secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,609
Ukiona gari nyeusi imepaki imewasha hazard hapo kibarazani kwako ujue nishafika.😂😂😂😂 njoo tu na hiyo barabara kubwa utanikuta barazani nakusubiri
Ukiona gari nyeusi imepaki imewasha hazard hapo kibarazani kwako ujue nishafika.😂😂😂😂 njoo tu na hiyo barabara kubwa utanikuta barazani nakusubiri
Kwa bei hii na msambwanda unapata?Wasalaam!
Wana jamvi habari njema ni kwamba sanaa yetu imezidi kuchanja mbunga na kwa sasa muziki unalipa sana tena sana pamoja na kuwepo kwa madalali qengi!
Zuchu ni msanii mpya ndani ya WCB lakini ukuwaji wake umekuwa wa kasi sana ukilinganisha na wasanii wenzie wakina Lava Lava na Queen Doreen ambao kwangu mimi naona wamekuwa kama wafanyakazi hewa!
Hivi karibuni baada ya kufanya show yake kubwa pale Mlimanicity meneja wake Salam ametangaza bei ambayo atakuwa anatozwa mtu au kampuni au watu wanao mtaka Zuchu a.k. Chuchu kwenye show kiasi cha Tsh Million 20 za kitanzania!
Hivyo ni kwa sasa ukimtaka Zuchu itakubidi utoe Million 20!
Lakini sisi tunashauri Zuchu aendelee kuboresha ubora wa show zake ili azidi kuwakonga mashabiki wasione wanaibiwa hela zao!
View attachment 1524100
Kwahy kuimba maadhi ya pwani ndio sababu? Unafurahisha sanaIla zuchu mnamuoverate Sana .alafu Bahati mbaya mie hata wimbo mmoja sijaupenda..anaimba kimahadhi ya mwambao wa pwani saana ..zuchu hamfikii
Ruby,vanessa,Mimi Mars etc .kifupi anaimba flat saaana!
Anywys kila la heri kwake
We Ni mbuzi kweli, sa msanii gani yupo chini ya label alafu awe anamiliki hizo account. Alafu unajifanya unawajua kumbe kiazi tuHakuna msanii wa wcb anaemiliki account ya YouTube mkuu ,
Nenda YouTube uone account ya Rich Mavoko iko wapi Sasa hivi baada ya kujitoa WCB. Baada ya rich Mavoko kujitoa WCB account Yake pia ilibaki WCB na kila kilichomo. Kwasasa Rich Mavoko ana account mpya inaitwa "Billionaire Kid"... Ndio kaanza upya nenda ukacheki kazi zake.
Iko hivi account zote za YouTube Kama uko chini ya WCB Ni Mali ya wcb mpaka vyote vilivyomo. Kinachopatikana kwenye YouTube ni Mali ya WCB, uliza uambiwe mkuu. Ndio maana harmonize alivyojitoa aliambiwa atoe milion 500 Kama anataka kuondoka na YouTube account + contents zote.
We jamaa muongo sana,Wabongo bana mtu akiwa kinyume na mtazamo wako mnasema ana roho mbaya.
Ndio maana CCM itawatawala miaka milion kwa akili Kama yako. Hata yesu au mtume Mohammed hawakuwahi kukubaliwa na watu wote sembuse Huyo takataka zuchu.
Sasa Huyo zuchu ana maisha gani mpaka utokwe na povu. Nyie ndio mko mikoani mnadanganywa na hizo drama za kwenye mitandao eti ana maisha mazuri Hadi unajitoa ufahamu.
Sisi tunaowafahamu hao unaowahusudu tukiwawekea maisha ya Rayvany hutakaa uamini. Au tukikuwekea maisha ya lavalava hutakaa uamini. Hawana hayo maisha unayofikiria Hadi utokwe povu.
Dada Yake queen Darleen tunaishi nae hapa sinza Yuko kawaida tu tofauti na unavyomuona huko Instagram.
Haha.Bora nikaangalie karioke ya Ruby kuliko back play ya zuchu sipendi zile kauli za wasanii tunaimba wote pumbuv uimbe na nani kakwambia nani najua kuimba vp tutagawana hela msaani nifanye,nionesha nimekupunja kiingilio
Endelea kuwadanganya tuJidanganye tu,
Rayvany Hana Nyumba Licha ya kubeba mpaka tuzo ya MTV base. Njoo tabata tukupeleke alipopanga.
Mboso Hana Nyumba kapanga.
Lavalava ndio kabisa.
Msanii aliekuwa na mafanikio wcb ukimtoa diamond ni Harmonize tu maana ndio alitusua kimataifa. Nyumba zake za madale hata ukitaka leo unaepelekwa kuziona.
Huyo zuchu haiafikia hata robo ya mafanikio kimuziki alipofikia Rayvany lakini bado anapanga na kupewa Prado la kutembelea.
Hawa wasanii uliwajua huwezi kuthubutu kuongea unayoongea. Usidanganywe na Instagram.
Hapo bado sijamtaja moze iyobo tuko nae kitaa tunagonga nae mikeka.
Yaani ww, tangu ujue kwamba YouTube account za wasanii wa WCB zinamilikiwa na label imekuwa shida Sasa, ndio ilivo hivo sio WCB label zote duniani.tena harmonize alikuwa anajiita amonaizi ndio wakamrekebishia jinaHakuna msanii wa wcb anaemiliki account ya YouTube mkuu ,
Nenda YouTube uone account ya Rich Mavoko iko wapi Sasa hivi baada ya kujitoa WCB. Baada ya rich Mavoko kujitoa WCB account Yake pia ilibaki WCB na kila kilichomo. Kwasasa Rich Mavoko ana account mpya inaitwa "Billionaire Kid"... Ndio kaanza upya nenda ukacheki kazi zake.
