rula
Member
- Aug 26, 2019
- 66
- 146
Habari wana JF
Suala la kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi ni suala la msingi sana katika maisha ya kila mwanadamu.
Kuna muda kupata mtu wa kuwa nae kwenye mahusiano inakuwa ni changamoto kubwa sana hasa kwa baadhi ya sisi ambao unakuta Muonekano hauna haiba, huna elimu, huna pesa, mfupi, maisha hayaeleweki, hata ukifanikiwa kuwa na msichana anakuta maumbile ni madogo, huwezi kuperform mda mrefu yani kila kitu kiko upside down. Ukikutana na mwanamke mkadumu miezi sita unaona kama anakuonea tuu huruma na wala hakupendi
Ila kila mtu ana wa kufanana nae
Suala la kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi ni suala la msingi sana katika maisha ya kila mwanadamu.
Kuna muda kupata mtu wa kuwa nae kwenye mahusiano inakuwa ni changamoto kubwa sana hasa kwa baadhi ya sisi ambao unakuta Muonekano hauna haiba, huna elimu, huna pesa, mfupi, maisha hayaeleweki, hata ukifanikiwa kuwa na msichana anakuta maumbile ni madogo, huwezi kuperform mda mrefu yani kila kitu kiko upside down. Ukikutana na mwanamke mkadumu miezi sita unaona kama anakuonea tuu huruma na wala hakupendi
Ila kila mtu ana wa kufanana nae