Kumkwamisha Rais Samia Suluhu ni kuikwamisha Tanzania

View attachment 2096114
====
Ukweli ni kwamba, lipo kundi ndani ya Taifa hili tukufu la Tanzania linaloinyooshea vidole Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba imekumbwa na Rushwa na Ufisadi wa kutisha ghafla.

Kundi hili hatari kwa Taifa letu linamwona Rais Samia Suluhu Hassan kama ni mtu aliyeshindwa kupambana na Rushwa na Ufisadi ila tu Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli ambaye hata hivyo kutetea mfu ni kumkufuru Mungu aliyemwita na kumchukua,

Wakati flani,Rais Samia Suluhu Hassan akiwa bandari ya Dar es Salaam alilishambulia vikali kundi hili hatari linalodai kulinda na kutetea Legacy ya Hayati Dkt John John Pombe Joseph Magufuli kwa kuinyooshea vidole Serikali yake kwa Rushwa na Ufisadi yenye muda mfupi sana madarakani.

HOJA YANGU KWENU NI HII

Sote tunafahamu,Kati ya nafasi zaidi ya 1,000 za Uteuzi alizopewa Rais Samia Suluhu na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan hadi leo Viongozi wapya aliowateua hawajafika watu 100 sijui kwanini hataki kuteua watu wapya hilo tumwachie yeye.

Kwa lugha rahisi hawa Viongozi zaidi ya 900 ni Viongozi walewale wa awamu zilizopita hasa hasa awamu ya Nne na tano.

SWALI LANGU KWA MSOMAJI,

1. Hawa watu wanaonyooshewa Vidole wameleta tabia mpya ya Rushwa na Ufisadi awamu ya Sita wametoka Wapi kwa kipindi hiki kifupi au ni hawa wapya 100 walioteuliwa na Rais Samia ?

2. Je, nihawahawa waliotoka awamu zilizopita leo hii wote wamegeuka ghafla mashetani weusi au ndicho walichokifanya huko nyuma ila Utawala uliwaatamia tu na leo wamekwama kuiba wanaanza kubeza awamu ya 6?

3. Au wanaposema wanalinda legacy maana yake ni kutekeleza vitendo vya Rushwa na Ufisadi kisha kuisingizia Awamu ya Sita ambayo hata mwaka haina au ndio Legacy kwa Vitendo hii?

4. Au mambo haya yanafanyika kwa maksudi mazima ili kumdhoofisha Rais Samia Suluhu Hassan na Serikali yake?

5. Je nikweli Rushwa imekithiri awamu ya Sita au nihadaa tu wanafanya kwa Wananchi ili wasimwamini Rais Samia ?

6. Mnaotetea Legacy ya Hayati Dkt John Joseph Pombe Magufuli kwa kutafuna mali za umma kwani yeye alipenda Rushwa na Ufisadi?Msitafute laana,

NB: Uwekeni Uzalendo wa Taifa letu mbele kuliko masilahi yenu binafsi kwani nchi hii ni kubwa kuliko yeyote kila mmoja aupinge Ufisadi toka ndani ya moyo wake
,
We ni mpuuzi km wapuuzi wenzie,unesoma ila elimu yako zero,unafiki mwingi Sana,yaan ni sawa na zezeta tu unajua ila sbb ya pesa unajifanya hujui
 
View attachment 2096114
====
Ukweli ni kwamba, lipo kundi ndani ya Taifa hili tukufu la Tanzania linaloinyooshea vidole Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba imekumbwa na Rushwa na Ufisadi wa kutisha ghafla.

