Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Wana ndugu naomba msaada wenu kama si fikra zenu
kuna rafiki yangu majuzi walikuwa na mkutano ofisini mwao
baada ya hapo siku mbili zilizofwata akalimwa memo na mabosi wake
aache kuwasha mdomo wake wakati wa mkutano kisa tu alikuwa akiwatonesha
kidonda mahali pake....inasikitisha sana na jamaa very bright ila najiuliza hizi njia ni sahihi kumnyima mfanyakazi haki yake ya kuongea
ama kuna haja gani yakuwa na mikutano na huku watu wakiogopa...
nafikiri tunaitaji kuwa na viongozi wanaokubali mabadiliko wanaokubali kubadilishwa sehemu moja kwenda kwingine jamani.....mo nakumbuka wakati nikiwa CELTEL UJINGA kama huo ulitaka kuntokea sikuuachia na mpaka leoo hii viongozi wote wana adabu kwa wafanyakazi.....viongozi wacheni wafanyakazi wanavyowaheshimu nanyi mjiheshimu hvyo hvyo
kuna rafiki yangu majuzi walikuwa na mkutano ofisini mwao
baada ya hapo siku mbili zilizofwata akalimwa memo na mabosi wake
aache kuwasha mdomo wake wakati wa mkutano kisa tu alikuwa akiwatonesha
kidonda mahali pake....inasikitisha sana na jamaa very bright ila najiuliza hizi njia ni sahihi kumnyima mfanyakazi haki yake ya kuongea
ama kuna haja gani yakuwa na mikutano na huku watu wakiogopa...
nafikiri tunaitaji kuwa na viongozi wanaokubali mabadiliko wanaokubali kubadilishwa sehemu moja kwenda kwingine jamani.....mo nakumbuka wakati nikiwa CELTEL UJINGA kama huo ulitaka kuntokea sikuuachia na mpaka leoo hii viongozi wote wana adabu kwa wafanyakazi.....viongozi wacheni wafanyakazi wanavyowaheshimu nanyi mjiheshimu hvyo hvyo