Kumtaja Rais kila mara hata kwa vitu vya ovyo ni aibu, tujirekebishe

data

JF-Expert Member
Apr 9, 2011
26,138
22,709
Kuna baadhi ya vitu yani kama ni binadamu wa kawaida kabisa vinatia kichefuchefu sana.

Hivi ni kweli kwamba kila kitu kinachofanyika katika nchi hii na vingine ni vya aibu na vingine wala Rais hauhusiki ktk kuvifanya , Je ni lazima kumtaja. 'Rais anakwenda kufanya. Rais anakwenda kufanya..'

Hivi ni kweli kwamba Marais wa nchi hii wanataka kuwa acknowledged namna hiyo hata kwa vitu ambavyo vinatia aibu. Hii si sawa kabisa na huu ni utopolo na umakolo wa hali ya juu kabisa.

Sidhani kama Rais Samia anahitaji sifa za hovyo namna hiyo na nyingine za aibu. Nafikiri Viongozi na Watumishi serikalini muache kujipendekeza.

Kuna habari moja ya aibu nimeitizama TBC muda si mrefu. Kuna shule huko Morogoro , Matombo sekondari. Tangu uhuru hakuna muundo mbinu wowote ambao Serikali imewahi ongeza..shule hiyo ilijengwa na mkoloni. Sasa kuna madarasa ma nne tu nasisitiza Ma NNE TU..serikali ya CCM ndo imeona iyajenge leo, 60 years later since colonial era anatajwa Rais Samia... "Rais Samia anakwenda kujenga vyumba vinne...'' what in the hell is this?

Embu Rais atajwe katika mambo ya msingi.. Mambo mengine kumtaja Rais ni kumtukana. Ifike mahala tuache potosha wananchi. Miradi mingine ni ya Wananchi.. Aibu.

Mambo kama haya ndio yanawapa watu hawa utukufu na kujikuta wao ni Miungu hapa duniani. Na ndio maana mtu anaweza simama mbele za watu na kusema 'nitaenda kuwa viongozi wa malaika...' ujinga kabisa. Kumbe sisi wenyewe ndo tumewajaza Ufalme Juha... Ukuu uliopitiliza na Utakatifu.

Tuache Ujinga huu.

AIONE SSH.
 
Kuna baadhi ya vitu yani kama ni binadamu wa kawaida kabisa vinatia kichefuchefu sana.

Hivi ni kweli kwamba kila kitu kinachofanyika katika nchi hii na vingine ni vya aibu na vingine wala Rais hauhusiki ktk kuvifanya , Je ni lazima kumtaja. 'Rais anakwenda kufanya...Rais anakwenda kufanya..'

Hivi ni kweli kwamba Marais wa nchi hii wanataka kuwa acknowledged namna hiyo..hata kwa vitu ambavyo vinatia aibu.. Hii si sawa kabisa na huu ni utopolo na umakolo wa hali ya juu kabisa.

Sidhani kama Rais Samia anahitaji sifa za hovyo namna hiyo na nyingine za aibu. Nafikiri Viongozi na Watumishi serikalini muache kujipendekeza.

Kuna habari moja ya aibu...nimeitizama TBC muda si mrefu. Kuna shule huko Morogoro , Matombo sekondari. Tangu uhuru hakuna muundo mbinu wowote ambao Serikali imewahi ongeza..shule hiyo ilijengwa na mkoloni. Sasa kuna madarasa ma nne tu..nasisitiza Ma NNE TU..serikali ya CCM ndo imeona iyajenge leo, 60 years later since colonial era anatajwa Rais Samia... "Rais Samia anakwenda kujenga vyumba vinne...'' what in the hell is this..!??

Embu Rais atajwe katika mambo ya msingi.. mambo mengine kumtaja Rais ni kumtukana. Ifike mahala tuache potosha wananchi. Miradi mingine ni ya Wananchi.. Aibu.

Mambo kama haya ndio yanawapa watu hawa utukufu na kujikuta wao ni Miungu hapa duniani. Na ndio maana mtu anaweza simama mbele za watu na kusema 'nitaenda kuwa viongozi wa malaika...' ujinga kabisa. Kumbe sisi wenyewe ndo tumewajaza Ufalme Juha... Ukuu uliopitiliza na Utakatifu.

