Kumkwamisha Rais Samia Suluhu ni kuikwamisha Tanzania

Ukweli ni kwamba, lipo kundi ndani ya Taifa hili tukufu la Tanzania linaloinyooshea vidole Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba imekumbwa na Rushwa na Ufisadi ghafla...
Nawatetea hawa wanatembea na msemo wa Legacy why?.

Zama za Magufuri zimepita akiwa Hai kama kiongozi kimamlaka, ila sasa katika viongozi ambao walikuwepo huyo mwamba amekuwa na tabia yake tofauti ya kiuongozi tofauti na wengine.

Utofauti huo ndiyo umepelekea wengi kutopenda aina ya tabia aliyokuwa nayo kitu ambacho wangi hatukuzoea.

Binadamu tuna tabia ya kutaka tabia, hurka na mienendo za binadamu wote ziwe sawa, kitu ambacho hakiwezekani.

Hawa waliosemwa na wengineo, siyo kwamba wanamtetea Magufuri la asha kuna jambo alilofanya Magufuri ila baadhi yenu mnahafifisha kile alichofanya na ndicho hicho ambacho wale watetea Legacy wanasimama nacho.

Binafsi nasimama nao, japo wengi mnasahau anayeoita ni bora kuliko anayekuja ambaye humjui.
 
Nawatetea hawa wanatembea na msemo wa Legacy why?.

Zama za Magufuri zimepita akiwa Hai kama kiongozi kimamlaka, ila sasa katika viongozi ambao walikuwepo huyo mwamba amekuwa na tabia yake tofauti ya kiuongozi tofauti na wengin...
Hujazungumzia utafunaji wa pesa za umma na hawa watu, Wewe unaonaje au nahapo unawaunga mkono?
 
Ukweli ni kwamba, lipo kundi ndani ya Taifa hili tukufu la Tanzania linaloinyooshea vidole Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba imekumbwa na Rushwa na Ufisadi ghafla...
Wanaiba halafu wanawahi kusema kunawizi hapa,

Jinga sana nyie,
 
Ukweli ni kwamba, lipo kundi ndani ya Taifa hili tukufu la Tanzania linaloinyooshea vidole Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba imekumbwa na Rushwa na Ufisadi ghafla....
Hatutakubali hili litokee
 
Ukweli ni kwamba, lipo kundi ndani ya Taifa hili tukufu la Tanzania linaloinyooshea vidole Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba imekumbwa na Rushwa na Ufisadi ghafla.

Kundi hili linamwona Rais Samia Suluhu Hassan kama ni Mtu aliyeshindwa kupambana na Rushwa na Ufisadi ila Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli ambaye hata hivyo kutetea mfu ni kumkufuru Mungu.

Rais Samia Suluhu Hassan wakati akiwa Bandari ya Dar es Salaam alilishambulia vikali kundi hili linalodai kulinda na kutetea Legacy ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli kwa kuinyooshea vidole Serikali yake kwa Rushwa na Ufisadi yenye vimiezi vichache tu madarakani.

HOJA YANGU KWENU NI HII
Kati ya nafasi zaidi ya 1,000 za Uteuzi alizopewa Rais na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan Viongozi wapya aliowateua hawajafika watu 100 hadi naandika makala hii. Hawa Viongozi zaidi ya 900 ni Viongozi walewale wa awamu zilizopita hasa hasa awamu ya tano.

SWALI LANGU
1. Hawa watu wanaonyooshewa Vidole wameleta tabia mpya ya Rushwa na Ufisadi awamu ya Sita wametoka Wapi kwa kipindi hiki kifupi au ni hawa wapya 100?

2. Je, nihawahawa waliotoka awamu zilizopita leo wote wamegeuka ghafla mashetani weusi au ndicho walichokifanya huko nyuma ila Utawala uliwaatamia tu na leo wamekwama kuiba wanaanza kubeza?

3. Au wanaposema wanalinda legacy maana yake ni kutekeleza Rushwa na Ufisadi kisha kuisingizia Awamu ya Sita ambayo hata mwaka haina au ndio Legacy kwa Vitendo hii?

4. Au mambo haya yanafanyika kwa maksudi mazima ili kumdhoofisha Rais Samia Suluhu Hassan na Serikali yake? Je nikweli Rushwa imekithiri au nihadaa tu wanafanya kwa Wananchi?

5. Mnaotetea Legacy ya Hayati Dkt John Joseph Pombe Magufuli kwa kutafuna mali za umma kwani yeye alipenda Rushwa na Ufisadi?Msitafute laana,

NB: uwekeni Uzalendo wa Taifa letu mbele kuliko masilahi yetu binafsi kwani nchi hii ni kubwa kuliko yeyote kila mmoja aupinge Ufisadi toka ndani ya moyo wake
,
Na akijikwamisha mwenyewe mtafanyaje? 🙄
 
Ukweli ni kwamba, lipo kundi ndani ya Taifa hili tukufu la Tanzania linaloinyooshea vidole Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba imekumbwa na Rushwa na Ufisadi ghafla.

Kundi hili linamwona Rais Samia Suluhu Hassan kama ni Mtu aliyeshindwa kupambana na Rushwa na Ufisadi ila Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli ambaye hata hivyo kutetea mfu ni kumkufuru Mungu.

Rais Samia Suluhu Hassan wakati akiwa Bandari ya Dar es Salaam alilishambulia vikali kundi hili linalodai kulinda na kutetea Legacy ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli kwa kuinyooshea vidole Serikali yake kwa Rushwa na Ufisadi yenye vimiezi vichache tu madarakani.

HOJA YANGU KWENU NI HII
Kati ya nafasi zaidi ya 1,000 za Uteuzi alizopewa Rais na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan Viongozi wapya aliowateua hawajafika watu 100 hadi naandika makala hii. Hawa Viongozi zaidi ya 900 ni Viongozi walewale wa awamu zilizopita hasa hasa awamu ya tano.

SWALI LANGU
1. Hawa watu wanaonyooshewa Vidole wameleta tabia mpya ya Rushwa na Ufisadi awamu ya Sita wametoka Wapi kwa kipindi hiki kifupi au ni hawa wapya 100?

2. Je, nihawahawa waliotoka awamu zilizopita leo wote wamegeuka ghafla mashetani weusi au ndicho walichokifanya huko nyuma ila Utawala uliwaatamia tu na leo wamekwama kuiba wanaanza kubeza?

3. Au wanaposema wanalinda legacy maana yake ni kutekeleza Rushwa na Ufisadi kisha kuisingizia Awamu ya Sita ambayo hata mwaka haina au ndio Legacy kwa Vitendo hii?

4. Au mambo haya yanafanyika kwa maksudi mazima ili kumdhoofisha Rais Samia Suluhu Hassan na Serikali yake? Je nikweli Rushwa imekithiri au nihadaa tu wanafanya kwa Wananchi?

5. Mnaotetea Legacy ya Hayati Dkt John Joseph Pombe Magufuli kwa kutafuna mali za umma kwani yeye alipenda Rushwa na Ufisadi?Msitafute laana,

NB: uwekeni Uzalendo wa Taifa letu mbele kuliko masilahi yetu binafsi kwani nchi hii ni kubwa kuliko yeyote kila mmoja aupinge Ufisadi toka ndani ya moyo wake
,
CCM wanakataa katiba mpya ili waendelee kukaa madaakni, lakini mambo hayawezi kwenda bila katiba mpya ndiyo hitaji la sasa
 
Chuki binafsi toa takwimu
Hayo maswali kamuulize mzee wa Msoga, ilikuwaje aliachiwa nchi hazina ikiwa imeshiba lakini mpaka anatoka ilikuwa nyeupe?

Kiongozi legelege hufanya watu wawe legelege,maana hawawezi kufanya zaidi ya uwezo wa kiongozi.

Hujawahi kujiuliza watoto akiwepo baba adabu inajaa gunia,ngoja wabaki na mama Sasa,adabu nusu debe.
 
Ukweli ni kwamba, lipo kundi ndani ya Taifa hili tukufu la Tanzania linaloinyooshea vidole Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba imekumbwa na Rushwa na Ufisadi ghafla.

Kundi hili linamwona Rais Samia Suluhu Hassan kama ni Mtu aliyeshindwa kupambana na Rushwa na Ufisadi ila Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli ambaye hata hivyo kutetea mfu ni kumkufuru Mungu.

Rais Samia Suluhu Hassan wakati akiwa Bandari ya Dar es Salaam alilishambulia vikali kundi hili linalodai kulinda na kutetea Legacy ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli kwa kuinyooshea vidole Serikali yake kwa Rushwa na Ufisadi yenye vimiezi vichache tu madarakani.

HOJA YANGU KWENU NI HII
Kati ya nafasi zaidi ya 1,000 za Uteuzi alizopewa Rais na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan Viongozi wapya aliowateua hawajafika watu 100 hadi naandika makala hii. Hawa Viongozi zaidi ya 900 ni Viongozi walewale wa awamu zilizopita hasa hasa awamu ya tano.

SWALI LANGU
1. Hawa watu wanaonyooshewa Vidole wameleta tabia mpya ya Rushwa na Ufisadi awamu ya Sita wametoka Wapi kwa kipindi hiki kifupi au ni hawa wapya 100?

2. Je, nihawahawa waliotoka awamu zilizopita leo wote wamegeuka ghafla mashetani weusi au ndicho walichokifanya huko nyuma ila Utawala uliwaatamia tu na leo wamekwama kuiba wanaanza kubeza?

3. Au wanaposema wanalinda legacy maana yake ni kutekeleza Rushwa na Ufisadi kisha kuisingizia Awamu ya Sita ambayo hata mwaka haina au ndio Legacy kwa Vitendo hii?

4. Au mambo haya yanafanyika kwa maksudi mazima ili kumdhoofisha Rais Samia Suluhu Hassan na Serikali yake? Je nikweli Rushwa imekithiri au nihadaa tu wanafanya kwa Wananchi?

5. Mnaotetea Legacy ya Hayati Dkt John Joseph Pombe Magufuli kwa kutafuna mali za umma kwani yeye alipenda Rushwa na Ufisadi?Msitafute laana,

NB: uwekeni Uzalendo wa Taifa letu mbele kuliko masilahi yetu binafsi kwani nchi hii ni kubwa kuliko yeyote kila mmoja aupinge Ufisadi toka ndani ya moyo wake
,
Na concrete measures zichukuliwe isiishie maneno matupu tuu.
 
Magufuli ndiye Rais fisadi bora wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi.

Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.

Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule.

Mama yupo sahihi kusema kuwa awamu ya tano ndiyo walikuwa mafisadi papa na ukweli lazima usemwe.

View attachment 2035720View attachment 2035721
Kweli unalichukia hata jina la Magufuli. Hivi unajua 1.5T ni kiasi gani. Magufuli aliziweka wapi??????????????? Mchagga wewe una wazimu
 
Hujazungumzia utafunaji wa pesa za umma na hawa watu, Wewe unaonaje au nahapo unawaunga mkono?
Issue ya kutafuna fedha za umma ni donda ndugu, siwezi kumpinga mtu flani aliyeiba fedha ya umma wakati sheria zenu zina ukengeufu kwenye kuwashitaki watanzania.

Pale ambapo atatokea kiongozi asiye na masikio ndipo tunaweza kuondoka kwenye hili ombwe la wizi wa mali za umma, akabadiri katiba na sheria za kuwalinda high profile people na waonje moto huko mahabusu.

Vinginevyo mtakuja na maneno mengi dhidi ya wafu!.
 
Ninachojua Samia hana watu wake wanaofuata kiitikadi! Watu wanaosupport Samia ni wale Team Msoga na wale ambao hawamkupenda au kumkubali Magufuli. Yaani iko hivo kwaiyo group hizo zote mbili wanachofanya ni kutafuta sehemu ya kujipoozea ili kesho na kesho kutwa wafanikishe mipango yao.
 
Kwahiyo CAG akikuambia kuwa analala na mama yako utakubali?
Mfano wako ni mfano mfu.

CAG kulala na Mama yangu ni kazi za controller audit kwa mujibu wa sheria?CAG akiniambia kuwa anataka kulala na Mama yangu sitakubali kwa sababu hiyo siyo kazi ya controller auditor kwa mujibu wa sheria.

Comment yako hii imeanika vile uwezo wako wa akili ulivyo mdogo.CAG ni moja ya mamlaka za kuaminika na zinazoheshimika sana katika nchi hii.

Kwa mujibu wa CAG ambacho ni chombo cha kuaminika katika nchi hii,Magufuli ndiye fisadi bora wa muda wote taka usitake.
 
Unaongelea vitu viwili tofauti ambavyo havifanani.

CAG kulala na Mama yangu ni kazi za controller audit kwa mujibu wa sheria?CAG akiniambia kuwa anataka kulala na Mama yangu sitakubali kwa sababu hiyo siyo kazi ya controller auditor kwa mujibu wa sheria.

Comment yako hii imeanika vile uwezo wako wa akili ulivyo mdogo.CAG ni moja ya mamlaka za kuaminika na zinazoheshimika sana katika nchi hii.

Kwa mujibu wa CAG Magufuli ndiye fisadi bora wa muda wote taka usitake.
Wewe ni mpuuzi tu.
 
Back
Top Bottom