Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,539
- 10,006
Kupenda na kutaman ni vitu ambacho watu wengi wanaamin wanaweza kuvitofautisha, lakin ukweli ni kwamba mda mwingine ni ngumu na inachukua mda kutofautisha
Yaan unaweza kaa na MTU katika mahusiano au ndoa miaka mitatu, minne au sita kwenye mahusiano naye, ndo unakuja gundua ulikua unamtamani na ulikuwa humpendi
Na hii ni kutokana na ukweli kwamba ukimpenda MTU huwez mchoka hata iweje. Lakin ukimtaman MTU usipomchoka Leo au kesho, basi baada ya miaka kadhaaa mbele utamchoka tu
Kutokana na ugumu wa kutofautisha hivi vitu viwili, tuwe tuna mshirikisha Mungu hasa pale tunapojiandaa kuingia kwenye ndoa. Kwa nini ndoa Kwa sababu kwenye uchumba wa kawaida in rahisi kuachana na huyu kuanza mahusiano na MTU mwingine, tofaut na kwenye ndoa inakua na madhara makubwa pale ndo inapovunjika
Yaan unaweza kaa na MTU katika mahusiano au ndoa miaka mitatu, minne au sita kwenye mahusiano naye, ndo unakuja gundua ulikua unamtamani na ulikuwa humpendi
Na hii ni kutokana na ukweli kwamba ukimpenda MTU huwez mchoka hata iweje. Lakin ukimtaman MTU usipomchoka Leo au kesho, basi baada ya miaka kadhaaa mbele utamchoka tu
Kutokana na ugumu wa kutofautisha hivi vitu viwili, tuwe tuna mshirikisha Mungu hasa pale tunapojiandaa kuingia kwenye ndoa. Kwa nini ndoa Kwa sababu kwenye uchumba wa kawaida in rahisi kuachana na huyu kuanza mahusiano na MTU mwingine, tofaut na kwenye ndoa inakua na madhara makubwa pale ndo inapovunjika