Mh naomba radhi kwa niaba ya watanzania wenzangu. Tunasikitishwa na tukio la juzi la kuambiwa hadharani kwa njia ambayo sisi wengine haijatufurahisha kwamba uwachukulie hatua wasaidizi wako katika Hali ile.
Katika mazingira Yale ya kuchonganisha kwa wasaidizi wako na wewe binafsi na kushusha hadhi ya mamlaka na watu wa Uganda. Very sorry.
Mh sisi watanzania wengine hatukufurahi na tunaomba utusamehe.
Katika mazingira Yale ya kuchonganisha kwa wasaidizi wako na wewe binafsi na kushusha hadhi ya mamlaka na watu wa Uganda. Very sorry.
Mh sisi watanzania wengine hatukufurahi na tunaomba utusamehe.