Kumiliki "used toyota car" ni symbol tosha ya umaskini

usafiri wetu wa umma ni wa tabu hence... tungekua na usafiri mzuri sidhani kama watu wangehangaika na magari used
 
Dah! Ki ukweli mtoa mada unachembe za kua unavuta ugoro.

Unajua bei ya gari mpya? Unajua kipato cha watanzania? Used car ukipanda ufiki unapo enda? Umekurupuka

Asilimia kubwa ya watu Duniani wanatumia used car mbaya wewe pia unapanda used car au unaendesha used car hua zinakuletea ugonjwa wa moyo ukipanda?
 
Best safi sana endelea kutupaka maana Mimi funguo Huwa naning'iniza kidole cha mwisho ili heshima ipatikane
 
Dah! Ki ukweli mtoa mada unachembe za kua unavuta ugoro.

Unajua bei ya gari mpya? Unajua kipato cha watanzania? Used car ukipanda ufiki unapo enda? Umekurupuka

Asilimia kubwa ya watu Duniani wanatumia used car mbaya wewe pia unapanda used car au unaendesha used car hua zinakuletea ugonjwa wa moyo ukipanda?

Duh
 
Mleta mada nnaamini yafuatayo toka kwake
1:99%atakuwa mtoto wa mchawi
Maana ubaya wa roho wa namna hii juu ya Mali za wengine si wa kawaida,
2:atakuwa ni mtu mwenye maisha ya zama za mawe maana hajui ananunua gari ili iweje ndo maana anakandia magari used kana kwamba hayawezi kumsaidia mtu kurahisisha safari zake,
3:Mzee wa sizitaki mbichi hizi,
Wahenga wenzangu wanajua hii hadithi,jamaa atakuwa karukaruka na kashindwa kufikia sasa anaamua kutoa umivu lake kwa kudharau,naamini hata yy anachokitu used,km siyo gari ni nguo,ama vyombo ama redio TV au hata kiungo cha siri cha mwenza wake ni used,

NB:mwerevu huangalia aishi vipi awe na kipi maana maisha ni yake
Mpumbavu hushughulika na maisha ya watu na kuwapangia watu waishije
 
Mleta mada nnaamini yafuatayo toka kwake
1:99%atakuwa mtoto wa mchawi
Maana ubaya wa roho wa namna hii juu ya Mali za wengine si wa kawaida,
2:atakuwa ni mtu mwenye maisha ya zama za mawe maana hajui ananunua gari ili iweje ndo maana anakandia magari used kana kwamba hayawezi kumsaidia mtu kurahisisha safari zake,
3:Mzee wa sizitaki mbichi hizi,
Wahenga wenzangu wanajua hii hadithi,jamaa atakuwa karukaruka na kashindwa kufikia sasa anaamua kutoa umivu lake kwa kudharau,naamini hata yy anachokitu used,km siyo gari ni nguo,ama vyombo ama redio TV au hata kiungo cha siri cha mwenza wake ni used,

NB:mwerevu huangalia aishi vipi awe na kipi maana maisha ni yake
Mpumbavu hushughulika na maisha ya watu na kuwapangia watu waishije
Absolutely
 
Nashangaa sana Imekua kama Vile symbo Moja wapo Ya Utajiri kwa nchi za Africa especially Bongo Land kwa Mtu kumiliki Gari.
Gari lenyewe sasa Mtu analotamba nalo Ni Toyota Brand,nyingi Zikiwa Hizi Baby Walker. ..
Mtu ananunua katoyota Basi ndio hata akifika mahala kwenye Kakikao cha Ukoo anataka asikilizwe yeye tu hata kama ataongea pumba. .
Mtu unakuta ni Chembamba kuliko Fidodido ,ila atakavyojitanua sasa sanamu la michelini halioni ndani.

Ufunguo siku izi wanaweka kwnye kale Kadude ka mkanda. ...

Ivi mnajua Huo Mtumba wako wa Gari Nchi nyingine ni Dumped Product Ama ! Unajua Kuna nchi Nyingi Gari yako hiyo unayojidai nayo Ukithubutu kuigiza Nchi kwao unaweza Fungwa Hadi Miaka 30 Jela kwa Kuingiza Bidhaa chakavu.

TUPUNGUZENI MBWEMBWE NA HIVI VIUCHAFU VYETU JAMANI.
MBWEMBWE ZIANZIE
HAPA
0KM BRAND NEW CAR /SUPER BRAND ..SUPER BRAND NAZUNGUMZIA KINA BMW NA NDUGU ZAKE.
ILA KWA SISI WENGINE TUWENI TU WAPOLENI TUNAMILIKI TAKATAKA.

Nnaposema ni symbol tosha ya Umaskini wala sikosei though mtanishambulia,Jaribu kuchunguza kwann Unayo gari uliyonayo , I mean ni vigezo gani vilikufanya umiliki hiyo gari. ? Wengi mliangalia CC...plus Upatikanaji Wa Spare . ... maanake ni nn , mnaogopa Gharama za mafuta. .. Kuogopa Gaharama ni nn , kuogopa gharama maana yake ni kutokua na uwezo wa kujitosheleza/kua na uwezo mdogo wa kukabili majukumu makubwa.

Binafsi nnachoendelea kukikomba mwaka huu , moja wapo ni hili , Gari langu la pili lisitoke kwa Hawa Jamaa wa Japan Used Car na Liwe ni Brand New 0KM.
My Case is Different.

My take.

Enough is Enough bana Kwann wao hawatumii Mitumba kutoka Africa , Hadi Nguo za ndani wanatuuzi Used .. Tushikweni na Hasira sasa tuache Kujigamba na Huu uchafu wanaotutupia Hawa watu , mbaya Zaidi Uchafu huo ndio unakuja kutumika kututengenezea Matabaka sisi wenyewe.
Tambua tu ww , Mwenye pikipiki na Asiyekua na chombo chochote cha Moto kwa sisi hapa Bongo wote tu kwnye Tabaka Moja la UMASKINI.
:D :D :D :D :D :D :D :D
 
45 Reactions
Reply
Back
Top Bottom