Kumkwamisha Rais Samia Suluhu ni kuikwamisha Tanzania

Ukweli ni kwamba, lipo kundi ndani ya Taifa hili tukufu la Tanzania linaloinyooshea vidole Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba imekumbwa na Rushwa na Ufisadi ghafla.

Kundi hili linamwona Rais Samia Suluhu Hassan kama ni Mtu aliyeshindwa kupambana na Rushwa na Ufisadi ila Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli ambaye hata hivyo kutetea mfu ni kumkufuru Mungu.

Rais Samia Suluhu Hassan wakati akiwa Bandari ya Dar es Salaam alilishambulia vikali kundi hili linalodai kulinda na kutetea Legacy ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli kwa kuinyooshea vidole Serikali yake kwa Rushwa na Ufisadi yenye vimiezi vichache tu madarakani.

HOJA YANGU KWENU NI HII
Kati ya nafasi zaidi ya 1,000 za Uteuzi alizopewa Rais na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan Viongozi wapya aliowateua hawajafika watu 100 hadi naandika makala hii. Hawa Viongozi zaidi ya 900 ni Viongozi walewale wa awamu zilizopita hasa hasa awamu ya tano.

SWALI LANGU
1. Hawa watu wanaonyooshewa Vidole wameleta tabia mpya ya Rushwa na Ufisadi awamu ya Sita wametoka Wapi kwa kipindi hiki kifupi au ni hawa wapya 100?

2. Je, nihawahawa waliotoka awamu zilizopita leo wote wamegeuka ghafla mashetani weusi au ndicho walichokifanya huko nyuma ila Utawala uliwaatamia tu na leo wamekwama kuiba wanaanza kubeza?

3. Au wanaposema wanalinda legacy maana yake ni kutekeleza Rushwa na Ufisadi kisha kuisingizia Awamu ya Sita ambayo hata mwaka haina au ndio Legacy kwa Vitendo hii?

4. Au mambo haya yanafanyika kwa maksudi mazima ili kumdhoofisha Rais Samia Suluhu Hassan na Serikali yake? Je nikweli Rushwa imekithiri au nihadaa tu wanafanya kwa Wananchi?

5. Mnaotetea Legacy ya Hayati Dkt John Joseph Pombe Magufuli kwa kutafuna mali za umma kwani yeye alipenda Rushwa na Ufisadi?Msitafute laana,

NB: uwekeni Uzalendo wa Taifa letu mbele kuliko masilahi yetu binafsi kwani nchi hii ni kubwa kuliko yeyote kila mmoja aupinge Ufisadi toka ndani ya moyo wake
,
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
Ukweli ni kwamba, lipo kundi ndani ya Taifa hili tukufu la Tanzania linaloinyooshea vidole Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba imekumbwa na Rushwa na Ufisadi ghafla.

Kundi hili linamwona Rais Samia Suluhu Hassan kama ni Mtu aliyeshindwa kupambana na Rushwa na Ufisadi ila Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli ambaye hata hivyo kutetea mfu ni kumkufuru Mungu.

Rais Samia Suluhu Hassan wakati akiwa Bandari ya Dar es Salaam alilishambulia vikali kundi hili linalodai kulinda na kutetea Legacy ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli kwa kuinyooshea vidole Serikali yake kwa Rushwa na Ufisadi yenye vimiezi vichache tu madarakani.

HOJA YANGU KWENU NI HII
Kati ya nafasi zaidi ya 1,000 za Uteuzi alizopewa Rais na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan Viongozi wapya aliowateua hawajafika watu 100 hadi naandika makala hii. Hawa Viongozi zaidi ya 900 ni Viongozi walewale wa awamu zilizopita hasa hasa awamu ya tano.

SWALI LANGU
1. Hawa watu wanaonyooshewa Vidole wameleta tabia mpya ya Rushwa na Ufisadi awamu ya Sita wametoka Wapi kwa kipindi hiki kifupi au ni hawa wapya 100?

2. Je, nihawahawa waliotoka awamu zilizopita leo wote wamegeuka ghafla mashetani weusi au ndicho walichokifanya huko nyuma ila Utawala uliwaatamia tu na leo wamekwama kuiba wanaanza kubeza?

3. Au wanaposema wanalinda legacy maana yake ni kutekeleza Rushwa na Ufisadi kisha kuisingizia Awamu ya Sita ambayo hata mwaka haina au ndio Legacy kwa Vitendo hii?

4. Au mambo haya yanafanyika kwa maksudi mazima ili kumdhoofisha Rais Samia Suluhu Hassan na Serikali yake? Je nikweli Rushwa imekithiri au nihadaa tu wanafanya kwa Wananchi?

5. Mnaotetea Legacy ya Hayati Dkt John Joseph Pombe Magufuli kwa kutafuna mali za umma kwani yeye alipenda Rushwa na Ufisadi?Msitafute laana,

NB: uwekeni Uzalendo wa Taifa letu mbele kuliko masilahi yetu binafsi kwani nchi hii ni kubwa kuliko yeyote kila mmoja aupinge Ufisadi toka ndani ya moyo wake
,
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
Ukweli ni kwamba, lipo kundi ndani ya Taifa hili tukufu la Tanzania linaloinyooshea vidole Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba imekumbwa na Rushwa na Ufisadi ghafla.

Kundi hili linamwona Rais Samia Suluhu Hassan kama ni Mtu aliyeshindwa kupambana na Rushwa na Ufisadi ila Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli ambaye hata hivyo kutetea mfu ni kumkufuru Mungu.

Rais Samia Suluhu Hassan wakati akiwa Bandari ya Dar es Salaam alilishambulia vikali kundi hili linalodai kulinda na kutetea Legacy ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli kwa kuinyooshea vidole Serikali yake kwa Rushwa na Ufisadi yenye vimiezi vichache tu madarakani.

HOJA YANGU KWENU NI HII
Kati ya nafasi zaidi ya 1,000 za Uteuzi alizopewa Rais na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan Viongozi wapya aliowateua hawajafika watu 100 hadi naandika makala hii. Hawa Viongozi zaidi ya 900 ni Viongozi walewale wa awamu zilizopita hasa hasa awamu ya tano.

SWALI LANGU
1. Hawa watu wanaonyooshewa Vidole wameleta tabia mpya ya Rushwa na Ufisadi awamu ya Sita wametoka Wapi kwa kipindi hiki kifupi au ni hawa wapya 100?

2. Je, nihawahawa waliotoka awamu zilizopita leo wote wamegeuka ghafla mashetani weusi au ndicho walichokifanya huko nyuma ila Utawala uliwaatamia tu na leo wamekwama kuiba wanaanza kubeza?

3. Au wanaposema wanalinda legacy maana yake ni kutekeleza Rushwa na Ufisadi kisha kuisingizia Awamu ya Sita ambayo hata mwaka haina au ndio Legacy kwa Vitendo hii?

4. Au mambo haya yanafanyika kwa maksudi mazima ili kumdhoofisha Rais Samia Suluhu Hassan na Serikali yake? Je nikweli Rushwa imekithiri au nihadaa tu wanafanya kwa Wananchi?

5. Mnaotetea Legacy ya Hayati Dkt John Joseph Pombe Magufuli kwa kutafuna mali za umma kwani yeye alipenda Rushwa na Ufisadi?Msitafute laana,

NB: uwekeni Uzalendo wa Taifa letu mbele kuliko masilahi yetu binafsi kwani nchi hii ni kubwa kuliko yeyote kila mmoja aupinge Ufisadi toka ndani ya moyo wake
,
Kaziiendelee
 
Magufuli ndiye Rais fisadi Papa wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi.

Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.

Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule.

Mama yupo sahihi kusema kuwa awamu ya tano ndiyo walikuwa mafisadi papa na ukweli lazima usemwe.

View attachment 2035720View attachment 2035721
Tufanye kazi tuache upumbavu wa kubunibuni na kuokota habari za mitandaoni.

Leteni report inayoonyesha upotevu wa 1.5T siyo story za kutunga. Na kuhisi.
 
Kuna watu wanapandisha bei za bidhaa kiholela kumchafua Rais Samia,

Waziri Mkuu pambana na hawa watu nia yao si njema kabisa,
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 
Ukweli ni kwamba, lipo kundi ndani ya Taifa hili tukufu la Tanzania linaloinyooshea vidole Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba imekumbwa na Rushwa na Ufisadi ghafla.

Kundi hili linamwona Rais Samia Suluhu Hassan kama ni Mtu aliyeshindwa kupambana na Rushwa na Ufisadi ila Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli ambaye hata hivyo kutetea mfu ni kumkufuru Mungu.

Rais Samia Suluhu Hassan wakati akiwa Bandari ya Dar es Salaam alilishambulia vikali kundi hili linalodai kulinda na kutetea Legacy ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli kwa kuinyooshea vidole Serikali yake kwa Rushwa na Ufisadi yenye vimiezi vichache tu madarakani.

HOJA YANGU KWENU NI HII
Kati ya nafasi zaidi ya 1,000 za Uteuzi alizopewa Rais na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan Viongozi wapya aliowateua hawajafika watu 100 hadi naandika makala hii. Hawa Viongozi zaidi ya 900 ni Viongozi walewale wa awamu zilizopita hasa hasa awamu ya tano.

SWALI LANGU
1. Hawa watu wanaonyooshewa Vidole wameleta tabia mpya ya Rushwa na Ufisadi awamu ya Sita wametoka Wapi kwa kipindi hiki kifupi au ni hawa wapya 100?

2. Je, nihawahawa waliotoka awamu zilizopita leo wote wamegeuka ghafla mashetani weusi au ndicho walichokifanya huko nyuma ila Utawala uliwaatamia tu na leo wamekwama kuiba wanaanza kubeza?

3. Au wanaposema wanalinda legacy maana yake ni kutekeleza Rushwa na Ufisadi kisha kuisingizia Awamu ya Sita ambayo hata mwaka haina au ndio Legacy kwa Vitendo hii?

4. Au mambo haya yanafanyika kwa maksudi mazima ili kumdhoofisha Rais Samia Suluhu Hassan na Serikali yake? Je nikweli Rushwa imekithiri au nihadaa tu wanafanya kwa Wananchi?

5. Mnaotetea Legacy ya Hayati Dkt John Joseph Pombe Magufuli kwa kutafuna mali za umma kwani yeye alipenda Rushwa na Ufisadi?Msitafute laana,

NB: uwekeni Uzalendo wa Taifa letu mbele kuliko masilahi yetu binafsi kwani nchi hii ni kubwa kuliko yeyote kila mmoja aupinge Ufisadi toka ndani ya moyo wake
,
safi
 
Back
Top Bottom