Kumpiga mama yako mzazi na kumtukana kisa visa vya uzee imekaaje hii

NostradamusEstrademe

JF-Expert Member
Jul 1, 2017
3,032
4,028
Nimeona niweke hii mada si wongo mama zetu wakizeeka wanakuwa na vituko mno mfano anaweza jisaidia akajipaka kinyesi.Kibaya zaidi anatamka kuacha laana hii imekaaje je laana ipo kweli maana wengine wana test zali kuona je mke wako atampendaje akiwa mzee.Au unakuta huyo huyo mama ni mama wa mkeo anamtendea mama yake hivyo na kumtukana
 
Nimeona niweke hii mada si wongo mama zetu wakizeeka wanakuwa na vituko mno mfano anaweza jisaidia akajipaka kinyesi.Kibaya zaidi anatamka kuacha laana hii imekaaje je laana ipo kweli maana wengine wana test zali kuona je mke wako atampendaje akiwa mzee.Au unakuta huyo huyo mama ni mama wa mkeo anamtendea mama yake hivyo na kumtukana
Huku uchagani mtoto kumdunda mzazi mpaka anakema na kutapika damu ni kitu cha kawaida sana.

Tena wanasubiria amelewa wanamdunda kinyama.
 
Nimeona niweke hii mada si wongo mama zetu wakizeeka wanakuwa na vituko mno mfano anaweza jisaidia akajipaka kinyesi.Kibaya zaidi anatamka kuacha laana hii imekaaje je laana ipo kweli maana wengine wana test zali kuona je mke wako atampendaje akiwa mzee.Au unakuta huyo huyo mama ni mama wa mkeo anamtendea mama yake hivyo na kumtukana
UKITAKA KUJUA NGUVU YA RADHI YA MAMA, MUANGALIE GIGY MONEY
 
Kiuhalisia wazazi wakizeeka huwa wana mambo yao fulani yanakwaza mno ila ndiyo mzazi ni kumvumilia tu maana hata wewe utazeeka pia ukifanya vituko kama hivyo upigwe na wanao pia?
 
Huyo mpeleke kwa Dr wa akili, anapewa dawa za uchizi anatulia.
Kujipaka mavi hizo mbinu za kujikinga na maadui za wanyama siyo mbinu za kutafuta mashamba za binadamu,
Siwezi kumpenda mtu materials kinyesi.

Manipulators, attention seeking individuals ni socio-pyschopaths.

Everyday is Saturday................................:cool:
 
Huyo mpeleke kwa Dr wa akili, anapewa dawa za uchizi anatulia.
Kujipaka mavi hizo mbinu za kujikinga na maadui za wanyama siyo mbinu za kutafuta mashamba za binadamu,
Siwezi kumpenda mtu materials kinyesi.

Manipulators, attention seeking individuals ni socio-pyschopaths.

Everyday is Saturday................................:cool:
Sijui umeongea nini!
 
Nimeona niweke hii mada si wongo mama zetu wakizeeka wanakuwa na vituko mno mfano anaweza jisaidia akajipaka kinyesi.Kibaya zaidi anatamka kuacha laana hii imekaaje je laana ipo kweli maana wengine wana test zali kuona je mke wako atampendaje akiwa mzee.Au unakuta huyo huyo mama ni mama wa mkeo anamtendea mama yake hivyo na kumtukana
Kuna wakati natamani walau ningeona hata picha ya mama tu. R.I.P mama
 
Ni ukosefu wa adabu hata kumkaripia mama yako. Ni mangapi alikuvumilia ulipokuwa mdogo? Angeweza kukatiza maisha ghafla na hakuna mtu angejua. Lakini alijinyima ili wewe uwe hivyo ulivyo.

Kama umeshindwa kuishi nae, iga wanavyofanya wazungu. Mama akifikisha miaka 60 na hawezi kijimudu, anapelekwa kwenye makazi ya watu wazima, unalipa hela, anahudumiwa mpaka siku yake ya mwisho.

Ingawa hizo huduma hazipo Tanzania, labda ni wakati muafaka wa kuzianzisha ili kuwaokoa hawa wazazi wanaonyanyaswa na watoto wao.
 