Tuache Ujinga huu.

AIONE SSH.
Hayo ndio matokeo ya urais wa kifalme.
 
Simbachawene kasema ukimsemasema rais Samia anatuma hawa vijana wake kukukamata
IMG_20210922_171538.jpg
 
Kuna baadhi ya vitu yani kama ni binadamu wa kawaida kabisa vinatia kichefuchefu sana.

Hivi ni kweli kwamba kila kitu kinachofanyika katika nchi hii na vingine ni vya aibu na vingine wala Rais hauhusiki ktk kuvifanya , Je ni lazima kumtaja. 'Rais anakwenda kufanya. Rais anakwenda kufanya..'

Hivi ni kweli kwamba Marais wa nchi hii wanataka kuwa acknowledged namna hiyo hata kwa vitu ambavyo vinatia aibu. Hii si sawa kabisa na huu ni utopolo na umakolo wa hali ya juu kabisa.

Sidhani kama Rais Samia anahitaji sifa za hovyo namna hiyo na nyingine za aibu. Nafikiri Viongozi na Watumishi serikalini muache kujipendekeza.

Kuna habari moja ya aibu nimeitizama TBC muda si mrefu. Kuna shule huko Morogoro , Matombo sekondari. Tangu uhuru hakuna muundo mbinu wowote ambao Serikali imewahi ongeza..shule hiyo ilijengwa na mkoloni. Sasa kuna madarasa ma nne tu nasisitiza Ma NNE TU..serikali ya CCM ndo imeona iyajenge leo, 60 years later since colonial era anatajwa Rais Samia... "Rais Samia anakwenda kujenga vyumba vinne...'' what in the hell is this?

Embu Rais atajwe katika mambo ya msingi.. Mambo mengine kumtaja Rais ni kumtukana. Ifike mahala tuache potosha wananchi. Miradi mingine ni ya Wananchi.. Aibu.

Mambo kama haya ndio yanawapa watu hawa utukufu na kujikuta wao ni Miungu hapa duniani. Na ndio maana mtu anaweza simama mbele za watu na kusema 'nitaenda kuwa viongozi wa malaika...' ujinga kabisa. Kumbe sisi wenyewe ndo tumewajaza Ufalme Juha... Ukuu uliopitiliza na Utakatifu.

Tuache Ujinga huu.

AIONE SSH.
Mkuu kunywa maji kwanza, halafu twambie ulikuwa na division gani form four!
 
Kuna baadhi ya vitu yani kama ni binadamu wa kawaida kabisa vinatia kichefuchefu sana.

Hivi ni kweli kwamba kila kitu kinachofanyika katika nchi hii na vingine ni vya aibu na vingine wala Rais hauhusiki ktk kuvifanya , Je ni lazima kumtaja. 'Rais anakwenda kufanya. Rais anakwenda kufanya..'

Hivi ni kweli kwamba Marais wa nchi hii wanataka kuwa acknowledged namna hiyo hata kwa vitu ambavyo vinatia aibu. Hii si sawa kabisa na huu ni utopolo na umakolo wa hali ya juu kabisa.

Sidhani kama Rais Samia anahitaji sifa za hovyo namna hiyo na nyingine za aibu. Nafikiri Viongozi na Watumishi serikalini muache kujipendekeza.

Kuna habari moja ya aibu nimeitizama TBC muda si mrefu. Kuna shule huko Morogoro , Matombo sekondari. Tangu uhuru hakuna muundo mbinu wowote ambao Serikali imewahi ongeza..shule hiyo ilijengwa na mkoloni. Sasa kuna madarasa ma nne tu nasisitiza Ma NNE TU..serikali ya CCM ndo imeona iyajenge leo, 60 years later since colonial era anatajwa Rais Samia... "Rais Samia anakwenda kujenga vyumba vinne...'' what in the hell is this?

Embu Rais atajwe katika mambo ya msingi.. Mambo mengine kumtaja Rais ni kumtukana. Ifike mahala tuache potosha wananchi. Miradi mingine ni ya Wananchi.. Aibu.

