya vitu yani kama ni binadamu wa kawaida kabisa vinatia kichefuchefu sana.
Hivi ni kweli kwamba kila kitu kinachofanyika katika nchi hii na vingine ni vya aibu na vingine wala Rais hauhusiki ktk kuvifanya , Je ni lazima kumtaja. 'Rais anakwenda kufanya. Rais anakwenda kufanya..'
Hivi ni kweli kwamba Marais wa nchi hii wanataka kuwa acknowledged namna hiyo hata kwa vitu ambavyo vinatia aibu. Hii si sawa kabisa na huu ni utopolo na umakolo wa hali ya juu kabisa.
Sidhani kama Rais Samia anahitaji sifa za hovyo namna hiyo na nyingine za aibu. Nafikiri Viongozi na Watumishi serikalini muache kujipendekeza.
Kuna habari moja ya aibu nimeitizama TBC muda si mrefu. Kuna shule huko Morogoro , Matombo sekondari. Tangu uhuru hakuna muundo mbinu wowote ambao Serikali imewahi ongeza..shule hiyo ilijengwa na mkoloni. Sasa kuna madarasa ma nne tu nasisitiza Ma NNE TU..serikali ya CCM ndo imeona iyajenge leo, 60 years later since colonial era anatajwa Rais Samia... "Rais Samia anakwenda kujenga vyumba vinne...'' what in the hell is this?
Embu Rais atajwe katika mambo ya msingi.. Mambo mengine kumtaja Rais ni kumtukana. Ifike mahala tuache potosha wananchi. Miradi mingine ni ya Wananchi.. Aibu.
Mambo kama haya ndio yanawapa watu hawa utukufu na kujikuta wao ni Miungu hapa duniani. Na ndio maana mtu anaweza simama mbele za watu na kusema 'nitaenda kuwa viongozi wa malaika...' ujinga kabisa. Kumbe sisi wenyewe ndo tumewajaza Ufalme Juha... Ukuu uliopitiliza na Utakatifu.
Tuache Ujinga huu.
AIONE SSH.
Mleta mada amenunaRais Samia akutana na Mange Kimambi
Mleta mada atapasuka kwa kivimbo jamaniNampongeza rais Samia kwa kwenda marekani- mbunge
Kwakinyakyusa tunaita,'herding behavior' an occurrence of thoughtful people suspending their individual reasoning because of fear, in this case, fearing their leadersKuna baadhi ya vitu yani kama ni binadamu wa kawaida kabisa vinatia kichefuchefu sana.
Hivi ni kweli kwamba kila kitu kinachofanyika katika nchi hii na vingine ni vya aibu na vingine wala Rais hauhusiki ktk kuvifanya , Je ni lazima kumtaja. 'Rais anakwenda kufanya. Rais anakwenda kufanya..'
Hivi ni kweli kwamba Marais wa nchi hii wanataka kuwa acknowledged namna hiyo hata kwa vitu ambavyo vinatia aibu. Hii si sawa kabisa na huu ni utopolo na umakolo wa hali ya juu kabisa.
Sidhani kama Rais Samia anahitaji sifa za hovyo namna hiyo na nyingine za aibu. Nafikiri Viongozi na Watumishi serikalini muache kujipendekeza.
Kuna habari moja ya aibu nimeitizama TBC muda si mrefu. Kuna shule huko Morogoro , Matombo sekondari. Tangu uhuru hakuna muundo mbinu wowote ambao Serikali imewahi ongeza..shule hiyo ilijengwa na mkoloni. Sasa kuna madarasa ma nne tu nasisitiza Ma NNE TU..serikali ya CCM ndo imeona iyajenge leo, 60 years later since colonial era anatajwa Rais Samia... "Rais Samia anakwenda kujenga vyumba vinne...'' what in the hell is this?
Embu Rais atajwe katika mambo ya msingi.. Mambo mengine kumtaja Rais ni kumtukana. Ifike mahala tuache potosha wananchi. Miradi mingine ni ya Wananchi.. Aibu.
Mambo kama haya ndio yanawapa watu hawa utukufu na kujikuta wao ni Miungu hapa duniani. Na ndio maana mtu anaweza simama mbele za watu na kusema 'nitaenda kuwa viongozi wa malaika...' ujinga kabisa. Kumbe sisi wenyewe ndo tumewajaza Ufalme Juha... Ukuu uliopitiliza na Utakatifu.
Tuache Ujinga huu.
AIONE SSH.
Basi gombea uwakilishe wanawake wenzako2025 ni zamu ya wanawake
USSR
WA hovyo lazima afuatwe na mambo hovyo ! Hasa rais rahisi. The buck stops at herKuna baadhi ya vitu yani kama ni binadamu wa kawaida kabisa vinatia kichefuchefu sana.
Hivi ni kweli kwamba kila kitu kinachofanyika katika nchi hii na vingine ni vya aibu na vingine wala Rais hauhusiki ktk kuvifanya , Je ni lazima kumtaja. 'Rais anakwenda kufanya. Rais anakwenda kufanya..'
Hivi ni kweli kwamba Marais wa nchi hii wanataka kuwa acknowledged namna hiyo hata kwa vitu ambavyo vinatia aibu. Hii si sawa kabisa na huu ni utopolo na umakolo wa hali ya juu kabisa.
Sidhani kama Rais Samia anahitaji sifa za hovyo namna hiyo na nyingine za aibu. Nafikiri Viongozi na Watumishi serikalini muache kujipendekeza.
Kuna habari moja ya aibu nimeitizama TBC muda si mrefu. Kuna shule huko Morogoro , Matombo sekondari. Tangu uhuru hakuna muundo mbinu wowote ambao Serikali imewahi ongeza..shule hiyo ilijengwa na mkoloni. Sasa kuna madarasa ma nne tu nasisitiza Ma NNE TU..serikali ya CCM ndo imeona iyajenge leo, 60 years later since colonial era anatajwa Rais Samia... "Rais Samia anakwenda kujenga vyumba vinne...'' what in the hell is this?
Embu Rais atajwe katika mambo ya msingi.. Mambo mengine kumtaja Rais ni kumtukana. Ifike mahala tuache potosha wananchi. Miradi mingine ni ya Wananchi.. Aibu.
Mambo kama haya ndio yanawapa watu hawa utukufu na kujikuta wao ni Miungu hapa duniani. Na ndio maana mtu anaweza simama mbele za watu na kusema 'nitaenda kuwa viongozi wa malaika...' ujinga kabisa. Kumbe sisi wenyewe ndo tumewajaza Ufalme Juha... Ukuu uliopitiliza na Utakatifu.
Tuache Ujinga huu.
AIONE SSH.