Kumi bora std seven kagera wamependelewa au ni akili 50% kutoka kagera, mikoa 29 ilobaki nayo 50%

mikoa maskini tz kwa mujibu wa nbs
1_kigoma
2_geita
3_kagera
4singida
5_mwanza
Kanda ya ziwa hoyeee
Weka na mikoa inayoongoza tuone kama inaweza ipita bukoba .mkoa wa kagera ndio maskini sio uhayani yaani bukoba, bukoba vijijini,misenyi,na muleba.hata tz ni nchi maskini lakini kuna sehemu zilizoendelea Sana kupita nyingine
 
tuongee uhalisia sio ushabk mhaya hata Kama katapakaa
lkn hajamfkia kbs mchaga tuanze hapa nchini
hivi kuna kata yoyote ktk tz nzima utamkosa mchaga? Kama sio mtumishi utamkuta ni mfanya biashara tuanze bukoba Yale mamigahawa n'a lodges nyingi pale bukoba unajua zinamilikiwa na wachaga? mfano yule mchaga kwenye mabasi ya Osaka Ana hotel zake 3 pale
achilia mbali wengine ukienda mwanza magorofa kadhaa tunamiliki Kuna ile hotel ya kifahari ya gold crest IPO Kona ya bwiru nayo pia niambie ni wapi hatupo
nyie mpo mmoja mmoja
ukija kwenye diaspora tumewaacha ila sio sana
Bukoba mpaka safari za ndege zimeongezwa nyie pandeni magari sie ni huku .na fastjet mwakani inaanza safari ya bukoba
FB_IMG_15435195147685854.jpeg
 
tuongee uhalisia sio ushabk mhaya hata Kama katapakaa
lkn hajamfkia kbs mchaga tuanze hapa nchini
hivi kuna kata yoyote ktk tz nzima utamkosa mchaga? Kama sio mtumishi utamkuta ni mfanya biashara tuanze bukoba Yale mamigahawa n'a lodges nyingi pale bukoba unajua zinamilikiwa na wachaga? mfano yule mchaga kwenye mabasi ya Osaka Ana hotel zake 3 pale
achilia mbali wengine ukienda mwanza magorofa kadhaa tunamiliki Kuna ile hotel ya kifahari ya gold crest IPO Kona ya bwiru nayo pia niambie ni wapi hatupo
nyie mpo mmoja mmoja
ukija kwenye diaspora tumewaacha ila sio sana
Usinifanye nirudishe Uzi wa bukoba Vs moshi hapa mkalia bure.uzi wa kwanza mlishindwa mpaka mkakimbilia YouTube kupost bukoba Vs moshi Kwa kupost bukoba ya 2000 ambayo bado iko iliwagalagaza na nadhani uliona koment za watu
 
Kwa Tanzania mpaka kesho, cut off point ya Bukoba ipo juu inafuatiwa na Kilimanjaro ambayo nayo imegawanywa kwa upareni kushushwa.

Arusha kabla ya Manyara kumegwa kuna two cut off points kwa shule za watoto wa makabila ya wafugaji iko low na the lowest ni watoto wa kabila la Hadzabe hawa ni endangered species, wanakamatwa kwa nguvu na kufungiwa shule last time wanne walifanikiwa kufika Standard seven, walifeli wote, cut off point kwa shule zao ni kumaliza la 7.
Hao wanne walipelekwa Pugu na kulindwa for 4 years, wote wanne walipata Division 0, wakarudishwa kwao wakiwa civilised wakapewa na nguo za kuwagawia wenzao na Wakawajengea modern fixed houses with modern amenities.

Serikali iliporudi kuwafanyia follow up, walikuta nyumba tupu na hadi nguo zao pia walizivua na kurejea asili yao. I don't know the situation as of now!.

Kiukweli utaratibu huu japo umesaidia kuleta usawa kidogo lakini majanga ni makubwa zaidi kwa taifa kupoteza a big potential ya brilliant brain power at the expense ya vilaza.
P
Ha ha haaaa, hawa wahadzabe kuna shirika liliwahi kuwachukua vijana kumi likawapeleka vita, mmoja tu ndo alibaki wengine wote walirudi porini. Hawa watu wanatakiwa wabakiwe na asili yao maana ndo wanaifurahia, pori lao lilindwe na wawe wanaongezewa wanyama na watengenezewe mswaada maalumu utaowalinda wao na mapori yao ili wasivamiwe
 
instanbul kuifananisha bukoba na mji msafi kuliko yote tz Moshi ni matusi,Uzi wa bukoba vs Moshi omba Mungu mods walikuokoa
kwa factor zipi uifanamishe bukoba iliyojaa magofu na mji wa kitalii Moshi? bukoba pale mjini hapana hata hadhi ya kufananisha na mji mdogo wa machame Jimbo la hai
 
