Kumpeleka mtoto shule yenye ada kubwa ni kupoteza tu hela

Kumpeleka Mtoto shule yenye Ada kubwa au Shule ya Garama ni kupoteza tu hela, cz mtoto atasoma atafika hadi Chuo then atamaliza Vizuri chuo, baada ya kumaliza chuo anakuwa mzigo wako tena anashinda tu nyumbani hana cha kufanya Ajira hamna unaanza kuangaika upya, Wakati Umetumia gharama nyingi hadi kumfikisha Chuo

Mzazi bora umsomeshe mtoto shule ya kawaida hela ya kumpeleka shule Yenye Ada kubwa Umuwekee kwenye account hili akija kumaliza awe na kitu cha kufanya

Sio unatumia gharama kubwa kumsomesha then anakuja kuwa Jobless anaanza kukutegemea kuanzia kula hadi kuvaa

Kwa sasa bora hiyo hela ya ada Uwekeze kwenye vitu vya maendeleo hata akija kumalza ana sehem ya kujishikiza

Elimu ya bongo ishakuwa hovyo tu unatumia gharama kubwa then hamna faida yeyote, ndo maana unakuta shule darasa zima wana div one ila wakimalza chuo ni majobless kazi hakuna
Si kila mtu ana mtoto wake?
Mpeleke unapoweza mkuu. Mimi Mtoto wangu hatasoma shule ya serikali yangu kwa level ya sekondary.
 
Ni umasikini tu mkuu, sidhani kama kuna mzazi mwenye pesa asiyependa mtoto/watoto wake kusoma katika mazingira mazuri na rafiki kwa taaluma. Hasa kwa kipindi hiki cha sasa.

Saw kaka
 
Tuendelee kutafuta hela ndugu zangu mimi mwenyewe ni muhitimu wa chuo ambaye sikupata kazi niliyosomea, lakini hii haiondoi ukweli kwamba natamani nipate pesa Mwanangu asome shule yenye mazingira mazuri na malezi bora. Kuhusu watoto kumaliza na kukaa tu hii pia inachangiwa na uwezo wa wazazi, mzazi kama uwezo unao utakuwa umetengeneza miradi ya kutosha ambayo hata wanao wakikosa ajira serikalini waitaisimamia.# Kinacho tutesa wengi ni umasikini tu

Haya
 
Tutanatofautiana malengo mkuu,
Ningekuwa na hela ningempeleka akasome hayo mashule ya Ada 70M/yr ili aoate network na vyuo nampeleka mamtoni pia,

Akimaliza vyote namkabidhi 2B aanze maisha.
Mleta mada ana hasira na maisha ya watu wengine
 
Kumpeleka Mtoto shule yenye Ada kubwa au Shule ya Garama ni kupoteza tu hela, cz mtoto atasoma atafika hadi Chuo then atamaliza Vizuri chuo, baada ya kumaliza chuo anakuwa mzigo wako tena anashinda tu nyumbani hana cha kufanya Ajira hamna unaanza kuangaika upya, Wakati Umetumia gharama nyingi hadi kumfikisha Chuo

Mzazi bora umsomeshe mtoto shule ya kawaida hela ya kumpeleka shule Yenye Ada kubwa Umuwekee kwenye account hili akija kumaliza awe na kitu cha kufanya

Sio unatumia gharama kubwa kumsomesha then anakuja kuwa Jobless anaanza kukutegemea kuanzia kula hadi kuvaa

Kwa sasa bora hiyo hela ya ada Uwekeze kwenye vitu vya maendeleo hata akija kumalza ana sehem ya kujishikiza

Elimu ya bongo ishakuwa hovyo tu unatumia gharama kubwa then hamna faida yeyote, ndo maana unakuta shule darasa zima wana div one ila wakimalza chuo ni majobless kazi hakuna

Jitahidi ulipe ada ya watu headmaster hatokuelewa kwa hizi porojo zako ndugu mzazi
 
Kumpeleka Mtoto shule yenye Ada kubwa au Shule ya Garama ni kupoteza tu hela, cz mtoto atasoma atafika hadi Chuo then atamaliza Vizuri chuo, baada ya kumaliza chuo anakuwa mzigo wako tena anashinda tu nyumbani hana cha kufanya Ajira hamna unaanza kuangaika upya, Wakati Umetumia gharama nyingi hadi kumfikisha Chuo

Mzazi bora umsomeshe mtoto shule ya kawaida hela ya kumpeleka shule Yenye Ada kubwa Umuwekee kwenye account hili akija kumaliza awe na kitu cha kufanya

Sio unatumia gharama kubwa kumsomesha then anakuja kuwa Jobless anaanza kukutegemea kuanzia kula hadi kuvaa

Kwa sasa bora hiyo hela ya ada Uwekeze kwenye vitu vya maendeleo hata akija kumalza ana sehem ya kujishikiza

Elimu ya bongo ishakuwa hovyo tu unatumia gharama kubwa then hamna faida yeyote, ndo maana unakuta shule darasa zima wana div one ila wakimalza chuo ni majobless kazi hakuna
Kutunza pesa hata ifike million Mia moja haitamsaidia graduate kama Hana Hoby na kipawa cha entrepreneurship. Hapa labda Kwa wazazi wajasiliamali wanaweza kuanza kuwazoesha watoto wao kwenye ujasiliamali ili wakigraduate waendelee na hizo business. Kuna wengine wanapenda kutoka Rohoni issue za kuajiriwa tuu sio kujiajiri. Kuna wenye mitaji wapo kwenye Ajira na hawaachii Ajira
 
Kumpeleka Mtoto shule yenye Ada kubwa au Shule ya Garama ni kupoteza tu hela, cz mtoto atasoma atafika hadi Chuo then atamaliza Vizuri chuo, baada ya kumaliza chuo anakuwa mzigo wako tena anashinda tu nyumbani hana cha kufanya Ajira hamna unaanza kuangaika upya, Wakati Umetumia gharama nyingi hadi kumfikisha Chuo

Mzazi bora umsomeshe mtoto shule ya kawaida hela ya kumpeleka shule Yenye Ada kubwa Umuwekee kwenye account hili akija kumaliza awe na kitu cha kufanya

Sio unatumia gharama kubwa kumsomesha then anakuja kuwa Jobless anaanza kukutegemea kuanzia kula hadi kuvaa

Kwa sasa bora hiyo hela ya ada Uwekeze kwenye vitu vya maendeleo hata akija kumalza ana sehem ya kujishikiza

Elimu ya bongo ishakuwa hovyo tu unatumia gharama kubwa then hamna faida yeyote, ndo maana unakuta shule darasa zima wana div one ila wakimalza chuo ni majobless kazi hakuna
Hakuna kukata tamaa ndugu utajuaje yawezekana mwanao au wewe ni mmoja wa wataokapata kazi
 
Back
Top Bottom