Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
Kusaidia Mtoto wa Nursery home work ni ngumu sana. Jana nimemuuliza swali la hesabu: "Nina pipi tano, nikiwagawia watoto watatu, kila mmoja pipi mojamoja nabakiwa na pipi ngapi?
Akaniambia, “Toa kwanza nizione…”
Akaniambia, “Toa kwanza nizione…”