Kundi hili hatari kwa Taifa letu linamwona Rais Samia Suluhu Hassan kama ni mtu aliyeshindwa kupambana na Rushwa na Ufisadi ila tu Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli ambaye hata hivyo kutetea mfu ni kumkufuru Mungu aliyemwita na kumchukua,

Wakati flani,Rais Samia Suluhu Hassan akiwa bandari ya Dar es Salaam alilishambulia vikali kundi hili hatari linalodai kulinda na kutetea Legacy ya Hayati Dkt John John Pombe Joseph Magufuli kwa kuinyooshea vidole Serikali yake kwa Rushwa na Ufisadi yenye muda mfupi sana madarakani.

HOJA YANGU KWENU NI HII

Sote tunafahamu,Kati ya nafasi zaidi ya 1,000 za Uteuzi alizopewa Rais Samia Suluhu na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan hadi leo Viongozi wapya aliowateua hawajafika watu 100 sijui kwanini hataki kuteua watu wapya hilo tumwachie yeye.

Kwa lugha rahisi hawa Viongozi zaidi ya 900 ni Viongozi walewale wa awamu zilizopita hasa hasa awamu ya Nne na tano.

SWALI LANGU KWA MSOMAJI,

1. Hawa watu wanaonyooshewa Vidole wameleta tabia mpya ya Rushwa na Ufisadi awamu ya Sita wametoka Wapi kwa kipindi hiki kifupi au ni hawa wapya 100 walioteuliwa na Rais Samia ?

2. Je, nihawahawa waliotoka awamu zilizopita leo hii wote wamegeuka ghafla mashetani weusi au ndicho walichokifanya huko nyuma ila Utawala uliwaatamia tu na leo wamekwama kuiba wanaanza kubeza awamu ya 6?

3. Au wanaposema wanalinda legacy maana yake ni kutekeleza vitendo vya Rushwa na Ufisadi kisha kuisingizia Awamu ya Sita ambayo hata mwaka haina au ndio Legacy kwa Vitendo hii?

4. Au mambo haya yanafanyika kwa maksudi mazima ili kumdhoofisha Rais Samia Suluhu Hassan na Serikali yake?

5. Je nikweli Rushwa imekithiri awamu ya Sita au nihadaa tu wanafanya kwa Wananchi ili wasimwamini Rais Samia ?

6. Mnaotetea Legacy ya Hayati Dkt John Joseph Pombe Magufuli kwa kutafuna mali za umma kwani yeye alipenda Rushwa na Ufisadi?Msitafute laana,

NB: Uwekeni Uzalendo wa Taifa letu mbele kuliko masilahi yenu binafsi kwani nchi hii ni kubwa kuliko yeyote kila mmoja aupinge Ufisadi toka ndani ya moyo wake
,
Tuendelee na kuijenga Tanzania,
 
View attachment 2096114
====
Ukweli ni kwamba, lipo kundi ndani ya Taifa hili tukufu la Tanzania linaloinyooshea vidole Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba imekumbwa na Rushwa na Ufisadi wa kutisha ghafla.

Kundi hili hatari kwa Taifa letu linamwona Rais Samia Suluhu Hassan kama ni mtu aliyeshindwa kupambana na Rushwa na Ufisadi ila tu Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli ambaye hata hivyo kutetea mfu ni kumkufuru Mungu aliyemwita na kumchukua,

Wakati flani,Rais Samia Suluhu Hassan akiwa bandari ya Dar es Salaam alilishambulia vikali kundi hili hatari linalodai kulinda na kutetea Legacy ya Hayati Dkt John John Pombe Joseph Magufuli kwa kuinyooshea vidole Serikali yake kwa Rushwa na Ufisadi yenye muda mfupi sana madarakani.

HOJA YANGU KWENU NI HII

Sote tunafahamu,Kati ya nafasi zaidi ya 1,000 za Uteuzi alizopewa Rais Samia Suluhu na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan hadi leo Viongozi wapya aliowateua hawajafika watu 100 sijui kwanini hataki kuteua watu wapya hilo tumwachie yeye.

Kwa lugha rahisi hawa Viongozi zaidi ya 900 ni Viongozi walewale wa awamu zilizopita hasa hasa awamu ya Nne na tano.