Huyo mpeleke kwa Dr wa akili, anapewa dawa za uchizi anatulia.
Kujipaka mavi hizo mbinu za kujikinga na maadui za wanyama siyo mbinu za kutafuta mashamba za binadamu,
Siwezi kumpenda mtu materials kinyesi.

Manipulators, attention seeking individuals ni socio-pyschopaths.

Everyday is Saturday................................:cool:
True
 
Laana ya mama huwa haiishii kwako tu itatembea na kizaz chako chote mnaweza ukawa na kichaa Cha msimu ikifika Mwezi flan mnafungwa kamba wote
 
Nimeona niweke hii mada si wongo mama zetu wakizeeka wanakuwa na vituko mno mfano anaweza jisaidia akajipaka kinyesi.Kibaya zaidi anatamka kuacha laana hii imekaaje je laana ipo kweli maana wengine wana test zali kuona je mke wako atampendaje akiwa mzee.Au unakuta huyo huyo mama ni mama wa mkeo anamtendea mama yake hivyo na kumtukana

Ukiona Mama yako huwezi ishi naye muondoe kwa amani kuliko ku fanya jaribu I lolote la kijinga dhidi yake.
 
Ni ukosefu wa adabu hata kumkaripia mama yako. Ni mangapi alikuvumilia ulipokuwa mdogo? Angeweza kukatiza maisha ghafla na hakuna mtu angejua. Lakini alijinyima ili wewe uwe hivyo ulivyo.

Kama umeshindwa kuishi nae, iga wanavyofanya wazungu. Mama akifikisha miaka 60 na hawezi kijimudu, anapelekwa kwenye makazi ya watu wazima, unalipa hela, anahudumiwa mpaka siku yake ya mwisho.

Ingawa hizo huduma hazipo Tanzania, labda ni wakati muafaka wa kuzianzisha ili kuwaokoa hawa wazazi wanaonyanyaswa na watoto wao.

Sidhani kama watu wako tayari kuwa na nyumba za kutunza wazee, kila mtu anaona ni jukumu lake kumlea mzazi wake hata kama she/he is struggling, labda Liwe jukumu la serikali kujenga hizo nursing homes na kuweka kama policy wazee wote wasiojiweza waende huko, labda watafanya hivyo
 
Nakuelewa kabisa. Lakini, kama wanavyofanya wenzetu, hiyo ni business modal ambayo inaweza kushamiri mahali popote. You never know! Na wabongo wanavyopenda makuu, haitakuwa vigumu kupata wateja.

Hata kama sio Senior homes, inaweza kuwa an Employment Agency, ambayo inatuma qualified personnel kwenye majumba ya watu kuhudumia watu wazima. Mke na mume wanataka kwenda nje ya mji kupumzika, hakuna haja ya kuumiza kichwa. Unapiga simu somewhere, wanakutumia mtu ataehakikisha mzazi wako, ambae hawezi kujihudumia, anahudumiwa vizuri mpaka utakaporudi.

Moja ya sababu inayowafanya watu kuanza kuwanyanyasa wazazi wao, ni pamoja na kuona kwamba hakuna alternative. Watu wanaona wazazi wao wamekuwa mzigo. Wanasahau kwamba wao pia walikuwa mzigo walipokuwa wadogo.

Wakati mwingine a little break won't hurt! Na inatosha kabisa kuboresha mahusiano na kuondoa stress ndani ya family.
 
Nimeona niweke hii mada si wongo mama zetu wakizeeka wanakuwa na vituko mno mfano anaweza jisaidia akajipaka kinyesi.Kibaya zaidi anatamka kuacha laana hii imekaaje je laana ipo kweli maana wengine wana test zali kuona je mke wako atampendaje akiwa mzee.Au unakuta huyo huyo mama ni mama wa mkeo anamtendea mama yake hivyo na kumtukana
Ukichaa fulani upo kichwani au unakunyemelea. Huna uwezo wa kumlipa mama yako. Afikiapo kiwango cha kujipaka mavi huwa amerudi kwenye akili ya utoto, amechanganyikiwa. Wewe utotoni ulikuwa hujipaki kinyesi? Ulijisafisha pekee yako?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom