ntemintale
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 952
- 1,871
Ubunifu huwa ni zao la uhuru wa mawazo. Ukibana uhuru wa mawazo umeua ubunifu. Na bila ubunifu tusahau kufikia nchi ya viwanda.
Cc: Wahusika wanajifahamu. Kama hawajifahamu wamuulize Mugabe.
Cc: Wahusika wanajifahamu. Kama hawajifahamu wamuulize Mugabe.