Kumhamisha Mbunge Humphrey Polepole kutoka Kamati ya kudumu ya Utawala bora na Serikali za Mitaa kumelenga nini?

Kuna taarifa kwamba Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai amefanya mabadiliko kwenye kamati za kudumu za bunge , na kumhamisha Mh Mbunge Humphrey Polepole kutoka kamati ya awali ya Utawala na serikali za mitaa na kupelekwa Kamati ya Sheria ndogo .

Swali ni hili , Mabadiliko haya yamelenga nini ?
Ila jua yule ni MWENYEKITI

LAKINI SI BADO NI MBUNGE WACHA TUENDELEE KUMWOMBEA KWA MUNGU AMJALIE MEMA ZAIDI
 
100% ni msukuma na ni mojawapo ya waliokuwa nyuma ya sukuma gang
Mungu wangu! Yaani Mkuu wa majeshi msukuma, Diwani naye naskia kanda ya ziwa, Siro kanda ya ziwa, Bashiru kanda ya ziwa,mawaziri kibao kanda ya ziwa,katibu wa Ikulu kanda ya ziwa,Polepole kanda ya ziwa..Mh kumbe palikuwa na shida kidogo!
 
Mungu wangu! Yaani Mkuu wa majeshi msukuma, Diwani naye naskia kanda ya ziwa, Siro kanda ya ziwa, Bashiru kanda ya ziwa,mawaziri kibao kanda ya ziwa,katibu wa Ikulu kanda ya ziwa,Polepole kanda ya ziwa..Mh kumbe palikuwa na shida kidogo!
Diwani sio kanda ya ziwa ni kaskazini
 
Back
Top Bottom