Kumsaidia mkeo kazi za ndani si ujinga hata kidogo

kazi za nyumbani ni wajibu na majukumu ya mama, kama ilivyo kwa baba mwenye majukumu na wajibu kutoa huduma na mahitaji yote kwa familia. wakumsaidia hayo mambo si mume ni watoto, kama watoto hakuna tafsiri ni kwamba hata familia sio kubwa kiasi cha kusema kazi ni nyingi. unaishi na mumeo tu hakuna watoto ya nini kupiga deki kila siku watu wazima gani mnakuwa rafu kiasi cha kuhitaji kudeki kila siku? hivi nguo za watu wawili na vyombo vya watu wawili unataka kusaidiwa? hata kupika msosi wa watu wawili husaidiwe aah. katika ugonjwa na katika ujauzito kuelekea kujifungua mume anawajibu wa kutafuta namna ya kumpunguzia mkewe majukumu kwa namna ambayo haitaathiri utafutaji wa riziki kwa ajili ya familia. ila kama mwanamke naye anaratibu majukumu yako mwanaume ya kuleta riziki nyumbani basi nawe mwanaume kazi za nyumbani itabidi usaidie maana hata wewe unasaidiwa kuleta mahitaji nyumbani ila kama kila kitu analeta mwanaume we mwanamke pambana na majukumu ya nyumbani acha uvivu.
 
hakuna ubaya kumsaidia mm binafsi huwa namsaidia sana mkewangu huwa anafurahi sana endapo nikimsaidia japo nakaa dsm yeye yupo moro kwa kikazi huwa naenda kila baada ya wiki na msaidia kuanzia kupika kudeki mpaka kufua na sion tatizo zaidi ya kuongeza furaha
Nakukubali kwa electronic mzee
 
hivi wanaume wa aina yako kumbe bado mpo? hongera kwa mkeo
inategemea na makuzi uliyo kulia mfano faza angu alikua anafanya hvy tena mbele yetu tuliishi kwa imani hiyo hadi leo nimefika stage ya kuoa sioni tofaut afu kingine ni kujiendekeza mbona tukiwa bachelor tunapika na kudeki hatakama akija rafiki yako wa kiume una msaidia bila tab
 
inategemea na makuzi uliyo kulia mfano faza angu alikua anafanya hvy tena mbele yetu tuliishi kwa imani hiyo hadi leo nimefika stage ya kuoa sioni tofaut afu kingine ni kujiendekeza mbona tukiwa bachelor tunapika na kudeki hatakama akija rafiki yako wa kiume una msaidia bila tab


namimi nashangaa mkiwa chuon had kupika mnapika sasa muoe uwii mnageuka wafalme ghaafla
 
Sawa kama aliekuajiri anatambua swala la we kuosha vyombo na mkeo muda wa kazi...Kila la heri!
Sio sawa hata kama ndiyo uhuru wa kuongea chochote, tuwe na huruma japo, kumsaidia mkeo sio jambo baya, ila usifanye mara kwa mara maana wanawake wengine hujisahau na kuona ni wajibu, ila pale kazi zinapo kuwa nyingi basi wanaume nasi tuwe msaada kwa wake zetu bila shaka ni jambo lenye mvuto na uboresha upendo
 
namimi nashangaa mkiwa chuon had kupika mnapika sasa muoe uwii mnageuka wafalme ghaafla
ahahaahah inategemea mkuu we jiulize ukienda sehem mwanaume amepanga huwezi kuta chumba kichafu nguo chafu wala vyombo vichafu inamaanisha hizo kazi anazifanya mwenyew mm acha wanione bwege nafanya na wife nimemwambia haina haja yakuwa na dada wakazi kwa firstborn wetu nilikua nafua had nguo za mkojo wakat yy anauguza kidonda
 
ahahaahah inategemea mkuu we jiulize ukienda sehem mwanaume amepanga huwezi kuta chumba kichafu nguo chafu wala vyombo vichafu inamaanisha hizo kazi anazifanya mwenyew mm acha wanione bwege nafanya na wife nimemwambia haina haja yakuwa na dada wakazi kwa firstborn wetu nilikua nafua had nguo za mkojo wakat yy anauguza kidonda


jaman !duh !anywys USITAMANI MALI ISIYO YAKO ! mpende mkeo aisee
 
Nyie ndo nasema mpo duniani kupita. Badilisha mawazo bwana mkubwa. Inatakiwa uishi

Ninaposema uishi, namaanisha uwe na mawazo chanya ya kuibadilisha dunia.

Wenzako wanahangaika kila siku waweze kurahisisha mambo. Yaani kila kitu kifanywe na mashine. Badala ya wewe kuelekeza mawazo yako ya nini wanaume cha kufanya wakati mwanamke anafanya kazi ambazo hazinaga mwisho, wewe unawarudisha nyuma wenzako.

Labda nikupe mfano, kipindi mama chanja akiwa mjamzito, nilikua najituma sana kusombelezea maji kutoka kwa nyumba ya jifani. Kuna siku nikawa nimechoka sana na Maji hayakuwepo ndani. Ilinibidi nikachote kwa kujilazimisha. Ndipo nilipoanza kujiuliza, hivi kubeba maji kwaajili ya mke wangu ndo upendo au kujitesa?
Nikajiuliza pia, kwani wanaoweka mfumo wa maji ndani ya nyumba ni wazembe?
Ndipo nilipogundua kuwa kwamba kumpenda mke wako ni kuhakikiaha unapata pesa za kutosha ili umuwekee kila kitu ndani.

Tafakari sana
Sijaona tija katika jibu lako, kwahiyo wenye kipato cha chini watafanyaje.... Kumsaidia mke sio utumwa wa kifikra au utumwa wa kimapenzi ni upendo tu na ndiyo cha msingi, nyumba ni yenu mlengo ni kusaidiana, usijifanye wewe ndiyo una mawazo pevu sana ni ulofa badilika
 
hakuna ubaya kumsaidia mm binafsi huwa namsaidia sana mkewangu huwa anafurahi sana endapo nikimsaidia japo nakaa dsm yeye yupo moro kwa kikazi huwa naenda kila baada ya wiki na msaidia kuanzia kupika kudeki mpaka kufua na sion tatizo zaidi ya kuongeza furaha
we jamaa umenifurahisha sana, sisi wanaume tuwe na mitazamo mizuri juu ya wake zetu, tutapunguza wimbi la wanawake kutoka njee ya ndoa
 
Kama wewe ni great thinker huwezi kumuachia mkeo kazi zote, achana na mila za zamani, ukifika nyumbani gawaneni kazi zikiisha angalieni TV pamoja
Siyo kila familia ina Tv mkuu,harafu kwa nini maoni yenu yanawalenga wa mjini
 
kazi za nyumbani ni wajibu na majukumu ya mama, kama ilivyo kwa baba mwenye majukumu na wajibu kutoa huduma na mahitaji yote kwa familia. wakumsaidia hayo mambo si mume ni watoto, kama watoto hakuna tafsiri ni kwamba hata familia sio kubwa kiasi cha kusema kazi ni nyingi. unaishi na mumeo tu hakuna watoto ya nini kupiga deki kila siku watu wazima gani mnakuwa rafu kiasi cha kuhitaji kudeki kila siku? hivi nguo za watu wawili na vyombo vya watu wawili unataka kusaidiwa? hata kupika msosi wa watu wawili husaidiwe aah. katika ugonjwa na katika ujauzito kuelekea kujifungua mume anawajibu wa kutafuta namna ya kumpunguzia mkewe majukumu kwa namna ambayo haitaathiri utafutaji wa riziki kwa ajili ya familia. ila kama mwanamke naye anaratibu majukumu yako mwanaume ya kuleta riziki nyumbani basi nawe mwanaume kazi za nyumbani itabidi usaidie maana hata wewe unasaidiwa kuleta mahitaji nyumbani ila kama kila kitu analeta mwanaume we mwanamke pambana na majukumu ya nyumbani acha uvivu.
HIZI ndoa zina mambo mengi
 
Back
Top Bottom