Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,726
- 1,989
- Thread starter
- #41
sasa imefikia hatua mtu anapanga namna gani mtu mwingine atatumia hela yake.
Nan amekupangia Kenge wewe
sasa imefikia hatua mtu anapanga namna gani mtu mwingine atatumia hela yake.
umepanic kama ndugu yako mwendazake, huu ukanda wenu una shida sana.Nan amekupangia Kenge wewe
mbezi ya morogoro road au mbezi beach?Wakuu kuna shule moja inaitwa St Joseph ipo maeneo ya Mbezi nasikia na yenyewe inafundisha hatari na ina malezi mazuri kwa wanafunzi, hata mwanafunzi awe mtukutu vipi akienda pale siku akirudi nyumbani unaweza kumkataa kwa kudhani labda umebadilishiwa mtoto. Nani anaifahamu vizuri shule hii wandugu? Nataka nimpeleke dogo akapige interview pale.
Mbezi beach mkuumbezi ya morogoro road au mbezi beach?
fees za january zinaleta stress sana..KUNA MAADA HUWA NI ZA KILA MSIMU.mfano mada kama hiz ni kila baada ya matokeo ya form 4 or 6 😂😂
Sioni haja ya kumnyima mwanao elimu bora eti kwa sababu hakuna ajiraSawa wangu ntampeleka buza sec hili hiyo hela ya kumpeleka marian nimtengenezee mazingira akimaliza awe na kitu chake
Jazba itoke wapi tena?Mbona unaongea Kwa jazba? Hakuna aliyekulazimisha kupeleka Private. Vp umesoma ilani mpaka ukurasa gani?
TuliaJazba itoke wapi tena?
Yes.Una uhakika na unachoongea??
Mzee sjaongelea hela nimeongelea mwanafunz anapomalza shule anakuwa hana cha kufanya si bora hiyo hela umtengenezee mazngra ya baadae
Hoja ni kwamba akilipa hiyo 15M
Mtoto akimaliza chuo asikae nyumbani mzazi awe amemwandalia cha kufanya.
Kumpeleka Mtoto shule yenye Ada kubwa au Shule ya Garama ni kupoteza tu hela
Shida ni pale ambapo mzazi anajinyima hadi hatua ya mwisho plus vikoba ili mwanae asome private na akimaliza mtoto anabaki mzigo kwa mzazi na mzazi anakuwa mzigo kwa mtoto wanabaki wnaangaliana tu