Kumekuwa na hali ya kupanda kwa bei za vitu karibu kila kukicha, mhimili wa kuisimamia serikali unasemaje kuhusu hili?

Daisam

JF-Expert Member
May 23, 2016
2,626
3,141
Ndugu zangu Watanzania, miezi michache ya hivi karibuni kumekuwa na hali ya kupanda kwa bei za vitu karibu kila kukicha.

Hii inasababisha sisi Watanzania kuishi maisha magumu zaidi kuliko wakati mwingine wowote ule.

Mhimili wetu unaotuwakilisha na wenye wajibu wa kuisimamia serikali unasemaje kuhusu hili?
 
Mhimili wetu unaotuwakilisha na wenye wajibu wa kuisimamia serikali unasemaje kuhusu hili?
Wapo bungeni wanampigia pambio, vigelegele na ndelemo m/kit wao wa chama, na mwisho kabisa wanalipwa posho ambayo Ni jasho litokanalo na tozo za wavuja jasho!

Pale Hamna wabunge, Bali mbumbumbu wamejazana mle wakiguata mkondo wa m/kit
 
Unasema "Kazi iendelee" na Yesu na mkewe walionekana mitaa ya galilaya wakitafuta kuhesabiwa. Kuna muda naanza kuamini kweli anahujumiwa, au anajihujumu?
 
Sijuh Huko Nazareth Na maeneo mengine alienda kufanya nini

Ndo kiongozi wa bunge wezake anawapeleka kwenye kamati kisa wamepotosha. Kiongozi kadanganya bunge Yesu Na mke wake inahidi kamati wamjadili kwa matamshi ya kupotosha Na kuvuraga Amani ya Kristo.
 
W
Sijuh Huko Nazareth Na maeneo mengine alienda kufanya nini
Ndo kiongozi wa bunge wezake anawapeleka kwenye kamati kisa wamepotosha. Kiongozi kadanganya bunge Yesu Na mke wake inahidi kamati wamjadili kwa matamshi ya kupotosha Na kuvuraga Amani ya Kristo.
Wazungu wanaita taimu traveli
 
Ndugu zangu Watanzania, miezi michache ya hivi karibuni kumekuwa na hali ya kupanda kwa bei za vitu karibu kila kukicha.
Hii inasababisha sisi Watanzania kuishi maisha magumu zaidi kuliko wakati mwingine wowote ule.
Mhimili wetu unaotuwakilisha na wenye wajibu wa kuisimamia serikali unasemaje kuhusu hili?
Kwani kulikuwa na uchaguzi?
 
1783442_IMG_20180609_070022.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania, miezi michache ya hivi karibuni kumekuwa na hali ya kupanda kwa bei za vitu karibu kila kukicha.
Hii inasababisha sisi Watanzania kuishi maisha magumu zaidi kuliko wakati mwingine wowote ule.
Mhimili wetu unaotuwakilisha na wenye wajibu wa kuisimamia serikali unasemaje kuhusu hili?

Kwani "Yesu na mkewe" wanasemaje huko "Jerusalem"?!? Dah! Lay cannon wetu kweli ni mshauri wa Biblia kwa Askofu Mkuu wa Canterbury!! Akitoka huko atakuja kuisimamia serikali mjengoni Bethlehem.
 
Ndugu zangu Watanzania, miezi michache ya hivi karibuni kumekuwa na hali ya kupanda kwa bei za vitu karibu kila kukicha.
Hii inasababisha sisi Watanzania kuishi maisha magumu zaidi kuliko wakati mwingine wowote ule.
Mhimili wetu unaotuwakilisha na wenye wajibu wa kuisimamia serikali unasemaje kuhusu hili?
Wakati mwingine wowote?!!😲😲

Tanzania ipo na itaendelea kuwepo....

Hivi umeshawahi kukaa chini na wazee wetu ukahadithiwa yaliyotokea miaka ya 80?!!!

Pambana na kufanya kazi wewe.....

#NchiKwanza
 
🤣🤣🤣🤣
Gwaji boy kwisha habari yake...
Hujasoma hii habari ya mleta uzi?Huyo ni Mtanzania anageuzwa geuzwa kama chapati ya Mama ntilie kwa sababu ana akili fupi.

Imagine mleta uzi anazungumzia mhimili unaotuwakilisha kana kwamba bunge tulilonalo lilichaguliwa na wananchi.Mtanzania ni binadamu mwenye akili fupi sana.

Mimi huwa nasoma mada za watu humu naishia kusikitika sana.
 
Hujasoma hii habari ya mleta uzi?Huyo ni Mtanzania anageuzwa geuzwa kama chapati ya Mama ntilie kwa sababu ana akili fupi.

Imagine mleta uzi anazungumzia mhimili unaotuwakilisha kana kwamba bunge tulilonalo lilichaguliwa na wananchi.Mtanzania ni binadamu mwenye akili fupi sana.

Mimi huwa nasoma mada za watu humu naishia kusikitika sana.
Kila mtu na tafsiri yakee...
 
Ndugu zangu Watanzania, miezi michache ya hivi karibuni kumekuwa na hali ya kupanda kwa bei za vitu karibu kila kukicha.
Hii inasababisha sisi Watanzania kuishi maisha magumu zaidi kuliko wakati mwingine wowote ule.
Mhimili wetu unaotuwakilisha na wenye wajibu wa kuisimamia serikali unasemaje kuhusu hili?
Bunge rubber stamp halikuwakilishi wewe mwananchi.
Bunge la kijani linawakilisha maslahi mapana ya matajiri, watawala na chama chao kisichomjali Mtanzania wa chini
 
Ndugu zangu Watanzania, miezi michache ya hivi karibuni kumekuwa na hali ya kupanda kwa bei za vitu karibu kila kukicha.
Hii inasababisha sisi Watanzania kuishi maisha magumu zaidi kuliko wakati mwingine wowote ule.
Mhimili wetu unaotuwakilisha na wenye wajibu wa kuisimamia serikali unasemaje kuhusu hili?
Ngoja kwanza tumalizane na hawa wanao tuzingua. Baada ya kumalizana nao, ndipo sasa tutakuja kuwasikiliza shida zenu.
 
Ndugu zangu Watanzania, miezi michache ya hivi karibuni kumekuwa na hali ya kupanda kwa bei za vitu karibu kila kukicha.
Hii inasababisha sisi Watanzania kuishi maisha magumu zaidi kuliko wakati mwingine wowote ule.
Mhimili wetu unaotuwakilisha na wenye wajibu wa kuisimamia serikali unasemaje kuhusu hili?
Kosa lililofanyoka 2015 litaendelea kututesa mpaka hapo Mungu atakpoingilia kati
 
Back
Top Bottom