Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
23...ndo kwanza umeanza..
pole!ndo watu wasiojua kupenda walivyo mwaya!Mimi ni kijana wa miaka 23, na nimekua nampenzi wangu kwa muda wa miaka miwili hadi alipokuja kunitamkia 2achane ambapo iliniuma sana hata kuugua ingawa nilihisi angekuja kuniacha maana aliaanza kuonesha sign hizo,sasa hv yupo na mtu mwingine,nifanyeje?
Mimi ni kijana wa miaka 23, na nimekua nampenzi wangu kwa muda wa miaka miwili hadi alipokuja kunitamkia 2achane ambapo iliniuma sana hata kuugua ingawa nilihisi angekuja kuniacha maana aliaanza kuonesha sign hizo,sasa hv yupo na mtu mwingine,nifanyeje?
miaka 23 bado una muda mwingi!! still you are young! wewe kuachwa ni kitu cha kawaida kabisa wala si kufariki! Kubali hiyo hali!!! amekuacha but hiyo ni nafasi ya wewe kumpata mwingine ambaye ni mzuri zaidi! kwa sasa wewe jaribu ku-relax, ji-keep busy na mambo mengine, usiwe na haraka ya kumpata mwingine wait, na uchukue muda mrefu kumsaka mwingine utampata tena mzuri zaidi ya huyo aliyekutenda, dunia hii watu wapo kibao. usihofieMimi ni kijana wa miaka 23, na nimekua nampenzi wangu kwa muda wa miaka miwili hadi alipokuja kunitamkia 2achane ambapo iliniuma sana hata kuugua ingawa nilihisi angekuja kuniacha maana aliaanza kuonesha sign hizo,sasa hv yupo na mtu mwingine,nifanyeje?