WAKU-GOOGLE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2015
- 950
- 623
Habari wakuu.
Kulingana na ubachela na changamoto ya ufuaji natamani kumiliki dry cleaner ili kurahisisha swala la usafi.
Pia kujua bei zake na uimara wake.
Naomba ushauri kutoka kwa watu wanao zitumia majumbani na wana Jf kwa ujumla.
Kulingana na ubachela na changamoto ya ufuaji natamani kumiliki dry cleaner ili kurahisisha swala la usafi.
Pia kujua bei zake na uimara wake.
Naomba ushauri kutoka kwa watu wanao zitumia majumbani na wana Jf kwa ujumla.