Iko hivi account zote za YouTube Kama uko chini ya WCB Ni Mali ya wcb mpaka vyote vilivyomo. Kinachopatikana kwenye YouTube ni Mali ya WCB, uliza uambiwe mkuu. Ndio maana harmonize alivyojitoa aliambiwa atoe milion 500 Kama anataka kuondoka na YouTube account + contents zote.
Unaona ulivyo muongo yaani mpk shopping unalipiwa kwa mwezi kwahy wenyewe hawalipwi Sasa Ila wanahifadhiwa Kama ng'ombe tuKijana huna unalojua Kodi za Nyumba za wasanii wa wcb zinalipwa na WCB. Harmonize tuko nae tabata analipiwa na WCB.
Shopping za Mavazi unalipiwa na WCB kwa mwezi. Hakuna msanii wa wcb anajilipia kodi.
Lavalava mwaka mzima unaisha hana hata show mbili. Queen Darleen mwaka unaisha hana hata show moja hizo Kodi anatoa wapi.
Kila gari unaloona ANAPEWA ni mkopo atakatwa kwenye mapato yake. Kuweni mnauliza.
Ingekuwa ni hivyo rahisi unadhani rich Mavoko angejitoa!!!
Uliza watu wanaomjua rich Mavoko vizuti tabata ilifika kipindi anakosa mpaka nauli ya kwenda WCB mbezi kwenye studio sessions.
Sitaki niseme hayo ya Mboso utakuja kusema naongea uongo
Relax mkuu...aimbe asiimbe mie hanipi Kura yanguKwahy kuimba maadhi ya pwani ndio sababu? Unafurahisha sana
Wenye 20m zao.Nyie kina nani?
Ccm in a hela kwahiyo wote wanalipwa mihela kama zooci ni20m Mondi ngapi, kiba ngapi harmony yane haya jamani tw3ndeni tukaimbeWasalaam!
Wana jamvi habari njema ni kwamba sanaa yetu imezidi kuchanja mbunga na kwa sasa muziki unalipa sana tena sana pamoja na kuwepo kwa madalali qengi!
Zuchu ni msanii mpya ndani ya WCB lakini ukuwaji wake umekuwa wa kasi sana ukilinganisha na wasanii wenzie wakina Lava Lava na Queen Doreen ambao kwangu mimi naona wamekuwa kama wafanyakazi hewa!
Hivi karibuni baada ya kufanya show yake kubwa pale Mlimanicity meneja wake Salam ametangaza bei ambayo atakuwa anatozwa mtu au kampuni au watu wanao mtaka Zuchu a.k. Chuchu kwenye show kiasi cha Tsh Million 20 za kitanzania!
Hivyo ni kwa sasa ukimtaka Zuchu itakubidi utoe Million 20!
Lakini sisi tunashauri Zuchu aendelee kuboresha ubora wa show zake ili azidi kuwakonga mashabiki wasione wanaibiwa hela zao!
View attachment 1524100
Wasalaam!
Wana jamvi habari njema ni kwamba sanaa yetu imezidi kuchanja mbunga na kwa sasa muziki unalipa sana tena sana pamoja na kuwepo kwa madalali qengi!
Zuchu ni msanii mpya ndani ya WCB lakini ukuwaji wake umekuwa wa kasi sana ukilinganisha na wasanii wenzie wakina Lava Lava na Queen Doreen ambao kwangu mimi naona wamekuwa kama wafanyakazi hewa!
Hivi karibuni baada ya kufanya show yake kubwa pale Mlimanicity meneja wake Salam ametangaza bei ambayo atakuwa anatozwa mtu au kampuni au watu wanao mtaka Zuchu a.k. Chuchu kwenye show kiasi cha Tsh Million 20 za kitanzania!
Hivyo ni kwa sasa ukimtaka Zuchu itakubidi utoe Million 20!
Lakini sisi tunashauri Zuchu aendelee kuboresha ubora wa show zake ili azidi kuwakonga mashabiki wasione wanaibiwa hela zao!
View attachment 1524100
1.2Wewe unadhani anatakiwa kulipwa milion ngapi ?
Jipe moyoAisee! Wakati kumpata Alikiba ni milioni tano. Yaani Zuchu ni mara nne ya Kiba?
Hajafikisha hata shoo kumi huyu mpaka sasaWasalaam!
Wana jamvi habari njema ni kwamba sanaa yetu imezidi kuchanja mbunga na kwa sasa muziki unalipa sana tena sana pamoja na kuwepo kwa madalali qengi!
Zuchu ni msanii mpya ndani ya WCB lakini ukuwaji wake umekuwa wa kasi sana ukilinganisha na wasanii wenzie wakina Lava Lava na Queen Doreen ambao kwangu mimi naona wamekuwa kama wafanyakazi hewa!
Hivi karibuni baada ya kufanya show yake kubwa pale Mlimanicity meneja wake Salam ametangaza bei ambayo atakuwa anatozwa mtu au kampuni au watu wanao mtaka Zuchu a.k. Chuchu kwenye show kiasi cha Tsh Million 20 za kitanzania!
Hivyo ni kwa sasa ukimtaka Zuchu itakubidi utoe Million 20!
Lakini sisi tunashauri Zuchu aendelee kuboresha ubora wa show zake ili azidi kuwakonga mashabiki wasione wanaibiwa hela zao!
View attachment 1524100