Nilitoa thread "CHADEMA IMEFIKIA NCCR YA MREMA?"Nilitoa thread hiyo miezi kadhaa iliyopita na kwangu nilikusudia kama kutoa changamoto kwa wana-CHADEMA!!! Kilichofuatia thread hiyo ni kuporomoshewa kashfa na kejeli tofauti na lengo nililokusudia!!!
mafisadi ya ccm mnatisha kwa pumba
happy now?