Akipatia mbona husemi?...mzee huwa anakosea.
Waarabu wa Pemba wanajuana wenyewe. Ukidhani unawaelewa zaidi ni kupoteza muda wako ambao ungefaa ukufaidishe wewe na familia yako.Yale Yale! ya ndege ikinunuliwa ni ya Magu na CCM, Lakini ikikamatwa inaitwa ndege ya Watanzania tulie wote. Tukubaliane tuu kuwa mzee kamkosea na kumdhalilisha M7 na Uganda kwa kauli aliyotoa akiwa kama mwenyeji.
Ni sawa na kumkaribisha mgeni wako na kumwambia, hivi mkeo mpaka Leo hana mimba? Usipende kumchekea, mlete kwangu mwezi mmoja tuu utaona!
Hapimi maneno mzee huyu!
Hivi Mzee Kingunge yupo wapi siku hizi?Mzee Kingunge alisema huyu anafaa kuwa nyapara wa barabara tu
Itakuwa vizuri Yale ambayo siyasemi ukayasema wewe. Kila mmoja Ana wajibu kwa Taifa. Mimi nimeomba radhi wewe sifu.Akipatia mbona husemi?
Mnapenda viongozi wanafikiTofautisha ukweli, pumba na kukosa staha.
Najiuliza kwa Nini bwana Bashiru asintake mwenyekiti wake na yeye aende darasani akajifunze uongozi?Mh Magufuli, angekuwa mitaani tungesema mdomo wake hauna break. Njia pekee ya kuondoa hilo(washauri wake wewe wakali kwake, (ikiwa ni pamoja kukubali uwezekano wa kutimuliwa kazi) wamweleze ubaya wa maneno yake mbele ya camera. Maneno yale kama aliona ni ushauri, alitakiwa kumwambia wakati wa mazungumzo ya faragha. Mseveni hakujibu, ni busara.
Asintake = asimtakeNajiuliza kwa Nini bwana Bashiru asintake mwenyekiti wake na yeye aende darasani akajifunze uongozi?
Araoo hamumujui Rais wa SADCC?Mh naomba radhi kwa niaba ya watanzania wenzangu. Tunasikitishwa na tukio la juzi la kuambiwa hadharani kwa njia ambayo sisi wengine haijatufurahisha kwamba uwachukulie hatua wasaidizi wako katika Hali ile. Katika mazingira Yale ya kuchonganisha kwa wasaidizi wako na wewe binafsi na kushusha hadhi ya mamlaka na watu wa Uganda. Very sorry. Mh sisi watanzania wengine hatukufurahi na tunaomba utusamehe.
ACha kumchanganya Trump na ushuzi wako huo.New World Order
President Trump
President Magufuli
Prime minister Boris Johnson
Hao viongozi wote na watu wa kusema ukweli si wanafiki
Hvi hapo aliomba break kdg alipokuwa kwenye msafara au?
Ni Rais wetu mpedwa ndo anahitaji kufundishwa pamoja na PhD yake na washauri wake wasomi wanaojua kuandika pia. Wazimbabwe walimtukana inaonekana hakujifunza kitu tutaona itakuwaje atakapokwenda kwenye mazishi ya msomi Mugabe.
Yaani zile ndege mpaka wameandika 'Hapa Kazi Tu' wakati ni kodi za watanzania wote wenye vyama na wasio na vyamaYale Yale! ya ndege ikinunuliwa ni ya Magu na CCM, Lakini ikikamatwa inaitwa ndege ya Watanzania tulie wote. Tukubaliane tuu kuwa mzee kamkosea na kumdhalilisha M7 na Uganda kwa kauli aliyotoa akiwa kama mwenyeji.
Ni sawa na kumkaribisha mgeni wako na kumwambia, hivi mkeo mpaka Leo hana mimba? Usipende kumchekea, mlete kwangu mwezi mmoja tuu utaona!
Hapimi maneno mzee huyu!
Nina'amini M7 akufuraishwa na ile kauli, sema kwavile yeye mkongwe kapotezea tu, M7 pamoja na mapungufu yake ila yupo makini sana na mdomo wakeMh Magufuli, angekuwa mitaani tungesema mdomo wake hauna break. Njia pekee ya kuondoa hilo(washauri wake wewe wakali kwake, (ikiwa ni pamoja kukubali uwezekano wa kutimuliwa kazi) wamweleze ubaya wa maneno yake mbele ya camera. Maneno yale kama aliona ni ushauri, alitakiwa kumwambia wakati wa mazungumzo ya faragha. Mseveni hakujibu, ni busara.
Kwan na wew baada ya siku/miezi/miaka michache utakua wapi?Hivi Mzee Kingunge yupo wapi siku hizi?
Wew hakika umtakii yaliyobmema ndugu Bashiru au unataka arudi majalalani ndio ufurahi??Najiuliza kwa Nini bwana Bashiru asintake mwenyekiti wake na yeye aende darasani akajifunze uongozi?