Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahaa, JF sasa ni kapu la takataka. Na huyu naye ni great thinker
Nduhu, YAH: MAOMBI YA KUTAFUNA MPUNGA WA X-MAS na nyuu YEA ...Tafadhali husika na somo la hapo mwanzo....Mimi ni kijana ,wenye umri wa kutosha ni M - TZ halisi, naomba kukaribishwa kwenye sikukuu ya X- Mas na Nyuu Yea... naamini nitatafuna vizuri ubweche pasipo kumwagamwaga hovyo chini... kwani nina uzoefu wa kuatosha na nina HOTPOT yangu maalumu kwa ajili vitakavyo baki napia sina aleji ya chakula chochote... nimeona niwahi kutuma maombi kwa sababu cku hiyo naweza nisiwe na vocha kwenye cmu... maana nimetuma maombi sehemu nyingi sana... ahsante ..... wako mtiifu mlaji mzuri.......habari za saa hii wadau!, naomba kujua ni mahali gani pazuri pa kwenda kufurahi na famili dar es salaam nawasilisha.
habari za saa hii wadau!,
naomba kujua ni mahali gani pazuri pa kwenda kufurahi na famili dar es salaam
nawasilisha.
sehemu safi kwa dar ni pale kimboka bar, kila kitu kipo
Nenda viwanja vya Ikulu!
nimecheza kamariUkafurahie,kwa kazi gani ya maana uliyoifanya?
Nenda Bilila Lodge Serengeti mkuu. Au kwa familia unaweza kuwapeleka pale Corner Bar ...watapata supu nzuri ya mchemsho na ulimi wa kuchoma.nimecheza kamari