SASA NAAMINI Mh.Dk,Luten Kanali KIKWETE tarehe 31/12/2010 kwenye hotuba yake aliwatakia wanainchi HEAVY NEW YEAR 2011 na sio happy new year
Bei za bidhaa hizi na nyinginezo zimepanda
sukari,mafuta ya kula ya taa,unga zote,
maji ya bakresa,chai kwa mamantilie,maharage
Umeme juu na haupatikani,migomo, polisi ua raia,KIBONDE wa Clouds kutukana studio wazazi na vijana masikini,Celina Kombani-wanaodai katiba ni watu wa barabarani tu
Wana JF hamuoni kuwa JK alichomeka neno HEAVY na kuondoa happy?
Bei za bidhaa hizi na nyinginezo zimepanda
sukari,mafuta ya kula ya taa,unga zote,
maji ya bakresa,chai kwa mamantilie,maharage
Umeme juu na haupatikani,migomo, polisi ua raia,KIBONDE wa Clouds kutukana studio wazazi na vijana masikini,Celina Kombani-wanaodai katiba ni watu wa barabarani tu
Wana JF hamuoni kuwa JK alichomeka neno HEAVY na kuondoa happy?