Mambo kama haya ndio yanawapa watu hawa utukufu na kujikuta wao ni Miungu hapa duniani. Na ndio maana mtu anaweza simama mbele za watu na kusema 'nitaenda kuwa viongozi wa malaika...' ujinga kabisa. Kumbe sisi wenyewe ndo tumewajaza Ufalme Juha... Ukuu uliopitiliza na Utakatifu.

Tuache Ujinga huu.

AIONE SSH.
Wanatakiwa waseme Serikali ya mh Rais Samia imefanya x,y na z sio kusema Rais amefanya x,y z au kaleta hiki au kile ..huu ni ujinga
 
Kuna baadhi ya vitu yani kama ni binadamu wa kawaida kabisa vinatia kichefuchefu sana.

Hivi ni kweli kwamba kila kitu kinachofanyika katika nchi hii na vingine ni vya aibu na vingine wala Rais hauhusiki ktk kuvifanya , Je ni lazima kumtaja. 'Rais anakwenda kufanya. Rais anakwenda kufanya..'

Hivi ni kweli kwamba Marais wa nchi hii wanataka kuwa acknowledged namna hiyo hata kwa vitu ambavyo vinatia aibu. Hii si sawa kabisa na huu ni utopolo na umakolo wa hali ya juu kabisa.

Sidhani kama Rais Samia anahitaji sifa za hovyo namna hiyo na nyingine za aibu. Nafikiri Viongozi na Watumishi serikalini muache kujipendekeza.

Kuna habari moja ya aibu nimeitizama TBC muda si mrefu. Kuna shule huko Morogoro , Matombo sekondari. Tangu uhuru hakuna muundo mbinu wowote ambao Serikali imewahi ongeza..shule hiyo ilijengwa na mkoloni. Sasa kuna madarasa ma nne tu nasisitiza Ma NNE TU..serikali ya CCM ndo imeona iyajenge leo, 60 years later since colonial era anatajwa Rais Samia... "Rais Samia anakwenda kujenga vyumba vinne...'' what in the hell is this?

Embu Rais atajwe katika mambo ya msingi.. Mambo mengine kumtaja Rais ni kumtukana. Ifike mahala tuache potosha wananchi. Miradi mingine ni ya Wananchi.. Aibu.

Mambo kama haya ndio yanawapa watu hawa utukufu na kujikuta wao ni Miungu hapa duniani. Na ndio maana mtu anaweza simama mbele za watu na kusema 'nitaenda kuwa viongozi wa malaika...' ujinga kabisa. Kumbe sisi wenyewe ndo tumewajaza Ufalme Juha... Ukuu uliopitiliza na Utakatifu.

Tuache Ujinga huu.

AIONE SSH.
Wako bize Ili samia apige picha na biden au kamala, ujinga mtupu
 
Wanatakiwa waseme Serikali ya mh Rais Samia imefanya x,y na z sio kusema Rais amefanya x,y z au kaleta hiki au kile ..huu ni ujinga
Na miradi ambayo ni ya wananchi ambayo ni wananchi, wanakijiji, wakinamama.. watajwe hao.

Na pesa sio za Rais.. hili lieleweke vizuri.
 
Kuna baadhi ya vitu yani kama ni binadamu wa kawaida kabisa vinatia kichefuchefu sana.

Hivi ni kweli kwamba kila kitu kinachofanyika katika nchi hii na vingine ni vya aibu na vingine wala Rais hauhusiki ktk kuvifanya , Je ni lazima kumtaja. 'Rais anakwenda kufanya. Rais anakwenda kufanya..'

Hivi ni kweli kwamba Marais wa nchi hii wanataka kuwa acknowledged namna hiyo hata kwa vitu ambavyo vinatia aibu. Hii si sawa kabisa na huu ni utopolo na umakolo wa hali ya juu kabisa.

Sidhani kama Rais Samia anahitaji sifa za hovyo namna hiyo na nyingine za aibu. Nafikiri Viongozi na Watumishi serikalini muache kujipendekeza.

Kuna habari moja ya aibu nimeitizama TBC muda si mrefu. Kuna shule huko Morogoro , Matombo sekondari. Tangu uhuru hakuna muundo mbinu wowote ambao Serikali imewahi ongeza..shule hiyo ilijengwa na mkoloni. Sasa kuna madarasa ma nne tu nasisitiza Ma NNE TU..serikali ya CCM ndo imeona iyajenge leo, 60 years later since colonial era anatajwa Rais Samia... "Rais Samia anakwenda kujenga vyumba vinne...'' what in the hell is this?

Embu Rais atajwe katika mambo ya msingi.. Mambo mengine kumtaja Rais ni kumtukana. Ifike mahala tuache potosha wananchi. Miradi mingine ni ya Wananchi.. Aibu.

Mambo kama haya ndio yanawapa watu hawa utukufu na kujikuta wao ni Miungu hapa duniani. Na ndio maana mtu anaweza simama mbele za watu na kusema 'nitaenda kuwa viongozi wa malaika...' ujinga kabisa. Kumbe sisi wenyewe ndo tumewajaza Ufalme Juha... Ukuu uliopitiliza na Utakatifu.

Tuache Ujinga huu.

AIONE SSH.

Wakikusikia na masikio yao yakiwa makavu usiache kutuletea mrejesho
 
Wanatakiwa waseme Serikali ya mh Rais Samia imefanya x,y na z sio kusema Rais amefanya x,y z au kaleta hiki au kile ..huu ni ujinga
Wanatakiwa waseme serikali imefanya x,y na y. Kila mtu mwenye akili timamu anajua serikali inayozungumziwa.
 
Kuna baadhi ya vitu yani kama ni binadamu wa kawaida kabisa vinatia kichefuchefu sana.

Hivi ni kweli kwamba kila kitu kinachofanyika katika nchi hii na vingine ni vya aibu na vingine wala Rais hauhusiki ktk kuvifanya , Je ni lazima kumtaja. 'Rais anakwenda kufanya. Rais anakwenda kufanya..'

Hivi ni kweli kwamba Marais wa nchi hii wanataka kuwa acknowledged namna hiyo hata kwa vitu ambavyo vinatia aibu. Hii si sawa kabisa na huu ni utopolo na umakolo wa hali ya juu kabisa.

Sidhani kama Rais Samia anahitaji sifa za hovyo namna hiyo na nyingine za aibu. Nafikiri Viongozi na Watumishi serikalini muache kujipendekeza.

Kuna habari moja ya aibu nimeitizama TBC muda si mrefu. Kuna shule huko Morogoro , Matombo sekondari. Tangu uhuru hakuna muundo mbinu wowote ambao Serikali imewahi ongeza..shule hiyo ilijengwa na mkoloni. Sasa kuna madarasa ma nne tu nasisitiza Ma NNE TU..serikali ya CCM ndo imeona iyajenge leo, 60 years later since colonial era anatajwa Rais Samia... "Rais Samia anakwenda kujenga vyumba vinne...'' what in the hell is this?

Embu Rais atajwe katika mambo ya msingi.. Mambo mengine kumtaja Rais ni kumtukana. Ifike mahala tuache potosha wananchi. Miradi mingine ni ya Wananchi.. Aibu.

Mambo kama haya ndio yanawapa watu hawa utukufu na kujikuta wao ni Miungu hapa duniani. Na ndio maana mtu anaweza simama mbele za watu na kusema 'nitaenda kuwa viongozi wa malaika...' ujinga kabisa. Kumbe sisi wenyewe ndo tumewajaza Ufalme Juha... Ukuu uliopitiliza na Utakatifu.

Tuache Ujinga huu.

AIONE SSH.
Mijitu inayopenda kumtaja Rais kila mara na kumsifu wakati wote, ni minafiki. Na ndiyo hiyo, ikitoka kwenye makamera, inamsema vibaya Rais.

Rais Samia, ukiona mteule wako anakusifu sana, na kukukutataja wakati wote, fukuza, jua huyo ni mnafiki.
 
Ummy Mwalimu huko morogoro et "Rais Samia anakwenda kuweka historia ya kujenga madarasa manne ktk shule ya matombo"

Yani unabaki unajiuliza hivi wanajielewa kweli hawa mawaziri na wengine wataja rais rais rais kila kitu?!!! Hovyo Tanzania
 
Back
Top Bottom