instanbul
safari za ndege mbna Kilimanjaro zipo Mara nyingi kuwazdi tangu zaman? mashirika yote ya ndege ya ndan lazma route ya Kilimanjaro iwemo Sasa hapo unamtambia Nan?
uwanja wa Kilimanjaro ni wa kimataifa Sasa unanitambia kitu gan labda ujilinganishe na kigoma,level yangu mm n dar
alafu sisi tunamiliki hadi shirika la ndege la précision air duh ww jifananishe
na kigoma sio mm aisee
alafu ujue ulivyo muongo,fast jet wamesitishiwa lesen yao Sasa hizo safari zinafanywa na ndege gan au ni ungo? yaan mbwembwe tu nyie hamna lolote ripoti ya mikoa maskini ndio imewaumbua mbwembwe zenu,sijui mngekuwa mkoa wa 2 kwa maisha bora kama sisi si mngetamba kila cku? yaan mkoa wenu wa 3 kwa umaskini lakn bado mnapata nguvu ya kuleta mbwembwe? duh hamna mshipa wa aibu kwakweli
 
Kutokana na cut off point ya Bukoba kuwa juu, wahaya walichuku hatua kadhaa, kwanza kuwaandikisha watoto kwa kutumia majina ya kidini pekee mfano mtu anaitwa Anatory Pastory badala ya Anatory Rweyemamu.
Pia kuna jamii kama Waziba wa Kanyigo walikuwa na mkakati wa kupeleka watoto kusomea mikoa mingine, mfano kama uko Dodoma na unafanya kazi utaletewa watoto wawili na utawahudumia wasome kutokea kwako ili waweze kuchaguliwa kwenda sekondari na haikujalisha kama ni ndugu zako ama la.
Mkuuu hii ni kwelii tupuu
 
instanbul kuifananisha bukoba na mji msafi kuliko yote tz Moshi ni matusi,Uzi wa bukoba vs Moshi omba Mungu mods walikuokoa
kwa factor zipi uifanamishe bukoba iliyojaa magofu na mji wa kitalii Moshi? bukoba pale mjini hapana hata hadhi ya kufananisha na mji mdogo wa machame Jimbo la hai
Unaisifia moshi kama vile hatuifahamu.hivi kitu gani moshi inacho bukoba haina .Kwanza angalia mandhali.wingi wa watu.biashara.bandari.nyumba nk na Hali ya hewa ya kipekee ya bukoba shida we ni mbishi Sana na umejengea ukabila wa Hali ya juu kuwa wachaga ndo kila kitu but kumbuka kuna makabila makubwa yenye sifa zake na yanazidi mbali.hata wachaga wenyewe wanafahamu .kuwa wahaya kuna vitu wanawapiga chini
 
instanbul
safari za ndege mbna Kilimanjaro zipo Mara nyingi kuwazdi tangu zaman? mashirika yote ya ndege ya ndan lazma route ya Kilimanjaro iwemo Sasa hapo unamtambia Nan?
uwanja wa Kilimanjaro ni wa kimataifa Sasa unanitambia kitu gan labda ujilinganishe na kigoma,level yangu mm n dar
alafu sisi tunamiliki hadi shirika la ndege la précision air duh ww jifananishe
na kigoma sio mm aisee
alafu ujue ulivyo muongo,fast jet wamesitishiwa lesen yao Sasa hizo safari zinafanywa na ndege gan au ni ungo? yaan mbwembwe tu nyie hamna lolote ripoti ya mikoa maskini ndio imewaumbua mbwembwe zenu,sijui mngekuwa mkoa wa 2 kwa maisha bora kama sisi si mngetamba kila cku? yaan mkoa wenu wa 3 kwa umaskini lakn bado mnapata nguvu ya kuleta mbwembwe? duh hamna mshipa wa aibu kwakweli
We ni mbishi Sana hata nikikuelezeaje hutaelewa but unafanya ujinga wa kubishi wakati ukweli unaujua anyway karibu xmass
tapatalk_1545768579558.jpeg
 
instanbul
1:umeona unipooze na senene baada ya kushindwa hiyo hoja Yako ya ndege?
2: Sasa bukoba imeipita Moshi kitu gan? magofu? mpangilio mbovu wa vijumba? stand mbovu ile? au lami iliyobabukababuka?
hebu acha kichekesho,level ya bukoba labda tuipe musoma
Moshi imeshatimiza vigezo vyote vya kuwa jiji na mpango nzima upo tamisemi bado tu ku approve,kigezo kilichokuwa kimeinyima Moshi hadhi ya jiji kilikuwa ukubwa tu,lkn wazee wa wilaya za hai na Moshi DC wakakubali maeneo yao yamegwe ili yawe sehemu ya moshi
Sasa nakushangaa Sana huna hata mshipa wa aibu ww mshaija?
 
