Kumekucha: Wahuthi wailipua tena maeneo ya oil processing nchini Saud Arabia

Mibas

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
4,168
6,291
Kumbe Saudia inajua kushambulia tu wa Yemeni lakini mfumo wake wa kujilinda na makombora ni bure kabisa. Wahuthi kwa sasa wana locally made drones zenye uwezo wa kwenda kushambulia hadi karibu 1000km. Kuliko kuendelea kupoteza rasilimali zao ni muda mwafaka sasa utawala wa Saud arabia kukubali yaishe.
IMG_20190914_184429.jpeg
 
Kumbe USA inawatumia tu Saudi Arabia na wala haiwapi ulinzi!!! Kweli USA wamefuzu shahada ya juu ya uhuni
Toilet paper huwa ikishatumika huwekwa kwenye kinyesi na kushushwa huko huko kinakoelekea kinyesi.

Viongosi wa Mataifa mengi ya uarabuni Hawajui kuwa target hasa ni mataifa yao na dini yao. Kwa wale wanaoiamini marekani kwa kuwalinda hawajajua role yao hasa kwenye hii migogoro. Wao ni toilet paper tu. Mission ikiisha na wao watatumbukizwa Chooni.

Hata hawajiulizi kuwa kwanini mwanzilishi wote wa vikundi vya kigaidi akiwepo Osama walikuwa wanafadhiliwa CIA?
 
Iran wakiwapa zile zenyewe mbona Saudi patakuwa vumbi!
Ingawa sio habari njema lakini komenti yako imeniacha hoi. Kiujumla Saudi Arabia huzalisha 10% ya uzalishaji wa mafuta kote duniani na maeneo yalioshambuliwa yanazalisha nusu ya uzalishaji wote wa Saudi Arabia. So nchi imesimamisha half of oil production for its nonsensical Yemen war participation. UAE baada ya kuona coalition yao na Saudi ni hasara tupu wameamua kujiondoa.
 
Back
Top Bottom