residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,020
- 9,609
Big reforms.Hivi Nchi inahitaji reforms!
Big reforms.Hivi Nchi inahitaji reforms!
Umezoea utumwa ?Naomba kujua wewe mkuuu una kazi kweli. Kapime afya. Ukikaa kimya itakuwaje.
Wewe ungekaa kimya ungepungukiwa nini?Naomba kujua wewe mkuuu una kazi kweli. Kapime afya. Ukikaa kimya itakuwaje.
Mmgh serious? Mimi nikajua anatoka Musoma! Kama kweli ni Msukuma basi hii ulikuwa hatari sana.Huyo ni msukuma
Ndiyo maana inaua sana na wakati mwingine kuwaacha watu yatima na wajaneHaitibiki.
Yupo chini ya maelekezo ya sukuma gangPolepole ni set up..
100% ni msukuma na ni mojawapo ya waliokuwa nyuma ya sukuma gangMmgh serious? Mimi nikajua anatoka Musoma! Kama kweli ni Msukuma basi hii ulikuwa hatari sana.
Unauliza ndevu kwa Osama?Umezoea utumwa ?
Dereva wetu alituhamisha kutoka kwenye njia sahihi.Big reforms.
Kwani wewe umeachika lini kutoka kwa mumeo Polepole?SSa
Safi sana mkuu mtoa mada mke wa mbowe katoa kishabiki akitegemea negative ideas
Kanywe kwanza angalau funda la maji upunguze machungu na hasira
Yule ni mgonjwaPolepole maneno yalikuwa meneno yalikuwa mengi sana
Tayari ni kamati ya sheria ndogo hivyo haina madhara makubwa.Wabunge wote wa Sukuma gengi wamehamishiwa kwenye kamati ya sheria ndogo siujui hiyo kamati haina effect
Magonjwa mtambuka!!!Napendekeza kamati aliyotoka apelekwe Mtambuka. Ataimudu vyema.
Ila jua yule ni MWENYEKITIKuna taarifa kwamba Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai amefanya mabadiliko kwenye kamati za kudumu za bunge , na kumhamisha Mh Mbunge Humphrey Polepole kutoka kamati ya awali ya Utawala na serikali za mitaa na kupelekwa Kamati ya Sheria ndogo .
Swali ni hili , Mabadiliko haya yamelenga nini ?
Kweli hii comment yako naona kama maajabu kwangu kweli wewe wakuandika hivi????!!Ameanza kupinga chanjo ya malaria lakini hajawahi kusikika kupinga matumizi ya ARV na kushauri watu watumie tiba asili.
Pole chakubangaPunguza chuki za kijinga kima wewe! Ukiona huoni cha kuchangia/kuleta hoja piga kimya!.Jf sikuizi imekua na watu wajinga wajinga sana!
Mungu wangu! Yaani Mkuu wa majeshi msukuma, Diwani naye naskia kanda ya ziwa, Siro kanda ya ziwa, Bashiru kanda ya ziwa,mawaziri kibao kanda ya ziwa,katibu wa Ikulu kanda ya ziwa,Polepole kanda ya ziwa..Mh kumbe palikuwa na shida kidogo!100% ni msukuma na ni mojawapo ya waliokuwa nyuma ya sukuma gang
Diwani sio kanda ya ziwa ni kaskaziniMungu wangu! Yaani Mkuu wa majeshi msukuma, Diwani naye naskia kanda ya ziwa, Siro kanda ya ziwa, Bashiru kanda ya ziwa,mawaziri kibao kanda ya ziwa,katibu wa Ikulu kanda ya ziwa,Polepole kanda ya ziwa..Mh kumbe palikuwa na shida kidogo!