SWALI LANGU KWA MSOMAJI,

1. Hawa watu wanaonyooshewa Vidole wameleta tabia mpya ya Rushwa na Ufisadi awamu ya Sita wametoka Wapi kwa kipindi hiki kifupi au ni hawa wapya 100 walioteuliwa na Rais Samia ?

2. Je, nihawahawa waliotoka awamu zilizopita leo hii wote wamegeuka ghafla mashetani weusi au ndicho walichokifanya huko nyuma ila Utawala uliwaatamia tu na leo wamekwama kuiba wanaanza kubeza awamu ya 6?

3. Au wanaposema wanalinda legacy maana yake ni kutekeleza vitendo vya Rushwa na Ufisadi kisha kuisingizia Awamu ya Sita ambayo hata mwaka haina au ndio Legacy kwa Vitendo hii?

4. Au mambo haya yanafanyika kwa maksudi mazima ili kumdhoofisha Rais Samia Suluhu Hassan na Serikali yake?

5. Je nikweli Rushwa imekithiri awamu ya Sita au nihadaa tu wanafanya kwa Wananchi ili wasimwamini Rais Samia ?

6. Mnaotetea Legacy ya Hayati Dkt John Joseph Pombe Magufuli kwa kutafuna mali za umma kwani yeye alipenda Rushwa na Ufisadi?Msitafute laana,

NB: Uwekeni Uzalendo wa Taifa letu mbele kuliko masilahi yenu binafsi kwani nchi hii ni kubwa kuliko yeyote kila mmoja aupinge Ufisadi toka ndani ya moyo wake
,
Hakika
 
View attachment 2096114
====
Ukweli ni kwamba, lipo kundi ndani ya Taifa hili tukufu la Tanzania linaloinyooshea vidole Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba imekumbwa na Rushwa na Ufisadi wa kutisha ghafla.

Kundi hili hatari kwa Taifa letu linamwona Rais Samia Suluhu Hassan kama ni mtu aliyeshindwa kupambana na Rushwa na Ufisadi ila tu Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli ambaye hata hivyo kutetea mfu ni kumkufuru Mungu aliyemwita na kumchukua,

Wakati flani,Rais Samia Suluhu Hassan akiwa bandari ya Dar es Salaam alilishambulia vikali kundi hili hatari linalodai kulinda na kutetea Legacy ya Hayati Dkt John John Pombe Joseph Magufuli kwa kuinyooshea vidole Serikali yake kwa Rushwa na Ufisadi yenye muda mfupi sana madarakani.

HOJA YANGU KWENU NI HII

Sote tunafahamu,Kati ya nafasi zaidi ya 1,000 za Uteuzi alizopewa Rais Samia Suluhu na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan hadi leo Viongozi wapya aliowateua hawajafika watu 100 sijui kwanini hataki kuteua watu wapya hilo tumwachie yeye.

Kwa lugha rahisi hawa Viongozi zaidi ya 900 ni Viongozi walewale wa awamu zilizopita hasa hasa awamu ya Nne na tano.

SWALI LANGU KWA MSOMAJI,

1. Hawa watu wanaonyooshewa Vidole wameleta tabia mpya ya Rushwa na Ufisadi awamu ya Sita wametoka Wapi kwa kipindi hiki kifupi au ni hawa wapya 100 walioteuliwa na Rais Samia ?

2. Je, nihawahawa waliotoka awamu zilizopita leo hii wote wamegeuka ghafla mashetani weusi au ndicho walichokifanya huko nyuma ila Utawala uliwaatamia tu na leo wamekwama kuiba wanaanza kubeza awamu ya 6?

3. Au wanaposema wanalinda legacy maana yake ni kutekeleza vitendo vya Rushwa na Ufisadi kisha kuisingizia Awamu ya Sita ambayo hata mwaka haina au ndio Legacy kwa Vitendo hii?

4. Au mambo haya yanafanyika kwa maksudi mazima ili kumdhoofisha Rais Samia Suluhu Hassan na Serikali yake?

5. Je nikweli Rushwa imekithiri awamu ya Sita au nihadaa tu wanafanya kwa Wananchi ili wasimwamini Rais Samia ?

6. Mnaotetea Legacy ya Hayati Dkt John Joseph Pombe Magufuli kwa kutafuna mali za umma kwani yeye alipenda Rushwa na Ufisadi?Msitafute laana,

NB: Uwekeni Uzalendo wa Taifa letu mbele kuliko masilahi yenu binafsi kwani nchi hii ni kubwa kuliko yeyote kila mmoja aupinge Ufisadi toka ndani ya moyo wake
,
Nzuri sana hii habari, isome kwa kutulia
 
View attachment 2096114
====
Ukweli ni kwamba, lipo kundi ndani ya Taifa hili tukufu la Tanzania linaloinyooshea vidole Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba imekumbwa na Rushwa na Ufisadi wa kutisha ghafla.

Kundi hili hatari kwa Taifa letu linamwona Rais Samia Suluhu Hassan kama ni mtu aliyeshindwa kupambana na Rushwa na Ufisadi ila tu Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli ambaye hata hivyo kutetea mfu ni kumkufuru Mungu aliyemwita na kumchukua,

Wakati flani,Rais Samia Suluhu Hassan akiwa bandari ya Dar es Salaam alilishambulia vikali kundi hili hatari linalodai kulinda na kutetea Legacy ya Hayati Dkt John John Pombe Joseph Magufuli kwa kuinyooshea vidole Serikali yake kwa Rushwa na Ufisadi yenye muda mfupi sana madarakani.

HOJA YANGU KWENU NI HII

Sote tunafahamu,Kati ya nafasi zaidi ya 1,000 za Uteuzi alizopewa Rais Samia Suluhu na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan hadi leo Viongozi wapya aliowateua hawajafika watu 100 sijui kwanini hataki kuteua watu wapya hilo tumwachie yeye.

Kwa lugha rahisi hawa Viongozi zaidi ya 900 ni Viongozi walewale wa awamu zilizopita hasa hasa awamu ya Nne na tano.

SWALI LANGU KWA MSOMAJI,

1. Hawa watu wanaonyooshewa Vidole wameleta tabia mpya ya Rushwa na Ufisadi awamu ya Sita wametoka Wapi kwa kipindi hiki kifupi au ni hawa wapya 100 walioteuliwa na Rais Samia ?

2. Je, nihawahawa waliotoka awamu zilizopita leo hii wote wamegeuka ghafla mashetani weusi au ndicho walichokifanya huko nyuma ila Utawala uliwaatamia tu na leo wamekwama kuiba wanaanza kubeza awamu ya 6?

3. Au wanaposema wanalinda legacy maana yake ni kutekeleza vitendo vya Rushwa na Ufisadi kisha kuisingizia Awamu ya Sita ambayo hata mwaka haina au ndio Legacy kwa Vitendo hii?

4. Au mambo haya yanafanyika kwa maksudi mazima ili kumdhoofisha Rais Samia Suluhu Hassan na Serikali yake?

5. Je nikweli Rushwa imekithiri awamu ya Sita au nihadaa tu wanafanya kwa Wananchi ili wasimwamini Rais Samia ?

6. Mnaotetea Legacy ya Hayati Dkt John Joseph Pombe Magufuli kwa kutafuna mali za umma kwani yeye alipenda Rushwa na Ufisadi?Msitafute laana,

NB: Uwekeni Uzalendo wa Taifa letu mbele kuliko masilahi yenu binafsi kwani nchi hii ni kubwa kuliko yeyote kila mmoja aupinge Ufisadi toka ndani ya moyo wake
,
Unahoja mkuu,
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom