Mroojr
Member
- Nov 15, 2010
- 65
- 8
Ndg wanachama wenzangu mimi kwa upeo wangu mdogo sijaona kama ni jambo la busara sana kumkashfu kashfu mheshimiwa rais na kumpa majina ya kejeli kama mkwere n.k.Jambo hili halipendezi kimaadili kwanza ni mtu mzima kiumri,pili ni kiongozi wa nchi yetu hata kama wewe na mimi hatujamchagua haijalishi anafaa apewe heshima yake kama rais.Tusimsemeseme sana kwa mambo yasiyo ya msingi pamoja na uhuru tulionao.Kama ni mapungu wote waliopita walikuwa nayo mkitaka yatasemwa wazi kuanzia 1-4 kikwete.