Kumpeleka mtoto shule yenye ada kubwa ni kupoteza tu hela

Mayunga234

JF-Expert Member
Feb 17, 2017
1,726
1,989
Kumpeleka Mtoto shule yenye Ada kubwa au Shule ya Garama ni kupoteza tu hela, cz mtoto atasoma atafika hadi Chuo then atamaliza Vizuri chuo, baada ya kumaliza chuo anakuwa mzigo wako tena anashinda tu nyumbani hana cha kufanya Ajira hamna unaanza kuangaika upya, Wakati Umetumia gharama nyingi hadi kumfikisha Chuo

Mzazi bora umsomeshe mtoto shule ya kawaida hela ya kumpeleka shule Yenye Ada kubwa Umuwekee kwenye account hili akija kumaliza awe na kitu cha kufanya

Sio unatumia gharama kubwa kumsomesha then anakuja kuwa Jobless anaanza kukutegemea kuanzia kula hadi kuvaa

Kwa sasa bora hiyo hela ya ada Uwekeze kwenye vitu vya maendeleo hata akija kumalza ana sehem ya kujishikiza

Elimu ya bongo ishakuwa hovyo tu unatumia gharama kubwa then hamna faida yeyote, ndo maana unakuta shule darasa zima wana div one ila wakimalza chuo ni majobless kazi hakuna
 
Ni jambo muhimu sana kuacha kupangia watu matumizi, kama shule ya ada ya 5M au 15M unaiona ni kubwa kuna mwingine hiyo ni hela ya shopping ya weekend moja, kifupi kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake asianze kuchunguza kamba ya mwenzake
 
Kumpeleka Mtoto shule yenye Ada kubwa au Shule ya Garama ni kupoteza tu hela, cz mtoto atasoma atafika hadi Chuo then atamaliza Vizuri chuo, baada ya kumaliza chuo anakuwa mzigo wako tena anashinda tu nyumbani hana cha kufanya Ajira hamna unaanza kuangaika upya, Wakati Umetumia gharama nyingi hadi kumfikisha Chuo

Mzazi bora umsomeshe mtoto shule ya kawaida hela ya kumpeleka shule Yenye Ada kubwa Umuwekee kwenye account hili akija kumaliza awe na kitu cha kufanya

Sio unatumia gharama kubwa kumsomesha then anakuja kuwa Jobless anaanza kukutegemea kuanzia kula hadi kuvaa

Kwa sasa bora hiyo hela ya ada Uwekeze kwenye vitu vya maendeleo hata akija kumalza ana sehem ya kujishikiza

Elimu ya bongo ishakuwa hovyo tu unatumia gharama kubwa then hamna faida yeyote, ndo maana unakuta shule darasa zima wana div one ila wakimalza chuo ni majobless kazi hakuna
Una mawazo kama yangu.

Mi sipeleki mtoto shule binafsi.

Nitamkazania hukuhuku shule za serikali atafaulu vizuri tu.
 
Ni jambo muhimu sana kuacha kupangia watu matumizi, kama shule ya ada ya 5M au 15M unaiona ni kubwa kuna mwingine hiyo ni hela ya shopping ya weekend moja, kifupi kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake asianze kuchunguza kamba ya mwenzake

Hoja ni kwamba akilipa hiyo 15M

Mtoto akimaliza chuo asikae nyumbani mzazi awe amemwandalia cha kufanya.
 
Mzazi ndio unatatizo siyo Mtoto. Wewe Anzisha Njia Aje Aendeleze mpeleke Shule ili kuja Kuendeleza na Biashara zako au Ofisi yako
 
Ishu ni concept. 1. Unampa mtoto eliminate au 2. Unawekeza elimu kwa mtoto. Kimsingi kama umejiajiri fikiria namna ya kufirmalize hiyo taasisi yako na hapo ndio uweze kutumia garama kubwa kwenye elimu ya mtoto ikiwezekana hata nje ya nchi ili aje atumikie biashara ya familia hapo unakuwa umewekeza kwa mtoto. Nje ya hapo ni umpe elimu ya kujiongoza kwa garama za wastani maisha yaende
 
Back
Top Bottom