britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,634
- 30,000
Shule 10 bora kitaifa std 7 katika matokeo
1.Raskazone(Tanga)
2.Nyamuge(Mwanza)
3.Twilohiki(Mara)
4.Kwema(Kahama-Shy)
5.Rocken Hill(Kahama-Shy)
6.Jkibira(Kagera)
7.St.Achileus(Kagera)
8.Kiwanuka(Kagera)
9.St.Severine(Kagera)
10.Rweikiza(Kagera)
Sasa najiuliza ile kanda ya ziwa ukiweka na kagera inamaana shule iliyotoka nje ya kanda ya ziwa ni 2 tu
1.Raskazone(Tanga)
2.Nyamuge(Mwanza)
3.Twilohiki(Mara)
4.Kwema(Kahama-Shy)
5.Rocken Hill(Kahama-Shy)
6.Jkibira(Kagera)
7.St.Achileus(Kagera)
8.Kiwanuka(Kagera)
9.St.Severine(Kagera)
10.Rweikiza(Kagera)
Sasa najiuliza ile kanda ya ziwa ukiweka na kagera inamaana shule iliyotoka nje ya kanda ya ziwa ni 2 tu