instanbul
1:umeona unipooze na senene baada ya kushindwa hiyo hoja Yako ya ndege?
2: Sasa bukoba imeipita Moshi kitu gan? magofu? mpangilio mbovu wa vijumba? stand mbovu ile? au lami iliyobabukababuka?
hebu acha kichekesho,level ya bukoba labda tuipe musoma
Moshi imeshatimiza vigezo vyote vya kuwa jiji na mpango nzima upo tamisemi bado tu ku approve,kigezo kilichokuwa kimeinyima Moshi hadhi ya jiji kilikuwa ukubwa tu,lkn wazee wa wilaya za hai na Moshi DC wakakubali maeneo yao yamegwe ili yawe sehemu ya moshi
Sasa nakushangaa Sana huna hata mshipa wa aibu ww mshaija?
Kumbuka uwanja wa ndege unatumika na watu wanaokuja bk Tu .inamaana mpaka route zinaongezwa ina maana watu wa kwenda bk wamekuwa wengi.tofauti na uwanja wa Kia ambao watz wote hushukia pale.kihusu bukoba kuwa na magofu leta picha.umenichekesha na uongo wako eti vijiji vile vya moshi vijiji na hai vimeunganishwa vitengeneze jiji la moshi .wakati nyie makaburi ya mababu zenu na maeneo yenu ya kiukoo mnayangangania kama nini.hiyo ni ndoto Kwanza kamoshi ni kadogo Sana bukoba inakameza mara mbili.yaani moshi ni Sawa na kashai au rwamishenye ya bukoba.hata kistendi chenu kinabana sa hivi.soko mbuyuni bovu . Bora hata ya bukoba ambao wamejipanga na kujenga vitu vinavyoeleweka.yaani tofauti na bar hakuna sehemu ya kurefresh .mji hauchangamki na Una ukabila mwingi .mji gani umejaa kabila moja.vigorofa vinaesabika.hakuna hata cha maana yaaani mnazidiwa na kahama.mji wa tatu kanda ya ziwa baada ya mwanza na bk
 
Kwa Tanzania mpaka kesho, cut off point ya Bukoba ipo juu inafuatiwa na Kilimanjaro ambayo nayo imegawanywa kwa upareni kushushwa.

Arusha kabla ya Manyara kumegwa kuna two cut off points kwa shule za watoto wa makabila ya wafugaji iko low na the lowest ni watoto wa kabila la Hadzabe hawa ni endangered species, wanakamatwa kwa nguvu na kufungiwa shule last time wanne walifanikiwa kufika Standard seven, walifeli wote, cut off point kwa shule zao ni kumaliza la 7.
Hao wanne walipelekwa Pugu na kulindwa for 4 years, wote wanne walipata Division 0, wakarudishwa kwao wakiwa civilised wakapewa na nguo za kuwagawia wenzao na Wakawajengea modern fixed houses with modern amenities.

Serikali iliporudi kuwafanyia follow up, walikuta nyumba tupu na hadi nguo zao pia walizivua na kurejea asili yao. I don't know the situation as of now!.

Kiukweli utaratibu huu japo umesaidia kuleta usawa kidogo lakini majanga ni makubwa zaidi kwa taifa kupoteza a big potential ya brilliant brain power at the expense ya vilaza.
P
nimejifunza kitu hapa
 
Japo sijui Prof. Palamagamba Kabudi aliingia sekondari kwa points ngapi na alipata nini, ila pale UDSM, Kabudi amenifundisha and in fact ndie supervisor wangu wa LL.B dissertation, jamaa ni kichwa mbaya na genius wa ukweli, ana photographic memory. Mpaka sasa ndie anashikilia top GPA kwa UDSM na rekodi yake haijawahi kuvunjwa, jamaa alitoka na GPA ya 4.9. Mwisho wa GPA ni 5.0 mpaka sasa UDSM hakuna mwanafunzi hata aliyemkaribia Kabudi hata kwa 4.8!, hivyo huyu jamaa ni habari nyingine.

N.B, kuwa genius ni jambo moja, na kuutumia huo ugenius ni jambo jingine, na kuna ushahidi wa ma genius kufanya mambo ya ajabu. Sir Issac Newton aliyegundua gravitational force na newton's laws of motion, kwenye kufanya experiment ya yai linachukua muda gani kuanza kuchemka, alishika yai mkononi na kulitizama huku amechemsha saa jikoni!.

Archimedes ndiye aliyegundua the law of floatation, siku anagundua alikuwa bafuni akioga kwenye bathtub, alitoka mbio hivyo hivyo kama alivyozaliwa na kuingia mtaani huku akiimba "eureka eureka"
P.
hahahahah hii NB ilikuwa muhimu sana kuiweka hapa...

ila sikujua jamaa ni nuksi kichwani kiasi hicho
 
Nasikia hata Profesa kabudi alipata 64/100 kwa masomo ya Cambridge akapelekwa vipaji maalumu, ila cha kushangaza mzee Lwankomezi alipata 79/100 akaachwa kwa kuwa kagera walitoka wa 86hadi 93 mzee kamala mwaka huo huo
Naomba historia ya huyu mzee Kamala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom