Ngandema Bwila
JF-Expert Member
- Sep 8, 2010
- 1,017
- 256
Ndugu, usivuke mipaka Mrema ni Mtanzania, Mume wa mtu, baba wa wanae anasthili heshima kama wewe mheshimiwa. He is not a lapdog.
Ccm wamefulia kweupeeee............mbona kila mtu anaipinga ccm?...huo ushindi wa kimbunga utatokana na nini?.....tumeichoka ccm na kikwete dhaifu na fisadi
ccm wanafikiri mazingira ya augustino lyatonga mrema kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 1995 ni sawa na dr. Wilbroad peter slaa katika uchaguzi mkuu wa 2010. Hivi hizi tofauti hawazioni? Endeleza tofauti hapo chini za chaguzi hizi mbili
tofauti
1. Dr. Slaa ana cv kali kuliko ile ya mrema ikiwemo degree ya juu, yaani phd wakati mrema alikuwa na ka-diploma tu; ni hvi juzi ndio amenunua ka-bachelor!!!
2. Dr. Slaa amekuwa mbunge kwa muda wa miaka 15 kwenye upinzani na kuonesha maendeleo makubwa jimboni kwake na hivyo ni mtu sawia ku-emulate hayo maendeleo kwa nchi nzima, mfano sekondari ya kwanza kuingi kwenye mtandao wa internet iko karatu
3. Kwenye kampeni zao wote wanavutia umati mkubwa, wote wana mabomu/ makombora ya kuelekea kwa ccm na serikali yake, lakini tofauti ni kuwa makombora ya mrema yalikuwa machache na wala hayakuwa na impact nzuri kwa maisha ya kila mtanzania kama yalivyo ya dr. Slaa (ya dr. Slaa ni laser guided, long range with a huge impact),
4. Makombora ya dr. Slaa yana ushahidi na anayatengeneza mwenyewe kwa kutumia utafiti na yanagusa kila nyanja, ya mrema kwenye nyanja chache na short lived na hakuna utafiti wa kugundua mabomu mengine,
5. Mrema alikuwa anaongelea makombora yake ambayo yalikuwa yanapoteza nguvu zake jinsi siku zinavyokwenda bila kutoa vision na mission ya kulikomboa taifa letu; dr. Slaa ana laser guided missiles ambazo hazikosi target, na yana-huge impact nzuri kwenye ubora wa maisha ya watanzania wote wakiwemo vitukuu vya ndungu zao mafisadi, makombora haya yamekuwa yakiboreshwa (update and upgrade) kwa kufanya utafiti wa kina wenye ubora,
6. Makombora ya mrema yalikuwa yanarushwa kwa rocket launcher lakini ya dr. Slaa yanarushwa kwa kutumia dege aina ya b52,
7. Mrema alikuwa ni silaha aina ya rpg/ ak-47 na dr. Slaa ni silaha mathubuti aina ya super missile launched from the b52, the bomber!
8. Wakati wa mrema demokrasia ya vyama vingi ilikuwa changa, kwa dr. Slaa imekomaa; pia 1995 watanzania walikuwa na single party hangover, 2010 hang over imekwisha ikichangiwa na ujio wa kizazi kipya,
9. Dr. Slaa anaongea lugha nane (8), mrema anaongea lugha mbili (3) ambazo ni kiswahili, kichagga na poor english!!!!!! Hivyo dr. Slaa atakuwa mzuri katika ushirikiano wa kimataifa na wala hatakuwa na makaratasi wakati atakapoongea na marais wa nje
10. Dr. Slaa amesoma nje ya nchi na kutembelea nchi nyingi, mrema alisomea nje ya nchi ushushu tu kwa muda mfupi na kutunukiwa diploma.
11. Mrema ni kigeugeu na ana jazba na kwa sasa yuko na ccm, dr. Slaa sio kigeugeu, ana uthubutu, mtaratibu.
12. Jimboni kwa dr. Slaa, karatu, miaka yote ccm ni chama pinzani katika baraza la la madiwani katika halmashauri, lakini mrema amewahi kuwa mbunge lakini katika majimbo hayo chama chake hakijawahi kuifanya ccm kuwa mpinzani katika baraza la madiwani.
13. Dr. Slaa is a leader, mrema is a lapdog!!
14.
Kwa kifupi kila zama ina historia yake, na ya mwaka huu ni kubwa kwa maana ukombozi umefika.
8. Agenda na ilani za uchaguzi.
Wakati mwaka 1995 wote Mrema na Mkapa walikuwa wakisisitiza kupambana na rushwa na ufisadi kutoka kwenye ilani za vyama vyao JK anaonekana kuogopa hata kutamka tu neno ufisadi.Ilikuwa rahihsi kuiamini CCM mwaka 1995 kwani walikuwa wananadi mtu mpya lakini kwa sasa 2010 JK ataaminikaje wakati 2005 alitueleza hayahaya anayotwambia sasa. Maisha bora kwa kila mtanzania yako wapi?
9. Nyerere effect
Ni ukweli ulio wazi kwamba Nyerere ndiye mwanasiasa aliyekuwa na uwezo wa kujenga hoja ikaeleweka nchi nzima na hata kukubalika. Aliaminika na kupendwa na watanzania walio wengi kwa sababu ya historia na uadilifu wake. Hivyo basi aliposimama 1995 kumkampenia Mkapa alifanikiwa kwa kiasi kikubwa kumuongezea kura na hatimaye kumfanya shinde uchaguzi ule. Lakini je 2010 nani Nyerere wa CCM? Mkapa , nope? Mwinyi kidogo lakini bado hawezi kuvutia wananchi wakaamini JK will be different.
Hivyo basi 2010 siyo 1995. Get it??????
point of correction:mambo kujirudia ni kanuni ya historia huwa haikwepeki hata siku moja.